Nasumbuliwa na red eyes [emoji102] yaani nlkua naona notifications tu zinaingia hata sijui za mada gani maana siwezi kusoma kabisa.. hapa naona afadhari kidogo macho yameacha kuwasha..
Kusema kweli wewe ulikosea kuua kiumbe kisichokua na hatia, kweli ulishindwa hata kuchoma vitumbua na mihogo ili upate pesa za kujikimu uje kumlea mwaneko...
Unataka kusema toka umalize chuo hukua unajishughulisha na kitu chochote kabisa? Ulkua kula kulala tu?
Kaza hapo hapo kwenye msimamo wakoHahaha tunashaurika bhn
Huyo ana lake jambo, si bure. Anayajua madhaifu yako ndo maana anataka akubebeshe ujauzito tena kisha akutelekeze.
Endelea kusonga mbele binti, muombe Mungu akukutanishe na mwanaume sahihi na wa kukufaa katika maisha yako.
Kaza hapo hapo kwenye msimamo wako
Nachoona utarudi kwa kuwa unaogopa mambo ya umri. Ila vipi kuhusu mahusiano Yako ya kwanza kabla yake, huyo jamaa hayupo?
Huyo Jamaa Ana miaka sita ya kazi ndo aoe
Bila shaka ni soldier
Sema Nini we usikilize moyo wako
Binti huyo bwana ako ni singo bado sio? Hebu njoo inbox chap nikupe mawili matatu
Yupo kambi gani .
Ni moja
Songa mbele
SafiAmegundua wewe ndio mwanamke sahihi kwake ila kuna hayo mliyopitia pamoja huko nyuma.. Sasa mkishaingia kwenye ndoa na kuzoeana siku ukitokea ugomvi mdogo tu makaburi yote yatafukuliwa!
Makinika! Baki na msimamo wako! Usirudi nyuma! Uliyoyaona huko nyuma kwake na kwa ndugu zake yakupe fundisho lisilosahaulika
Ndo malipo yake hayo na ni hapa hapa dunianiNilipogundua nina ujauzito nilimpotezeaa
ππππKwa io hujawahi kutiwa tena?? Mmmhhh bagosha
Sasa tungechangia nini sisi baba zake kuhusu masuala ya zinaa zenu nyie wanetu.Ina maana uzi wa tangu saa sita hauna mchangiaji?
Tabia mbaya