babyfancy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 2,176
- 6,187
Bora umesema tena wengine wanaita vitoto sipendagi hizo kauli bac tuI hate watu wenye lugha kama hizi, mtoto useme katoto?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora umesema tena wengine wanaita vitoto sipendagi hizo kauli bac tuI hate watu wenye lugha kama hizi, mtoto useme katoto?
AaamenUbarikiwe huko uliko
Shukrani kiongoziTumia hii njia uliyo ambiwa au nyakati za mchana muwekee pamba au plasta kwenye kidole anachopenda kunyonya kisha mlishe tango pori(mdanganye kuwa kuna kidonda)View attachment 2021512
Na hiyo ndiyo hofu yangu kuuAtamtesa mtoto bure, maana atajisahau kila saa ataweka kidole mdomoni ikawa shida
Hii ni laaana sio barakaUbarikiwe huko uliko
Nadhani ni kumnyonyosha tu, sijawahi kupata mtoto mwenye changamoto hioSawa, naomba ujuzi wa hoja huxika sasa
Usijaribu kufnya hvyo coz anaweza kujishka machoni! Mfunge plastaNaona kama yatakuwa mateso sasa
ataacha,,,, wangu aliacha akiwa std 4......Mtoto wangu ana miaka mitano na pointi lakini bado ana nyonya kidole. Nilitumia Kila njia nimefeli . Sasa nimebaki namcheki tu nikiamini ataacha mwenyewe.
it's just a term of affection, life is too short to take everything seriously bro.I hate watu wenye lugha kama hizi, mtoto useme katoto?
Thank you.it's just term of affection, life is too short to take everything serious bro.
Hivi huwa mko serious kweli na haya majibu?Kata kidole chake mpe atafune
Pili pili, alovera Haisaidii wangu ana miaka4 ndio kidoogo kapunguza hasa baada ya kuanza shulePaka kidole kinyonywacho pilipili mbuzi
Usikubali kumfanyia mtoto wako mbinu za kinyama kama watu wanavyokushauri. Mwache ataacha mwenyewe baada ya kukua.Ni katoto ka mwaka mmoja na miezi kama mitatu hivi.
Kakiwa na usingizi tu basi ni lazima kanyonye kidole chake ndo kanalala vizuri, ukijaribu kukatoa tu anaamka na ugomvi (kilio) unakuwa mkubwa.
Hadi awe amelala sana (fofofo) ndo unaweza ukamtoa. Hii tabia imekuwa sugu hadi ukucha wa kidoleni unaanza kuharibika jambo ambalo si jema.
Mbinu gani nitumie wadau kumtoa huyu katika janga hili?