Nawezaje kuiokoa familia yangu na mateso ya jini huyu?

Nawezaje kuiokoa familia yangu na mateso ya jini huyu?

Mkuu,

Kwanza pole sana.

Tatizo lako ulikuwa unaenda kwa masheikh feki, hao ndio wamejaa sasa hivi, na ndio maana umezunguka sana sababu hao wote walikuwa wanakulia pesa zako.

Chakufanya:

1. Nenda Magomeni Mapipa Mtaa wa Mburahati muulizie Sheikh Yusuf Kidago, huyu ni Sheikh wa Twarika, ukifanikiwa kumpata nina imani M/Mungu atakuondoshea tatizo lako.. Huyu sheikh hawezi kukuchaji hata senti..

Au

2. Nenda Mbagala, panda basi la Mkuranga then shuka kituo cha Dundani kwa Mwarabu. Ukishuka ulizia kwa Sheikh wapi? Utaelekezwa.. Huyu sheikh hataki pesa kabisa..

Hawa wote niliokuelekeza ni masheikh na sio waganga ila M/Mungu amewajaalia karama za kutibu matatizo ya kiroho.

Hitimisho:
Mitihani hutoa M/Mungu na hakuna awezaye kuiondosha mpaka yeye atake, hakuna binadamu anayeweza kukutibu kama M/Mungu bado hajataka upone, nenda kwa hao masheikh wakambembeleze M/Mungu kwa jina lake yeye muumba pekee na sio jina la kiumbe/binadamu yeyote.

Mtihani usije ukakuingiza kwenye kumkufuru na kumshirikisha M/Mungu.. Endelea kuwa na Subra hakika M/Mungu atakusaidia.

Amin..
 
Kusoma Ilipoanzia

Sehemu ya Pili

-----

"NITAFUPISHA HAPA, IKUMBUKWE HII NI STORI YA MAISHA YANGU KABISA KWA MUDA WA MIAKA 7, NIMEKUA NIKUZUNGUKA HUKU NA KULE KUTAFUTA MSAADA KWA KIPINDI HIKO CHOTE. NILITAMANI KUELEZEA KILA STAGE NILIYOPITIA ILI MWENYE UWEZO WAKUSAIDIA MAWAZO AJUE NIWAPI ANAWEZA SAIDIA."

J3 Tumeamka nimeendelea na kazi za kila siku, Ila hapa kuna maisha kidogo yalikua tofauti, Wife alikua ananiambia vitu vingi na vinatokea, Mala nyingi akisema jambo na likatokea, Mfano nakumbuka alishanifanyia matukio mawili ndani ya siku 1, Siku hiyo alikua na mimba ya miezi kama minne nmetoka nampeleka pharmacy akanambia tu kiutani anatamani kuokota hela.

Basi nikawa namcheka tu nikapuuzia, tulipo kua tukirejea toka Pharmacy akanambia kachoka hawezi tembea nikaita Tax, wakati nakaribia kwenye Tax alinionyesha kibunda Kikiwa chini usawa mlango wa gari, akakiokota ilikua ni laki8, nilipata mshangao akacheka alafu hakusema kitu.

Tulipofika home alikuja rafiki yake kumuona, banda ya stori kadhaa akamwambia, leo atakama unaharaka vipi usipande bodaboda, akapuuzia alipokua akiondoka akadai kachelewa akaita boda, azikupita dakika 10 tunapigiwa simu wamedondoka kaumia vibaya.

Akawa ni mtu wa aina hiyo lakini lile tatzo lakukabwa halikuisha, Shida nyingine ikaja ata nikitongoza demu popote atajua hiyo kitu nayo imekua ikinivuruga sana.

Kuna sheikh mmoja yupo Ilala anaitwa sheikh Khalfan sikumoja baada ya dua alinambia tatzo la huyu jini wa mkeo ukisema uingize pesa yako kumtibu mkeo anakufungia kila kitu utaishiwa utakosa mpaka hela ya maji ya kunywa,

Na nikweli nakumbuka nimesha mpeleka wife kwingi nikifanya kutafuta tiba, basi nitapoteza kilakitu, yaani taishiwa na kazi tapoteza kabisa, Sasa ndugu zangu inawezekanaje kumuacha mwenzio akiugua kwa kuhofia hayo, Tatzo la hii michezo sio kama anakua kichaa au vipi hapana.

Ili niishiwe pesa tu naweza pata series ya wagonjwa, ndani ya mwezi mzima akaugua yeye, akaugua mama nyumbani wakawa wapokezana, ni mwendo wa hospital tu, imekua hivyo kwa muda sana.

.. Naomba niishie hapa kwa sasa, kwa mwenye uwezo au kujua wapi naweza pata njia ya kweli ya kutatua hili karibuni.
Maombi yanatakiwa tena Wana maombi waweke kambi nyumbani kwako.... Au nyie ndo muweke kambi kanisani.....Imani inahitajika sana

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Yaani uilishaambiwa kwao ni kuzito huyo mke wako kwao ni washirikna na huko kwao wanajua nini kinachosumbua anatakiwa awe mganga au akabidhiwe Mikoba
 
Yaani uilishaambiwa kwao ni kuzito huyo mke wako kwao ni washirikna na huko kwao wanajua nini kinachosumbua anatakiwa awe mganga au akabidhiwe Mikoba
Pole sana ndugu yangu. Nami naungana na wengine kushauri. Hakuna msaada kwingineko ndugu yangu MSAADA UTAUPATA KWA JINA LA YESU PEKEE. Tafuta huduma ya maombezi haraka. tatizo ulilosimulia ni dogo sana na wala si la kuchukua masiku. Jitoe kwa YESU wewe na mkeo nanyi mtapata kuokolewa na uponyaji.
 
Hata kama wewe ni muislamu! Nendeni tu kwenye maombi hapo KKKT KIMARA KOROGWE kesho asubuhi kabisa saa2 fika pale mtasaidiwa sana! Umeshazunguka kwa mashehe na waganga vya kutosha nenda kanisani. MUNGU WETU NI MMOJA. Kila la kheri
 
Mkuu,

Kwanza pole sana.

Tatizo lako ulikuwa unaenda kwa masheikh feki, hao ndio wamejaa sasa hivi, na ndio maana umezunguka sana sababu hao wote walikuwa wanakulia pesa zako.

Chakufanya:

1. Nenda Magomeni Mapipa Mtaa wa Mburahati muulizie Sheikh Yusuf Kidago, huyu ni Sheikh wa Twarika, ukifanikiwa kumpata nina imani M/Mungu atakuondoshea tatizo lako.. Huyu sheikh hawezi kukuchaji hata senti..

Au

2. Nenda Mbagala, panda basi la Mkuranga then shuka kituo cha Dundani kwa Mwarabu. Ukishuka ulizia kwa Sheikh wapi? Utaelekezwa.. Huyu sheikh hataki pesa kabisa..

Hawa wote niliokuelekeza ni masheikh na sio waganga ila M/Mungu amewajaalia karama za kutibu matatizo ya kiroho.

Hitimisho:
Mitihani hutoa M/Mungu na hakuna awezaye kuiondosha mpaka yeye atake, hakuna binadamu anayeweza kukutibu kama M/Mungu bado hajataka upone, nenda kwa hao masheikh wakambembeleze M/Mungu kwa jina lake yeye muumba pekee na sio jina la kiumbe/binadamu yeyote.

Mtihani usije ukakuingiza kwenye kumkufuru na kumshirikisha M/Mungu.. Endelea kuwa na Subra hakika M/Mungu atakusaidia.

Amin..
Shukran sana.
 
Mambo kama haya huwezi kuyasikia Oysterbay, Masaki, Upanga au Mbezi Beach🤣🤣🤣
 
  • Kicheko
Reactions: amu
Hata kama wewe ni Muslim mpeleke mkeo kanisani akaombewe kwa jina la Yesu, huna cha kupoteza. Ushapoteza pesa nyingi, watoto ambao mimba ziliharibika pamoja na amani yako ya moyo.

Huu ni wakati wa kubadili mbinu za kupambana na huyo adui, maana mbinu za waganga pamoja na visomo zimefeli mkuu. Usichukulie kwenda church kwenye maombi kama ni udhaifu. Hii ndio njia pekee itakayoleta uhai tena kwenye familia yako.
 
Hata kama wewe ni Muslim mpeleke mkeo kanisani akaombewe kwa jina la Yesu, huna cha kupoteza. Ushapoteza pesa nyingi, watoto ambao mimba ziliharibika pamoja na amani yako ya moyo.

Huu ni wakati wa kubadili mbinu za kupambana na huyo adui, maana mbinu za waganga pamoja na visomo zimefeli mkuu. Usichukulie kwenda church kwenye maombi kama ni udhaifu. Hii ndio njia pekee itakayoleta uhai tena kwenye familia yako.
Wewe huyo Yesu alishawahi kukusaidia kukutoa majini au umekariri?

Mwenzako ana matatizo halafu wewe ulivyo punguani unamshauri mtu aende kwa matapeli kama Gwajiboy, Zumaridi..etc? Uko vizuri kichwani?
 
Nyie mnaomshauri aende kwenye maombi mnapoteza muda, muachen ahangaike na Mshehe woote waishe.

Namuhakikishi pepo hawezi mtoa pepo mwenzie, aisee kun watu wamefichwa sana
 
Wakati mnaendelea kumshauri jamaa kumbukeni kuna uzi humu jamaa ana matatizo yanataka kufanana na haya ila yeye kazunguka kwenye maombi for 10years ila bado ngoma nzito. Hapa utaona watu wanahangaika pande zote mbili lakini mambo hayaendi.... hii dunia ni fumbo kubwa sana.
 
Mambo kama haya huwezi kuyasikia Oysterbay, Masaki, Upanga au Mbezi Beach[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yapo sana kuna nyumba ipo Raskazone Tanga haikaliki fimbo zinatembezwa nyumba nzima hkna kukaa wala kulala Ukisimama nchale ukikimbia nchale, ukiliicheki kwa nje ni jumba la kifahari haswa
 
Huko kwa waganga na mashekhe uchwara ndo umeenda kumuongezea madudu zaidi,kwasie wakristo huyo kabla hajafunguliwa anatakiwa afanye toba ya maagano aliyojiunga nayo ama yaukoo wao,then afanyiwe deliverence hicho kidude kitapigwa moto mpaka na aliyekituma wote watasambalatika . NB: Matatizo mnayataka wenyewe kwakupenda kwenda kwa waganga mnaacha kumtafuta Mungu mwenye nguvu kuliko hao waganga mashetani
Hakika
 
Back
Top Bottom