OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Huwa napataga shida kumcheki wife apo bongo sasa nimejua Worldremit ni balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba nikusaidie atume kwangu kisha mimi nakutumia kwa Mpesa. Ila inabidi uchangie kidogo mimi nina Alipay.Hey guys ! I hope mko powa,mm sipo pow sana afya yangu inamgogoro kidogo God is good all the time nitakaa sawa
Nina rafiki yangu yupo UK alikuwa anataka kunitumia pesa kidogo akaniuliza una account ya bank nikamwambia sina,akaniuliza kama kuna namna nyingine ya kutuma,
Jf kuna wa somi wengi na wajuzi wa mambo naombeni msaada wenu,natanguliza shukrani karibuni
😍Nikiipata hiyo hela nitawakumbuka jamani🤗
Hujui hata Western Union,hata m pesa hujui,au ndo unataka tujue una ndugu majuuHey guys ! I hope mko powa,mm sipo pow sana afya yangu inamgogoro kidogo God is good all the time nitakaa sawa
Nina rafiki yangu yupo UK alikuwa anataka kunitumia pesa kidogo akaniuliza una account ya bank nikamwambia sina,akaniuliza kama kuna namna nyingine ya kutuma,
Jf kuna wa somi wengi na wajuzi wa mambo naombeni msaada wenu,natanguliza shukrani karibuni
[emoji7]Nikiipata hiyo hela nitawakumbuka jamani[emoji847]
Acha uhuni wewe. Mtu kashakwambia afya yake haipo vizuri bado tu unataka umgeuze fursa???Hizo world limit unazoambiwa pesa zinasumbua kufika huko ndugu. Hapo mtafute mtu mwenye ALIPAY akusaidie ova.
Hizi njaa hizi.Kama upo tayari mimi naweza kukusaidia kwa Alipay then nakutumia kwa Mpesa, Ila inabidi unichangie kidogo.
Ndio nimemaliza shule majuz tuu mambo ya bank bado sinaLakini turudi nyuma kidogo. Hivi mtu mzima kama wewe unakosaje account bank? Au unamuogopa Magufuli atafufuka?
Sawa mkuu hamna shida.Acha uhuni wewe. Mtu kashakwambia afya yake haipo vizuri bado tu unataka umgeuze fursa???
Nimeweka mpaka ushahidi wa kupokea muamala wewe na njaa zako umeng'ang'ania uchangiwe uchangiwe.
Jitahidi sasa ufungue visa ya BancABC au Mastercard ya NMb chap chap account ni fasta.. kianzio hizi zote ni Tshs. 10,000Ndio nimemaliza shule majuz tuu mambo ya bank bado sina