Nawezaje kupata self confidence?

Nawezaje kupata self confidence?

Mambo mengine inategemea na malezi na makuzi mtu alopitia.

Kwenye ubongo wa mtu huwa kuna kumbukumbu Nzuri au mbaya kiasi gani?!

Matukio mazuri na mabaya uliwahi kuyaona na kuambiwa n.k

Attachments za kimahusiano tangu ujue mema na mabaya!

Uoga unapokuwa umezidi kiasi cha kutetemeka inabidi kutumia njia nyingi kwa wakati mmoja ili kuondokana na hiyo hali.

Kwa hiyo kutetemeka ni matokeo ya uoga ulokithiri.

Shughulikia namna ya kuondokana na tabia ya uoga hapo utaondokana na kutetemeka.

Njia hizo mojawapo ni:

Kutafuta maarifa mafundisho ya namna ya kufahamu maana ya uoga na madhara yake

Jinsi ya kuacha tabia ya uoga n.k

Maarifa hayo unaweza kuyapata kwa kusoma vitabu

Kujifunza kupitia mafundisho ya Neno la Mungu

Kufanya Tahajudi Yani meditation

Kuwa mkweli na mwaminifu (dhamiri njema) ,
Ukikosea unakiri makosa bila kijihami

Kuwa mwepesi wa kusamehe walokukosea n.k

Pia penda ku google kwa kutafuta kuhusu mfano “How to overcome Fear “ etc
 
Mtu mwingine mfano amekuwa katika mazingira ya majeraha ya nafsi tangu akiwa mtoto amekuwa mtu wa kupigwa pigwa na kufokewa mara nyingi.

Hajawahi kupewa Penzi la huruma na kukumbatiwa kwa upendo wa mzazi au ndugu.

Mwingine hajajaliwa neema ya kulelewa na mzazi.

Mtu anaishi maisha ya kujihami na kujitetea tu.

Sasa ndiyo maana nasema dawa ya kuondokana na hayo ni kupata ufahamu kwa njia ya mafundisho na kusoma mambo mbalimbali.

Uoga au hofu hukaa mahali ambapo hakuna Upendo wa Kimungu na ukosefu wa Imani.

Imeandikwa Pendo hutupa hofu nje .

Na Tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, fadhili, utu wema , uvumilivu, upole (siyo ukimya) na kiasi.

Where ever there is fear there is no faith/hope
 
Habri ya Jumapili,

Ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya ila kama unachangamoto za kiafya, kielimu, kiuchumi. Basi nakuombea uweze kutatua hiyo changamoto.

Kwa upande wangu mimi ni kijana wa umri miaka 23, lakini nina changamoto kubwa haswa katika masuala ya kujieleza mbele za haswa katika presentations za chuo, yaani hata nikipata ikija zamu yangu kuweza kuongea mapigo ya moyo yanaenda kasi, pressure inapanda, mikono, miguu yote inatetemeka.

Yaani, kiufupi naomba msaada jinsi ya kulitatua hili tatizo linanitesa mno na nina ndoto ya kuwa kiongozi mkubwa wa Taifa hili.
Ukijua unaenda kuongea mbele ya watu shitua pombe mfano k vant ata rombo glass ili kuondoa wenge utanishukuru
 
Ukijua unaenda kuongea mbele ya watu shitua pombe mfano k vant ata rombo glass ili kuondoa wenge utanishukuru
Hapana,nimeweza kugain kitu hapa ili niwe naconfidence,kwanza ni kusoma vitabu,kujikubali,pia kujua content nayopresent in deep,pia kupractise kuongea mbele za watu hasa makanisani,pia bila kusahau kAle kamsemo "The only thing to fear is fear it self'
 
Hapana,nimeweza kugain kitu hapa ili niwe naconfidence,kwanza ni kusoma vitabu,kujikubali,pia kujua content nayopresent in deep,pia kupractise kuongea mbele za watu hasa makanisani,pia bila kusahau kAle kamsemo "The only thing to fear is fear it self'
Kuna kusoma vitabu na kufika mbele ukasahau. Ila Kuna course ukisoma zitakufanya upate confidence kwa lazima. Imagine course za Education wewe kama mwalimu utaachaje kuwa na confidence?
 
Habri ya Jumapili,

Ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya ila kama unachangamoto za kiafya, kielimu, kiuchumi. Basi nakuombea uweze kutatua hiyo changamoto.

Kwa upande wangu mimi ni kijana wa umri miaka 23, lakini nina changamoto kubwa haswa katika masuala ya kujieleza mbele za haswa katika presentations za chuo, yaani hata nikipata ikija zamu yangu kuweza kuongea mapigo ya moyo yanaenda kasi, pressure inapanda, mikono, miguu yote inatetemeka.

Yaani, kiufupi naomba msaada jinsi ya kulitatua hili tatizo linanitesa mno na nina ndoto ya kuwa kiongozi mkubwa wa Taifa hili.
Reading the books

Practice ukiwa mwenyewe kuelezea kitu au kutetea hoja n.k


All the best
 
Yawezekana umelelewa katika maadil yaliyokufanya ukawa na nizam ya uoga ,kubali kuwa kukosea napo ni funzo
 
Simple.

Ukisimama mbele usimuangalie mtu, we angalia usawa wa juu ya vichwa vya watu wote. Utagundua unaangalia mraba wa ukuta wa nyuma ya darasa, hugongani macho na watu.

Hapo utajifeel comfortable kubwabaja unavyotaka. Usije ukamuangalia mtu mliyezoeana maana anaweza kufanya gestures ambazo zitakuletea distraction, aidha atasmile au kukukonyeza au zaidi kukuchekea and you don't want that.
 
2 small tips za presentation

1. Breathe deeply and slowly one or two minutes before you start your presentation

2. Start your presentation with short sentences at least for
30 seconds
 
Aisee.hilo ni tatizo la wengi mkuu!
Confidence hutegemea umri pamoja na genetic makeup ya mtu. Tazama hotuba za Obama alipokuwa kijana na zile alipokuwa Rais ndio utajua. Kuna mambo umri ukifia yanakuja automatically.
 
Habari ya Jumapili,

Ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya ila kama una changamoto za kiafya, kielimu, kiuchumi. Basi nakuombea uweze kutatua hiyo changamoto.

Kwa upande wangu mimi ni kijana wa umri miaka 23, lakini nina changamoto kubwa haswa katika masuala ya kujieleza mbele za haswa katika presentations za chuo, yaani hata nikipata ikija zamu yangu kuweza kuongea mapigo ya moyo yanaenda kasi, pressure inapanda, mikono, miguu yote inatetemeka.

Yaani, kiufupi naomba msaada jinsi ya kulitatua hili tatizo linanitesa mno na nina ndoto ya kuwa kiongozi mkubwa wa Taifa hili.
Ndo maana upo chuo na unapewa presentations za mara kwa mara ili upate uzoefu wakujiamini, hizo presentation hazikuwekwa na wataalam kwa bahati mbaya,
 
Habari ya Jumapili,

Ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya ila kama una changamoto za kiafya, kielimu, kiuchumi. Basi nakuombea uweze kutatua hiyo changamoto.

Kwa upande wangu mimi ni kijana wa umri miaka 23, lakini nina changamoto kubwa haswa katika masuala ya kujieleza mbele za haswa katika presentations za chuo, yaani hata nikipata ikija zamu yangu kuweza kuongea mapigo ya moyo yanaenda kasi, pressure inapanda, mikono, miguu yote inatetemeka.

Yaani, kiufupi naomba msaada jinsi ya kulitatua hili tatizo linanitesa mno na nina ndoto ya kuwa kiongozi mkubwa wa Taifa hili.
Just assume like there is no one umesimama peke yako hapo mbele. Au ukishindwa kabisa gonga kitu cha K-vant
 
Habari ya Jumapili,

Ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya ila kama una changamoto za kiafya, kielimu, kiuchumi. Basi nakuombea uweze kutatua hiyo changamoto.

Kwa upande wangu mimi ni kijana wa umri miaka 23, lakini nina changamoto kubwa haswa katika masuala ya kujieleza mbele za haswa katika presentations za chuo, yaani hata nikipata ikija zamu yangu kuweza kuongea mapigo ya moyo yanaenda kasi, pressure inapanda, mikono, miguu yote inatetemeka.

Yaani, kiufupi naomba msaada jinsi ya kulitatua hili tatizo linanitesa mno na nina ndoto ya kuwa kiongozi mkubwa wa Taifa hili.
Jiunge na vikundi vya sanaa. Kucheza ngoma na kucheza michezo ya kuyigiza jukwani. Utapona kwa haraka. Lasivyo ninao dawa ya kupaka. Unakua jasiri mara moja.
 
Kwanza iaminishe akili yako kua wote waliepo mbele yako hawajui kitu zaidi yako.
Unaanzaje kuidanganya akil yako kirahis namna hiyo wakati unajiona daily unapiga F wenzako wanagonga A+.Halafu ujiaminishe wote hawajui 😁 weeeeeee thubutu 😂😂😂😂
 
Unaanzaje kuidanganya akil yako kirahis namna hiyo wakati unajiona daily unapiga F wenzako wanagonga A+.Halafu ujiaminishe wote hawajui [emoji16] weeeeeee thubutu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Apige k vant k matata[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom