Nawezaje kurudiana naye?

Nawezaje kurudiana naye?

Miaka michache nyuma nikiwa na Miaka 23 ndio nimetoka kumaliza degree yangu katika chuo kikuu cha mzumbe kwa bahati mbaya nilijiingiza kwenye upuuzi ambao mpk Leo naujutia
Nimetumia ID mpya ili nisijulikane

Nikiwa na huo umri ndio kwa mara ya kwanza nilikutana na mwanaume yaani mpk namaliza chuo sikuwai kushiriki sex nilijitunza sana nikitamani nami niingie kwenye ndoa nikiwa bikira.. sio kwamba siku na mahusiano nilikuwa nayo ila yalikuwa yale ya no sex till marriage

Niseme tu bahatii mbaya nilikutana na Kijana ambae alikuwa ametoka kuajiliwa ana miezi kama miwili tangu apate ajira nikajikuta nimeanzisha nae mahusiano ghafla sijui ni nini kilitokea ila nilijikuta nimempenda ghafla sana.. ndani ya wiki moja akaniita geto kwake ambalo alikuwa analitumia weekend maana alikuwa anakaa kambini…

Kwa mara ya kwanza nikashiriki nae sex na siku hiyohiyo mimba ikaingia kitu ambacho sikukitarajia maana nilikuwa siku salama I mean nilibakiza siku 3 niingie hedhi… ukweli nilichanganyikiwa sana sio kidogo nikiangalia sina kazi nakaa kwetu nyumbani kwenyewe kula mtihani ubaya zaidii huyu Kama simfahamu nimekutana nae wiki moja tu kiufupi ilikuwa Kama pigo kwangu..cha ajabu zaidi kijana tupo age moja na nilipomwambia tu Nina mimba alianza kunipa da kitu ambacho kilifanya nimchukie nikiamini kuwa ameniharibia maisha yangu.. kilichoniudhi zaidii yule kaka alienda kuwaambia ndugu zake wote Mimi nina ujauzito wake, nikawa sina namna ikabidi nimshirikishe ndugu yangu aisee kitu cha kwanza aliniambia niitoe kijana nae akawa haelewekii leo anasema nitoe kesho anasema nisitoe yeye atalea.. kimbembe kikaja kwa ndugu zake wakawa wanamwambia kuwa inawezekana mimba siyo yake nimemsingizia kwasababu nimeona ana kazi ikafikia hatua ndugu zake wananiambia niitoe maana naweza kutelekezwa mara waseme namdangia ndugu yao kitu ambacho kiliniuma sana

Nikawa sina msaada wowote zaidii ya mwanaume alikubali kulea mimba ile akawa anahudumia akafungua account benk kiufupi alikuwa anaonesha nia japo pesa zake ni ukiomba utasubirishwaa sanaa yaani kila siku ni ahadi.. nyumbani wote waligomaa hawataki kusikia kuhusu mimi hapo tayari mimba ina week 3 nikawa sasa nimechanganyikiwa nikiwaza mtu ninaezaa nae muda wowote atanigeukaa jamii nayo itanionajee yaani kelele zikawa nyingi mwishoni nikaona bora nisikilize wengi nikaamua kufanya abortion ikiwa na wiki 3 sikumwambia yule Kijana mpk ilipofika miezi 2 ndio nilimwambia imetoka sikusema Kama niliitoa tuligombana sana akanitukana sana akisema nimeitoa.. nikashikilia msimamo wangu kuwa sijaitoa imetoka basi yule kijana akaniambia Kama kweli hivyo anataka tena anipe mimba nyingine maana yeye alishawaambia ndugu zake.. Mimi nikawa nazungusha tu,, tuligombana kila siku na yeye ndio alikuwa mkorofi nikaona atakuja kuniua nikamwambia tuachane alikuwa king’ang’anizi kiasi kwamba akaanza kunitukana nilichofanya nikabadili namba

Sasa kilichonileta hapa ni kuwa amerudi tena anahitaji tuwe wote ila Sharti analonipa ili aniamini anahitaji tuzae wote tena na tukaishi pamoja.. nilichomjibu ni kuwa haiwezekani akitaka tuoane ndio tuzae ila kwa kazi yake muda wa kuoa bado haujafika… Sasa amekuwa akinisumbua sana turudiane ila mimi naogopa asije kuwa anataka kulipa kisasi… tangu tuachane ni Miaka imepita na Mimi sijawah tena kujiingiza na mahusiano nilishaomba toba kwa mwenyezi Mungu na Nina imani nimesamehewa Sina mwanaume yoyote wala sikuwai kukutana na mwanaume mwingi baada yake

Ushaurii wenu nifanyaje

Nimetumia fake ID ili nipate ushaurii kwa uhuru
Wewe ndiye uliyezingua. Tena umezingua sana siyo kidogo. Hivi ni kwanini mwanaume aliyekupenda akakuvumilia mda wote mkiwa chuo bila sex ulimsaliti, ukaenda kumpatia Tunda kimasihara mwanaume uliyejuana naye wiki moja tu???
 
Miaka michache nyuma nikiwa na Miaka 23 ndio nimetoka kumaliza degree yangu katika chuo kikuu cha mzumbe kwa bahati mbaya nilijiingiza kwenye upuuzi ambao mpk Leo naujutia
Nimetumia ID mpya ili nisijulikane

Nikiwa na huo umri ndio kwa mara ya kwanza nilikutana na mwanaume yaani mpk namaliza chuo sikuwai kushiriki sex nilijitunza sana nikitamani nami niingie kwenye ndoa nikiwa bikira.. sio kwamba siku na mahusiano nilikuwa nayo ila yalikuwa yale ya no sex till marriage

Niseme tu bahatii mbaya nilikutana na Kijana ambae alikuwa ametoka kuajiliwa ana miezi kama miwili tangu apate ajira nikajikuta nimeanzisha nae mahusiano ghafla sijui ni nini kilitokea ila nilijikuta nimempenda ghafla sana.. ndani ya wiki moja akaniita geto kwake ambalo alikuwa analitumia weekend maana alikuwa anakaa kambini…

Kwa mara ya kwanza nikashiriki nae sex na siku hiyohiyo mimba ikaingia kitu ambacho sikukitarajia maana nilikuwa siku salama I mean nilibakiza siku 3 niingie hedhi… ukweli nilichanganyikiwa sana sio kidogo nikiangalia sina kazi nakaa kwetu nyumbani kwenyewe kula mtihani ubaya zaidii huyu Kama simfahamu nimekutana nae wiki moja tu kiufupi ilikuwa Kama pigo kwangu..cha ajabu zaidi kijana tupo age moja na nilipomwambia tu Nina mimba alianza kunipa da kitu ambacho kilifanya nimchukie nikiamini kuwa ameniharibia maisha yangu.. kilichoniudhi zaidii yule kaka alienda kuwaambia ndugu zake wote Mimi nina ujauzito wake, nikawa sina namna ikabidi nimshirikishe ndugu yangu aisee kitu cha kwanza aliniambia niitoe kijana nae akawa haelewekii leo anasema nitoe kesho anasema nisitoe yeye atalea.. kimbembe kikaja kwa ndugu zake wakawa wanamwambia kuwa inawezekana mimba siyo yake nimemsingizia kwasababu nimeona ana kazi ikafikia hatua ndugu zake wananiambia niitoe maana naweza kutelekezwa mara waseme namdangia ndugu yao kitu ambacho kiliniuma sana

Nikawa sina msaada wowote zaidii ya mwanaume alikubali kulea mimba ile akawa anahudumia akafungua account benk kiufupi alikuwa anaonesha nia japo pesa zake ni ukiomba utasubirishwaa sanaa yaani kila siku ni ahadi.. nyumbani wote waligomaa hawataki kusikia kuhusu mimi hapo tayari mimba ina week 3 nikawa sasa nimechanganyikiwa nikiwaza mtu ninaezaa nae muda wowote atanigeukaa jamii nayo itanionajee yaani kelele zikawa nyingi mwishoni nikaona bora nisikilize wengi nikaamua kufanya abortion ikiwa na wiki 3 sikumwambia yule Kijana mpk ilipofika miezi 2 ndio nilimwambia imetoka sikusema Kama niliitoa tuligombana sana akanitukana sana akisema nimeitoa.. nikashikilia msimamo wangu kuwa sijaitoa imetoka basi yule kijana akaniambia Kama kweli hivyo anataka tena anipe mimba nyingine maana yeye alishawaambia ndugu zake.. Mimi nikawa nazungusha tu,, tuligombana kila siku na yeye ndio alikuwa mkorofi nikaona atakuja kuniua nikamwambia tuachane alikuwa king’ang’anizi kiasi kwamba akaanza kunitukana nilichofanya nikabadili namba

Sasa kilichonileta hapa ni kuwa amerudi tena anahitaji tuwe wote ila Sharti analonipa ili aniamini anahitaji tuzae wote tena na tukaishi pamoja.. nilichomjibu ni kuwa haiwezekani akitaka tuoane ndio tuzae ila kwa kazi yake muda wa kuoa bado haujafika… Sasa amekuwa akinisumbua sana turudiane ila mimi naogopa asije kuwa anataka kulipa kisasi… tangu tuachane ni Miaka imepita na Mimi sijawah tena kujiingiza na mahusiano nilishaomba toba kwa mwenyezi Mungu na Nina imani nimesamehewa Sina mwanaume yoyote wala sikuwai kukutana na mwanaume mwingi baada yake

Ushaurii wenu nifanyaje

Nimetumia fake ID ili nipate ushaurii kwa uhuru
😂😂😂😂
 
Miaka michache nyuma nikiwa na Miaka 23 ndio nimetoka kumaliza degree yangu katika chuo kikuu cha mzumbe kwa bahati mbaya nilijiingiza kwenye upuuzi ambao mpk Leo naujutia
Nimetumia ID mpya ili nisijulikane

Nikiwa na huo umri ndio kwa mara ya kwanza nilikutana na mwanaume yaani mpk namaliza chuo sikuwai kushiriki sex nilijitunza sana nikitamani nami niingie kwenye ndoa nikiwa bikira.. sio kwamba siku na mahusiano nilikuwa nayo ila yalikuwa yale ya no sex till marriage

Niseme tu bahatii mbaya nilikutana na Kijana ambae alikuwa ametoka kuajiliwa ana miezi kama miwili tangu apate ajira nikajikuta nimeanzisha nae mahusiano ghafla sijui ni nini kilitokea ila nilijikuta nimempenda ghafla sana.. ndani ya wiki moja akaniita geto kwake ambalo alikuwa analitumia weekend maana alikuwa anakaa kambini…

Kwa mara ya kwanza nikashiriki nae sex na siku hiyohiyo mimba ikaingia kitu ambacho sikukitarajia maana nilikuwa siku salama I mean nilibakiza siku 3 niingie hedhi… ukweli nilichanganyikiwa sana sio kidogo nikiangalia sina kazi nakaa kwetu nyumbani kwenyewe kula mtihani ubaya zaidii huyu Kama simfahamu nimekutana nae wiki moja tu kiufupi ilikuwa Kama pigo kwangu..cha ajabu zaidi kijana tupo age moja na nilipomwambia tu Nina mimba alianza kunipa da kitu ambacho kilifanya nimchukie nikiamini kuwa ameniharibia maisha yangu.. kilichoniudhi zaidii yule kaka alienda kuwaambia ndugu zake wote Mimi nina ujauzito wake, nikawa sina namna ikabidi nimshirikishe ndugu yangu aisee kitu cha kwanza aliniambia niitoe kijana nae akawa haelewekii leo anasema nitoe kesho anasema nisitoe yeye atalea.. kimbembe kikaja kwa ndugu zake wakawa wanamwambia kuwa inawezekana mimba siyo yake nimemsingizia kwasababu nimeona ana kazi ikafikia hatua ndugu zake wananiambia niitoe maana naweza kutelekezwa mara waseme namdangia ndugu yao kitu ambacho kiliniuma sana

Nikawa sina msaada wowote zaidii ya mwanaume alikubali kulea mimba ile akawa anahudumia akafungua account benk kiufupi alikuwa anaonesha nia japo pesa zake ni ukiomba utasubirishwaa sanaa yaani kila siku ni ahadi.. nyumbani wote waligomaa hawataki kusikia kuhusu mimi hapo tayari mimba ina week 3 nikawa sasa nimechanganyikiwa nikiwaza mtu ninaezaa nae muda wowote atanigeukaa jamii nayo itanionajee yaani kelele zikawa nyingi mwishoni nikaona bora nisikilize wengi nikaamua kufanya abortion ikiwa na wiki 3 sikumwambia yule Kijana mpk ilipofika miezi 2 ndio nilimwambia imetoka sikusema Kama niliitoa tuligombana sana akanitukana sana akisema nimeitoa.. nikashikilia msimamo wangu kuwa sijaitoa imetoka basi yule kijana akaniambia Kama kweli hivyo anataka tena anipe mimba nyingine maana yeye alishawaambia ndugu zake.. Mimi nikawa nazungusha tu,, tuligombana kila siku na yeye ndio alikuwa mkorofi nikaona atakuja kuniua nikamwambia tuachane alikuwa king’ang’anizi kiasi kwamba akaanza kunitukana nilichofanya nikabadili namba

Sasa kilichonileta hapa ni kuwa amerudi tena anahitaji tuwe wote ila Sharti analonipa ili aniamini anahitaji tuzae wote tena na tukaishi pamoja.. nilichomjibu ni kuwa haiwezekani akitaka tuoane ndio tuzae ila kwa kazi yake muda wa kuoa bado haujafika… Sasa amekuwa akinisumbua sana turudiane ila mimi naogopa asije kuwa anataka kulipa kisasi… tangu tuachane ni Miaka imepita na Mimi sijawah tena kujiingiza na mahusiano nilishaomba toba kwa mwenyezi Mungu na Nina imani nimesamehewa Sina mwanaume yoyote wala sikuwai kukutana na mwanaume mwingi baada yake

Ushaurii wenu nifanyaje

Nimetumia fake ID ili nipate ushaurii kwa uhuru
Una Ujinga flani hivi..Jitambue
 
Achana nae uyo jamaa hana maamuzi anaendeshwa na ndugu zake
ogopa watu wa namn iyo
 
Wewe ndiye uliyezingua. Tena umezingua sana siyo kidogo. Hivi ni kwanini mwanaume aliyekupenda akakuvumilia mda wote mkiwa chuo bila sex ulimsaliti, ukaenda kumpatia Tunda kimasihara mwanaume uliyejuana naye wiki moja tu???

Hayakuwa mahusiano serious Kama mnavojua wenyewe mnapenda uchi msipopewa mnaona hampendwi so siwezi kusema alikuwa akinipenda while mawasiliano yalikuwa hafifu mnaweZa kaa hata miezi 2 hamjawasiliana
 
Amegundua wewe ndio mwanamke sahihi kwake ila kuna hayo mliyopitia pamoja huko nyuma.. Sasa mkishaingia kwenye ndoa na kuzoeana siku ukitokea ugomvi mdogo tu makaburi yote yatafukuliwa!
Makinika! Baki na msimamo wako! Usirudi nyuma! Uliyoyaona huko nyuma kwake na kwa ndugu zake yakupe fundisho lisilosahaulika
Word...
 
AMKA NA HII NA IBEBE YOTE; Kulea mtoto mwenyewe si kazi ndogo, narudia, hakuna kazi ngumu kama kulea mtoto mwenyewe. Mimi nashauri watu nawasikiliza kila siku, acheni kudanganyika na hizi picha za mitandaoni ambapo mtu kapost picha ya mtoto wake mitandaoni anaonyesha kama ana furaha na maisha mazuri.

Wengi ukiona kapost mtoto, jua tu katoka kulia. Najua mnawaza, "si nina kazi yangu!" Dada, mtoto halelewi na kazi, yaani ukishazaa ndiyo utagundua kwamba hata kama mshahara wako ni milioni 10 kwa mwezi, bado unahitaji mtu wa kukuambia mtoto anaendeleaje, mbona anaonekana kama anaumwa, au tumpeleke hospitalini!

Ndipo utajua kwamba, mtoto akiamka usiku analia bila sababu unahitaji hata mtu wa kumuambia, "hembu mshike kidogo nimebanwa," unaingia chooni kuny*a nusu saa ana hisi unaumwa tumbo kumbe umemuachia ambeleze mtoto na ushashikwa na usingizi huko chooni. Narudia, kuwa single mother si kazi ndogo.

Yaani hata kama una hela, mwanaume asipotoa kidogo utaumia na kuumia. Hivyo mambo ya mtu kukuambia zaa kamoja, sijui umeshakuwa mkubwa, mambo ya mwanaume kukuambia beba mimba ili iwe rahisi mimi kuja kwenu kujitambulisha, dada huo ni upuuzi. Ukishabeba mimba na kuzaa, hakuna cha kutambulishana wala nini!

Naandika hiki kitu kwa huruma nikiwa nimechoka kwani kuna binti anasoma hii post, halafu ataenda kufanya mapenzi leo bila kinga wakati anajua kabisa kwamba mzunguko wake ni kama wa Konokono, haueleweki! Leo yuko kwenye siku zake, kesho zimeisha, kesho kutwa zimerudi! Ukishabeba mimba zamani nilikuwa sina cha kumwambia zaidi ya kusema pole!

Lakini sasa hivi ukishabeba mimba ukinitafuta nina kitabu cha "JINSI YA KUACHANA NA U-SINGLE MOTHER" ukija kunambia tu kuna mwanaume nina mimba yake hataki kunihudumia, nakuambia nunua kitabu. Dada, si kazi rahisi kulea, tumieni kinga, hao watu hawaoi!
 
Huyu simuwezi yaani kitu kidogo anawaambia ndugu zake… dada yake tu aliniambia kama unataka kuteseka basi zaa nae labda kama nikubali kuzaa nae ila nilee peke angu ni kama mvuta bangi
Sasa mpaka ndugu zake wamekueleza hilo, unahitaji nini tena kusikia kuhusu huyo jamaa?

Ukirudia kula matapishi shauri yako.
 
Miaka michache nyuma nikiwa na Miaka 23 ndio nimetoka kumaliza degree yangu katika chuo kikuu cha mzumbe kwa bahati mbaya nilijiingiza kwenye upuuzi ambao mpk Leo naujutia
Nimetumia ID mpya ili nisijulikane

Nikiwa na huo umri ndio kwa mara ya kwanza nilikutana na mwanaume yaani mpk namaliza chuo sikuwai kushiriki sex nilijitunza sana nikitamani nami niingie kwenye ndoa nikiwa bikira.. sio kwamba siku na mahusiano nilikuwa nayo ila yalikuwa yale ya no sex till marriage

Niseme tu bahatii mbaya nilikutana na Kijana ambae alikuwa ametoka kuajiliwa ana miezi kama miwili tangu apate ajira nikajikuta nimeanzisha nae mahusiano ghafla sijui ni nini kilitokea ila nilijikuta nimempenda ghafla sana.. ndani ya wiki moja akaniita geto kwake ambalo alikuwa analitumia weekend maana alikuwa anakaa kambini…

Kwa mara ya kwanza nikashiriki nae sex na siku hiyohiyo mimba ikaingia kitu ambacho sikukitarajia maana nilikuwa siku salama I mean nilibakiza siku 3 niingie hedhi… ukweli nilichanganyikiwa sana sio kidogo nikiangalia sina kazi nakaa kwetu nyumbani kwenyewe kula mtihani ubaya zaidii huyu Kama simfahamu nimekutana nae wiki moja tu kiufupi ilikuwa Kama pigo kwangu..cha ajabu zaidi kijana tupo age moja na nilipomwambia tu Nina mimba alianza kunipa da kitu ambacho kilifanya nimchukie nikiamini kuwa ameniharibia maisha yangu.. kilichoniudhi zaidii yule kaka alienda kuwaambia ndugu zake wote Mimi nina ujauzito wake, nikawa sina namna ikabidi nimshirikishe ndugu yangu aisee kitu cha kwanza aliniambia niitoe kijana nae akawa haelewekii leo anasema nitoe kesho anasema nisitoe yeye atalea.. kimbembe kikaja kwa ndugu zake wakawa wanamwambia kuwa inawezekana mimba siyo yake nimemsingizia kwasababu nimeona ana kazi ikafikia hatua ndugu zake wananiambia niitoe maana naweza kutelekezwa mara waseme namdangia ndugu yao kitu ambacho kiliniuma sana

Nikawa sina msaada wowote zaidii ya mwanaume alikubali kulea mimba ile akawa anahudumia akafungua account benk kiufupi alikuwa anaonesha nia japo pesa zake ni ukiomba utasubirishwaa sanaa yaani kila siku ni ahadi.. nyumbani wote waligomaa hawataki kusikia kuhusu mimi hapo tayari mimba ina week 3 nikawa sasa nimechanganyikiwa nikiwaza mtu ninaezaa nae muda wowote atanigeukaa jamii nayo itanionajee yaani kelele zikawa nyingi mwishoni nikaona bora nisikilize wengi nikaamua kufanya abortion ikiwa na wiki 3 sikumwambia yule Kijana mpk ilipofika miezi 2 ndio nilimwambia imetoka sikusema Kama niliitoa tuligombana sana akanitukana sana akisema nimeitoa.. nikashikilia msimamo wangu kuwa sijaitoa imetoka basi yule kijana akaniambia Kama kweli hivyo anataka tena anipe mimba nyingine maana yeye alishawaambia ndugu zake.. Mimi nikawa nazungusha tu,, tuligombana kila siku na yeye ndio alikuwa mkorofi nikaona atakuja kuniua nikamwambia tuachane alikuwa king’ang’anizi kiasi kwamba akaanza kunitukana nilichofanya nikabadili namba

Sasa kilichonileta hapa ni kuwa amerudi tena anahitaji tuwe wote ila Sharti analonipa ili aniamini anahitaji tuzae wote tena na tukaishi pamoja.. nilichomjibu ni kuwa haiwezekani akitaka tuoane ndio tuzae ila kwa kazi yake muda wa kuoa bado haujafika… Sasa amekuwa akinisumbua sana turudiane ila mimi naogopa asije kuwa anataka kulipa kisasi… tangu tuachane ni Miaka imepita na Mimi sijawah tena kujiingiza na mahusiano nilishaomba toba kwa mwenyezi Mungu na Nina imani nimesamehewa Sina mwanaume yoyote wala sikuwai kukutana na mwanaume mwingi baada yake

Ushaurii wenu nifanyaje

Nimetumia fake ID ili nipate ushaurii kwa uhuru
Huyo kaka hakupendi ila kagundua huna msimamo,hamna kazi ambayo hawaruhusu kuoa zamani ilikuwa jeshi

lkn saizi wanaruhusu,labda km umeamua kuwa single mother ila km kweli anakupenda mwambie akuoe kwanza
 
Miaka michache nyuma nikiwa na Miaka 23 ndio nimetoka kumaliza degree yangu katika chuo kikuu cha mzumbe kwa bahati mbaya nilijiingiza kwenye upuuzi ambao mpk Leo naujutia
Nimetumia ID mpya ili nisijulikane

Nikiwa na huo umri ndio kwa mara ya kwanza nilikutana na mwanaume yaani mpk namaliza chuo sikuwai kushiriki sex nilijitunza sana nikitamani nami niingie kwenye ndoa nikiwa bikira.. sio kwamba siku na mahusiano nilikuwa nayo ila yalikuwa yale ya no sex till marriage

Niseme tu bahatii mbaya nilikutana na Kijana ambae alikuwa ametoka kuajiliwa ana miezi kama miwili tangu apate ajira nikajikuta nimeanzisha nae mahusiano ghafla sijui ni nini kilitokea ila nilijikuta nimempenda ghafla sana.. ndani ya wiki moja akaniita geto kwake ambalo alikuwa analitumia weekend maana alikuwa anakaa kambini…

Kwa mara ya kwanza nikashiriki nae sex na siku hiyohiyo mimba ikaingia kitu ambacho sikukitarajia maana nilikuwa siku salama I mean nilibakiza siku 3 niingie hedhi… ukweli nilichanganyikiwa sana sio kidogo nikiangalia sina kazi nakaa kwetu nyumbani kwenyewe kula mtihani ubaya zaidii huyu Kama simfahamu nimekutana nae wiki moja tu kiufupi ilikuwa Kama pigo kwangu..cha ajabu zaidi kijana tupo age moja na nilipomwambia tu Nina mimba alianza kunipa da kitu ambacho kilifanya nimchukie nikiamini kuwa ameniharibia maisha yangu.. kilichoniudhi zaidii yule kaka alienda kuwaambia ndugu zake wote Mimi nina ujauzito wake, nikawa sina namna ikabidi nimshirikishe ndugu yangu aisee kitu cha kwanza aliniambia niitoe kijana nae akawa haelewekii leo anasema nitoe kesho anasema nisitoe yeye atalea.. kimbembe kikaja kwa ndugu zake wakawa wanamwambia kuwa inawezekana mimba siyo yake nimemsingizia kwasababu nimeona ana kazi ikafikia hatua ndugu zake wananiambia niitoe maana naweza kutelekezwa mara waseme namdangia ndugu yao kitu ambacho kiliniuma sana

Nikawa sina msaada wowote zaidii ya mwanaume alikubali kulea mimba ile akawa anahudumia akafungua account benk kiufupi alikuwa anaonesha nia japo pesa zake ni ukiomba utasubirishwaa sanaa yaani kila siku ni ahadi.. nyumbani wote waligomaa hawataki kusikia kuhusu mimi hapo tayari mimba ina week 3 nikawa sasa nimechanganyikiwa nikiwaza mtu ninaezaa nae muda wowote atanigeukaa jamii nayo itanionajee yaani kelele zikawa nyingi mwishoni nikaona bora nisikilize wengi nikaamua kufanya abortion ikiwa na wiki 3 sikumwambia yule Kijana mpk ilipofika miezi 2 ndio nilimwambia imetoka sikusema Kama niliitoa tuligombana sana akanitukana sana akisema nimeitoa.. nikashikilia msimamo wangu kuwa sijaitoa imetoka basi yule kijana akaniambia Kama kweli hivyo anataka tena anipe mimba nyingine maana yeye alishawaambia ndugu zake.. Mimi nikawa nazungusha tu,, tuligombana kila siku na yeye ndio alikuwa mkorofi nikaona atakuja kuniua nikamwambia tuachane alikuwa king’ang’anizi kiasi kwamba akaanza kunitukana nilichofanya nikabadili namba

Sasa kilichonileta hapa ni kuwa amerudi tena anahitaji tuwe wote ila Sharti analonipa ili aniamini anahitaji tuzae wote tena na tukaishi pamoja.. nilichomjibu ni kuwa haiwezekani akitaka tuoane ndio tuzae ila kwa kazi yake muda wa kuoa bado haujafika… Sasa amekuwa akinisumbua sana turudiane ila mimi naogopa asije kuwa anataka kulipa kisasi… tangu tuachane ni Miaka imepita na Mimi sijawah tena kujiingiza na mahusiano nilishaomba toba kwa mwenyezi Mungu na Nina imani nimesamehewa Sina mwanaume yoyote wala sikuwai kukutana na mwanaume mwingi baada yake

Ushaurii wenu nifanyaje

Nimetumia fake ID ili nipate ushaurii kwa uhuru
Ukiweka condition akuoe ndo mzae, sahau kupata mtoto. Mtansubiri sana lakini hatakuja, mkihurumiwa sana atakuja kwa kuchelewa sana . Kumbuka wote hamkuwa mnamtaka huyo mtoto ndo maana ya toa, usitoe. Tumbo la uzazi linatunza kumbukumbu. Wewe sasa hivi ukizaa ni kwa kupitia kwa mtu tofauti ambaye hakuwa kwwnyw hiyo kadhia ya kutoa mimba ila huyo wa sasa naye yumo. Mkifunga ndoa ndo kabisa mtoto hatakuja. Cha msingi anza mwanzo mpya na mwanaume kutoka kwa Bwana asiye na historia yako utapata mtoto. Ukimrudia huyo kwa hizo condition utanikumbuka sana
 
nimechoka kwani kuna binti anasoma hii post, halafu ataenda kufanya mapenzi leo bila kinga wakati anajua kabisa kwamba mzunguko wake ni kama wa Konokono, haueleweki! Leo yuko kwenye siku zake, kesho zimeisha, kesho kutwa zimerudi! Ukishabeba mimba zamani nilikuwa sina cha kumwambia zaidi ya kusema pole!
😂😂😂💦
 
Akili bado huna kabisa ..
Kubali mimba uone mziki wake
 
Back
Top Bottom