Nawezaje kupokea hela kutoka nje ya nchi bila kuwa na akaunti ya Benki?

Nawezaje kupokea hela kutoka nje ya nchi bila kuwa na akaunti ya Benki?

Akishazipata, usisahau kunijlisha
Mkuu hii sio lazima no hulka ya mtu so usimfanye mtu awe na behavior ambayo haijaizoea. Ukishafanya yako usitegemee kulipwa pia fanya kwa sababu moyo wako umekutuma kufanya Ila sio kuwa unalipwa.
Ukimsaidia kijana akasoma akapata kazi muachie Uhuru Kama anakukumbuka sawa ndivyo alivyo akikusahau pia ni sawa Mana ndo yeye.
So ulifanya Deni sio kabisa. Binafsi sipendi hii tabia yaani siipendi kabisa.
Mfano mtu hata kukuulizia njia mpaka umsalimie na huku usingemsalimia Kama haukuwa na haja ya kumuuliza njia.
I really hate this shit Mana salamu ama ahsante ni malipo or kickback after/ asking doing something.
Salamu, ahsante,sijui na Nini hakukubadilishii maisha.
Dada wewe ukipata hela piga kimya Mana wengine Yuko rigid ku volunteer haijalishi what
 
Hey guys ! I hope mko powa,mm sipo pow sana afya yangu inamgogoro kidogo God is good all the time nitakaa sawa

Nina rafiki yangu yupo UK alikuwa anataka kunitumia pesa kidogo akaniuliza una account ya bank nikamwambia sina,akaniuliza kama kuna namna nyingine ya kutuma,

Jf kuna wa somi wengi na wajuzi wa mambo naombeni msaada wenu,natanguliza shukrani karibuni

😍Nikiipata hiyo hela nitawakumbuka jamani🤗
Akutumie via worldremit itakuja moja kwa moja kama mpesa ua tigopesa au airtel money kwenye simu yako ndani ya dakika chache tu.
Haihitaji hata kwenda sehemu ni kudownload app ya world remit akajisajili, akaweka kadi yake ya bank akakutumia
 
njia ya Rahis na haraka ni kupitia World Remit mwambie yeye asearch google kisha ajaze taarfa zake na kufund acc yake kisha atume sasa kuja mobile money ambapo m pesa tigo pesa airtel money kote uko utaweza kupokea pesa yako
 
Naomba niboreshe kuhusu Western Union.

Jamaa wa UK atatuma pesa kwa kujaza fomu ambayo itaonesha majina ya mtumiwaji.

Pia, atajaza neno la siri, mfano "favoutite colour" "Green". Hili neno la siri atamtumia mtumiwaji kwa njia anayoona inafaa yenye usiri.

Mtumiwaji ataenda kwenye tawi la wetern union (mara nyingi nayaona kwenye Benki ya Posta), atajaza fomu ambayo ina vipengele mfano jina la mtumiwaji, na neno la siri ambalo jamaa alimtumia.

Mhudumu atalinganisha taarifa anazoziona kwenye kompyuta, bila kusahau taarifa za kitambulisho mfano NIDA, mpiga kura nk. Kama zinafanana anapata hela yake.
Western Union ishapitwa na wakati. Mambo ya kwenda Western Union ujaze form sijui neno la Siri. Njia ya kidigital na haraka Ni World Remit anatuma hela inaingia direct kwenye tigo pesa au Mpesa yako.
 
Tumia Paysend, itaingia moja kwa moja kwenye mtandao unaotumia. Ndani ya Dk moja.
 
Nenda Equity Bank. Hao huduma zoooote za utumaji wa fedha zipo. Kufungua akaunti haizidi dk.10.
World Remit
Western Union
Money Gram
Na nyingine nyingi utazikuta EQUITY BANK ushindwe wewe tu.
 
Acha utani Tanzania ni nchi tajiri. Mimi huwa nawatumia wazungu maskini huko Ulaya hela ya kusogeza siku.
Sisi ni donor country...in Magufuli voice.
🤣🤣🤣🤣🤣
Hongera mkuu kwa kuwa donor pipo
 
Lakini turudi nyuma kidogo. Hivi mtu mzima kama wewe unakosaje account bank? Au unamuogopa Magufuli atafufuka?
 
Western Union ni rahisi sana.
Hey guys ! I hope mko powa,mm sipo pow sana afya yangu inamgogoro kidogo God is good all the time nitakaa sawa

Nina rafiki yangu yupo UK alikuwa anataka kunitumia pesa kidogo akaniuliza una account ya bank nikamwambia sina,akaniuliza kama kuna namna nyingine ya kutuma,

Jf kuna wa somi wengi na wajuzi wa mambo naombeni msaada wenu,natanguliza shukrani karibuni

😍Nikiipata hiyo hela nitawakumbuka jamani🤗
 
Hey guys ! I hope mko powa,mm sipo pow sana afya yangu inamgogoro kidogo God is good all the time nitakaa sawa

Nina rafiki yangu yupo UK alikuwa anataka kunitumia pesa kidogo akaniuliza una account ya bank nikamwambia sina,akaniuliza kama kuna namna nyingine ya kutuma,

Jf kuna wa somi wengi na wajuzi wa mambo naombeni msaada wenu,natanguliza shukrani karibuni

[emoji7]Nikiipata hiyo hela nitawakumbuka jamani[emoji847]
Worldremit
 
Western Union money transfer atumie. Ama muombe mtu akaunti unayemuamini atume kwa akaunti yake,
Pia Kuna namna Fulani kwa mpesa unapokea hela. Mie Kuna mdada ameshanitumiaga Kama tumilioni kadhaa kwa simu ikaja kwa mpesa tokea USA mkuu. So fight bana upate hizo hela
Akutumie kwa WORLD REMIT itaingia MPESA moja kwa moja
 
Mulize kama kuna system ya kutuma Tigo pesa au mtandao wowote wa simu akutumie. Au moneygram lakini hakikisha upo mkoa gani, maana mikoa mingine serikali iliondoa huduma ya moneygram, na ndio makato yake ni madogo sana ukilinganisha na western union.
 
Back
Top Bottom