Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Umeme upo, nimezima tu taaUmeme hakuna?
Poa mkuu, ngoja wazoefu wa simu na electronic gadgets waje kutoa msaada zaidi.Umeme upo, nimezima tu taa
Ok
Bonge la simu hiyo labda kama umeshindwa kuitumia...Wakuu
Nilinunua simu Redmi Note 10 pro ila sidhani nasema sidhani kama hii ndio simu yenyewe.
Kama vile sijapenda Camera, battery ni 5,000Mah lakini haikai saana, camera ni 108px ila na yenyewe kama vile siielewi.
Sijawahi kutumia hii product na hii ndio mara ya kwanza. Nawezaje kuitumbua kama ni OG?
View attachment 2027822
🤣Umeme hakuna?
Hivi simu za Kichina nazo zina Fake? Mimi nilifikiri Wachina ndio wanafake simu za mataifa mengine kama za Samsung na IPhone? Kumbe wana fake hadi products za kwao wenyewe?
Huenda nimeshindwa aiseeeBonge la simu hiyo labda kama umeshindwa kuitumia...
Na wewe upo kama tusio jua kutumia simuHuenda nimeshindwa aiseee
Battery ni 5200 but sioni kama ni kweliNa wewe upo kama tusio jua kutumia simu
Kama umenunua mpya kabisa, huenda matumizi yako yapo juu zaidi mkuuBattery ni 5200 but sioni kama ni kweli
Mbona huleti mrejesho boss?Battery ni 5200 but sioni kama ni kweli