Nawezaje kurudiana naye?

Nawezaje kurudiana naye?

Nasumbuliwa na red eyes [emoji102] yaani nlkua naona notifications tu zinaingia hata sijui za mada gani maana siwezi kusoma kabisa.. hapa naona afadhari kidogo macho yameacha kuwasha..

Kusema kweli wewe ulikosea kuua kiumbe kisichokua na hatia, kweli ulishindwa hata kuchoma vitumbua na mihogo ili upate pesa za kujikimu uje kumlea mwaneko...

Unataka kusema toka umalize chuo hukua unajishughulisha na kitu chochote kabisa? Ulkua kula kulala tu?

Ni kweli nilikosea na nilishaomba toba kwasasa hilo achana nalo

Kuhusu shughuli nilikuwa sina ndio nilikuwa nimemaliza chuo nina miezi 3 home
 
Huyo ana lake jambo, si bure. Anayajua madhaifu yako ndo maana anataka akubebeshe ujauzito tena kisha akutelekeze.

Endelea kusonga mbele binti, muombe Mungu akukutanishe na mwanaume sahihi na wa kukufaa katika maisha yako.
 
Nachoona utarudi kwa kuwa unaogopa mambo ya umri. Ila vipi kuhusu mahusiano Yako ya kwanza kabla yake, huyo jamaa hayupo?
 
Amegundua wewe ndio mwanamke sahihi kwake ila kuna hayo mliyopitia pamoja huko nyuma.. Sasa mkishaingia kwenye ndoa na kuzoeana siku ukitokea ugomvi mdogo tu makaburi yote yatafukuliwa!
Makinika! Baki na msimamo wako! Usirudi nyuma! Uliyoyaona huko nyuma kwake na kwa ndugu zake yakupe fundisho lisilosahaulika
Safi
 
Subiri uolewe Acha kuendeshwa na Hisia, Huyo mwanajeshi possibility ya kukuoa ni ndogo Sana, Ukuhadaika na Ajira yake Basi Jua umepotezwa, Umri wako unazidi kusonga na Ukijiingiza kwenye Mahusiano nae basi jua wewe ndo Upo kwenye Hatari zaidi na Kitakachojiri ni kuachwa ubaki single mwenye kisirani kisoisha, tuliza apple [emoji519] hilo subiri ndoa basi, Ila Ukiona unahitaji Sana Mahusiano sawa, Lakini ujiandae na Matokeo ya kutelekezwa maana Hakuna guaranteed ya Kuolewa eti sababu Tu umezaa nae never
 
Back
Top Bottom