Nawezaje kupata self confidence?

Nawezaje kupata self confidence?

1. Anza kujenga mazoea ya kuchangia kwenye group discussions,hii itakupa ujuzi na ujasiri wa kupangilia hoja zako mbele za watu

2. Usiogope kukosea,weka akilini kwamba kukosea ni sehemu ya kujifunza na ukubali kurekebishwa unapokosea

3. Hudhuria semina tofauti tofauti,hii itakusaidia kuona namna watu wanavyojielezea

4. Ukisimama mbele pale kuanza kujielezea/kupresent muangalie yule mtu ambaye umemzoea sana,hii inaweza kukusaidia kujiamini kipindi unaongea
Ama unaweza kuangalia kiti cha mwisho kabisa pale darasani

5. Jiamini

Many thanks for you're detailed explanation

Nyongeza kidogo.

Hana haja ya kuhofia chochote maana uoga haumuongezei point yoyote sana sana kufanya aonekane hana uwezo.

Kama kuogopa, kubabaika, kutetetemeka haiboreshi isipokuwa inakubomoa kwanini uhofie?

Yeye ajiandae, ajiamini na aeleze kwa kadri anavojuwa yeye kwa dhati ya akili yake inavomtuma asifikirie waliombele yake eti wao ni bora. Yeye ajiamini kwamba ndio bora.

Hakuna adhabu wala kutukanwa

Kuchekwa na kuchekesha Nisehem kamili ya maisha kwa binadamu. ... wanapocheka Yeye azidishe kujituma katika maelezo yake asimamie anachokiamini daima.
 
Many thanks for you're detailed explanation

Nyongeza kidogo.

Hana haja ya kuhofia chochote maana uoga haumuongezei point yoyote sana sana kufanya aonekane hana uwezo.

Kama kuogopa, kubabaika, kutetetemeka haiboreshi isipokuwa inakubomoa kwanini uhofie?

Yeye ajiandae, ajiamini na aeleze kwa kadri anavojuwa yeye kwa dhati ya akili yake inavomtuma asifikirie waliombele yake eti wao ni bora. Yeye ajiamini kwamba ndio bora.

Hakuna adhabu wala kutukanwa

Kuchekwa na kuchekesha Nisehem kamili ya maisha kwa binadamu. ... wanapocheka Yeye azidishe kujituma katika maelezo yake asimamie anachokiamini daima.


Yeah,na ajitahidi kusoma na kukielewa anachoenda kupresent mana inaweza kuwa kinachomletea uoga ni maandalizi finyu pia
 
Self confidence ni practice, nilikuwa kama wewe, lakini nikaanza kuwa nachangia mada kwenye vikundi, pia nikawa napewa vipindi church, nikaanza kuzoea, hata nilipoenda interview nilijikuta Nina overconfidence.
mimi nilikuwa zaidi. Ila siku hizi nikipanga hoja vizuri kichwani na kuzizungushia quotes powerful hata kama nikiwa nimekaa mchanganyikoni nahamishwiwa high table hata kama sifahamiki.

Mfano mzuri jana tu, nilijikuta nakula meza moja na mgeni rasmi kanisani wakati hilo eneo na mimi sijulikani.
 
mimi nilikuwa zaidi. Ila siku hizi nikipanga hoja vizuri kichwani na kuzizungushia quotes powerful hata kama nikiwa nimekaa mchanganyikoni nahamishwiwa high table hata kama sifahamiki.

Mfano mzuri jana tu, nilijikuta nakula meza moja na mgeni rasmi kanisani wakati hilo eneo na mimi sijulikani.
Uliipataje hiyo confidence?
 
Kunywa kasichana kamoja tu mkuu kabla ya presentation utakuja kunishkuru badae

Huo ni mwanzo wa kupata confidence ukishindwa kuongea Njoo nkurudishie ela yako
 
Hata kutoa kishirikishi church..shida...huhuhhhh,juzi tu nilienda kanisa la TAG nikaambiwa kuna mgeni hapa ..nikawa natetemeka
Ukiona hivyo ni tatizo la kiroho zaidi sio la kimwili km unavyoona!

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Sitaki kuamini kama na mm nilikua Kama wewe nikiwa na umri huo.. Tena chuoni Ila Unajua nn, Unavyovifanya Sasa bado hujaona umuhimu wake.. siku vikiwa vya Muhimu hakuna utakae muwaza wakati unavifanya Tena wakileta fyoko unaweza kutema shombo za mchuzi wa mzoga bila kujali Nani yupo.. na uache nyeto(U need the testosterone drive), know your contents and move intentional Kwenye kila unalofanya..
 
Habri ya Jumapili,

Ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya ila kama unachangamoto za kiafya, kielimu, kiuchumi. Basi nakuombea uweze kutatua hiyo changamoto.

Kwa upande wangu mimi ni kijana wa umri miaka 23, lakini nina changamoto kubwa haswa katika masuala ya kujieleza mbele za haswa katika presentations za chuo, yaani hata nikipata ikija zamu yangu kuweza kuongea mapigo ya moyo yanaenda kasi, pressure inapanda, mikono, miguu yote inatetemeka.

Yaani, kiufupi naomba msaada jinsi ya kulitatua hili tatizo linanitesa mno na nina ndoto ya kuwa kiongozi mkubwa wa Taifa hili.
CS ina mbinu zote.soma vitabu.
Mbinu ya kwanza vuta pumzi kwa nguvu unapotaka kuongea.
Usiwatazame watu usoni just scan them, usigonganishe macho yako kwao.
Assume you know much than them, think like you are talking with kids.
Concentrate on the topic,don't allow chaos.
Make sure you are very competent on the topic
Record yourself before presentation. Prefesa mmoja huko majuu yeye ni guru ktk presentation anasema yeye huwa anaenda katika hole one week before anafanya presentation yeye na viti.Ukimsikilza presentation zake utaipenda physics tu.Katafute krp yake moja inaitwa "the love of physics.
Nenda you tube kawasikisikilize motivativation speakers wale ni masters of cs, hapa kwetu Antony luvanda anafanya vizuri.
Anzisha you tube channel uweke content unazozipenda.
Soma vitabu kama , Malcolm x speech, Kim Ill Sung 1 and 2.Hivyo vitabu ni hotuba zilizoshiba.
Kasikilize " capitalist nigger" hii ni lecture.Nenda kasikilize video za 'valuetainment' Huyo jamaa anajua sana .
Anza kuandaa content wewe mwenyewe, ziwe audio,text nk zitume sehemu mbalimbali.
 
Sitaki kuamini kama na mm nilikua Kama wewe nikiwa na umri huo.. Tena chuoni Ila Unajua nn, Unavyovifanya Sasa bado hujaona umuhimu wake.. siku vikiwa vya Muhimu hakuna utakae muwaza wakati unavifanya Tena wakileta fyoko unaweza kutema shombo za mchuzi wa mzoga bila kujali Nani yupo.. na uache nyeto(U need the testosterone drive), know your contents and move intentional Kwenye kila unalofanya..
Nyeto nimeacha ila jana nimestua kimoja.
 
- Dhamiri yako iwe njema muda wote!

- chukulia kwamba upo hapo kujifunza na kwamba kukosea na kukosolewa ni sehemu katika mchakato wa kujifunza.

- chukulia kwamba atakae kucheka au kukudharau itakula kwake sababu hajui mpo hapo kwa dhumuni gani ambalo ni kujifunza

N.k
 
- Dhamiri yako iwe njema muda wote!

- chukulia kwamba upo hapo kujifunza na kwamba kukosea na kukosolewa ni sehemu katika mchakato wa kujifunza.

- chukulia kwamba atakae kucheka au kukudharau itakula kwake sababu hajui mpo hapo kwa dhumuni gani ambalo ni kujifunza

N.k
Nawezaje acha kutetemeka
 
Nawezaje acha kutetemeka


Kutetemeka ni matokeo yanayosababishwa na mambo kadha wa kadha.

Mfano mtu mwenye homa kali anaweza kutetemeka au baridi kali n.k

Kwanza tujue chanzo kinachosababisha mtu kutetemeka.

Kutetemeka kunakosababishwa na homa dawa yake ni kutibu homa na kushusha joto kisha automatically kutetemeka kunaondoka.

Je kutetemeka huko kunajitokeza wakati gani?

Tukirudi kuhusisha hilo kwa mada iliyopo ni kuwa unatetemeka sababu ya uoga uliokithiri bila shaka.

Sasa hapo ili kuondokana na kutetemeka kunakosababishwa na woga ukokithiri inabidi kushughulikia namna ya kuondokana na woga ulokithiri.

Kwanini uwe muoga kupita kiasi? Kiasi cha kusababisha kutetemeka ?

Dhamiri yako ikoje?

Je kuna maovu unayoyafanya kwa siri?

Jifunze kujikosoa wewe mwenyewe ndani ya nafsi yako,

Sema ndani yako “ uoga ni ujinga na mimi supendagi ujinga”

Imeandikwa” bali waoga , walevi, wachawi , waabudu sanamu , n.k hawataurithi ufalme wa Mungu”

Uoga ni machukizo machoni pa Mungu ndiyo maana Neno usiogope limeandikwa mara 365 maana yake kila siku Mungu husema nasi usiogope.
 
Back
Top Bottom