Nawezaje kuiokoa familia yangu na mateso ya jini huyu?

Fanya study wanaougua kama hawana historia ya mganga au mchawi kwenye ukoo wao
Mkuu usibishane na sayansi mkuu
Au ndio papai lina COVID-19
Cha msingi genetic disorder haifungamani na tungurii.
 
Pole sana. Ni Yesu Kristo peke yake anaweza kutibu tatizo hili. Waganga wataongeza tatizo lako kwani ni vibaraka wa ulimwengu wa giza. Tafuta Watumishi wa kweli wa Mungu Mwenyezi (Yesu Kristo) watakusaidia.
 
Kwa kifupi ni kwamba kesi ya Ngedere kampelekea tumbili
 
Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi.
1 Yoh 3:8.

Ni Mwana wa Mungu tu awezaye kuvunja kazi za Ibilisi. Si mashehe wala waganga...
 
Boss pole kwa mitihani. Ila pia hongera kwa kuendelea kuishi na mkeo. Inawezekana mkeo na familia yao kuna maagano waliingia ya kishirikina pengine yeye hajui ila wazazi wanajua. Mkeo ipo sehemu anapotambulika kama mke na wewe unaonekana umeingilia hiyo ndoa (ndoa za mizimu). Nenda kwenye maombi
 
Mzee.. mkiri tu wewe na mkeo kwamba.. Yesu Kristo Kama Bwana na mwokozi wako/wenu.. mkimaanisha hamtasikia Tena hayo madude..

Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.
Warumi 10:9




Kuamini brother Ni muhimu..

Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.
Waraka kwa Waebrania 11:6



Ila na aombe kwa imani, pasipo mashaka yoyote; maana mwenye shaka ni kama wimbi la bahari linalochukuliwa na upepo, na kupeperushwa huku na huku. Maana mtu kama yule asidhani ya kuwa atapokea kitu kwa Bwana. Mtu wa nia mbili husitasita katika njia zake zote.
Yakobo 1:6‭-‬8
 
Mtafute huyo mwambia Ni mtumishi wa Mungu atakusaidia 0784306452
 
Tafuta vipi ambavyo ni ant jinni yaani vitu asivyopenda au patana navyo jinni ataondoka bila kupenda.
 
Mtafute Mwalimu Grace ye ndo kiboko ya majini, mapepo, mizimu ya ukoo yatatoka tu.
Maana Kazi ya jinni ni kuuwa Hakuna urafiki katika ya mwanadamu na shetani. Ni fedheha na aibu kumilikiwa na kiumbe dhaifu kama jinni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…