Atamtesa mtoto bure, maana atajisahau kila saa ataweka kidole mdomoni ikawa shidaMpake alovera aka nkaka
Tumia hii njia uliyo ambiwa au nyakati za mchana muwekee pamba au plasta kwenye kidole anachopenda kunyonya kisha mlishe tango pori(mdanganye kuwa kuna kidonda)Mpake alovera aka nkaka
Ahsante mkuuHuo umri muache tu aendelee kunyonya kidole,ndio muda wake wa kuenjoy hiyo kitu,
Kama issue ni ukucha kuharibika basi mnunulie vile viplastiki sijui vinaitwaje ambavyo watoto hunyonya ili asinyonye kidole.
ShukraniTafuta njia umdanganye kuhusu hicho kidole kama walivyosema wadau pia kama Una roho ngumu weka pilipili. Mbinu ya plasta inafanya kazi Sana hata kwenye kuachisha nyonyo.
Naona kama yatakuwa mateso sasampake pilipili kidoleni
Aisee!paka kidole kinyonywacho pilipili mbuzi
Sawa, naomba ujuzi wa hoja huxika sasaI hate watu wenye lugha kama hizi, mtoto useme katoto?
Ubarikiwe huko ulikoKata kidole chake mpe atafune