Nawezaje kujua hii simu kama ni Original, Fake au copy?

Nawezaje kujua hii simu kama ni Original, Fake au copy?

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Wakuu,

Nilinunua simu Redmi Note 10 pro ila sidhani nasema sidhani kama hii ndio simu yenyewe.

Kama vile sijapenda Camera, battery ni 5,000Mah lakini haikai saana, camera ni 108px ila na yenyewe kama vile siielewi.

Sijawahi kutumia hii product na hii ndio mara ya kwanza. Nawezaje kuitumbua kama ni OG?

IMG_20211129_211946.jpg
 
Wakuu
Nilinunua simu Redmi Note 10 pro ila sidhani nasema sidhani kama hii ndio simu yenyewe.

Kama vile sijapenda Camera, battery ni 5,000Mah lakini haikai saana, camera ni 108px ila na yenyewe kama vile siielewi.

Sijawahi kutumia hii product na hii ndio mara ya kwanza. Nawezaje kuitumbua kama ni OG?

View attachment 2027822
Bonge la simu hiyo labda kama umeshindwa kuitumia...
 
Back
Top Bottom