Chaukarange
Member
- Apr 19, 2020
- 63
- 167
Shida ni Kingereza, narudia tena Kinge ndio kinakutesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MhhhPiga KVenga confidence itajiset tu
Mdhamini wa Jf unanisaidiaje mkuu
Hamna O level, ADVANCE nilikuwa na confidence za kufa mtu ila huku chuo sijui nimekuwa mwoga hata kunyoosha mkono ni shidaShida ni Kingereza, narudia tena Kinge ndio kinakutesa
Wadau leo naleta baada ya kupitia ushauri wenu leo nimeweza kupresent title japo mikono ilikuwa inatetemeka.lakini angalau kidogo nimeweza.Habari ya Jumapili,
Ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya ila kama una changamoto za kiafya, kielimu, kiuchumi. Basi nakuombea uweze kutatua hiyo changamoto.
Kwa upande wangu mimi ni kijana wa umri miaka 23, lakini nina changamoto kubwa haswa katika masuala ya kujieleza mbele za haswa katika presentations za chuo, yaani hata nikipata ikija zamu yangu kuweza kuongea mapigo ya moyo yanaenda kasi, pressure inapanda, mikono, miguu yote inatetemeka.
Yaani, kiufupi naomba msaada jinsi ya kulitatua hili tatizo linanitesa mno na nina ndoto ya kuwa kiongozi mkubwa wa Taifa hili.