Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Huu uzi unafurahisha...🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana wewe kweli ulienda shule at least jibu lako linamwanga nini chakufanyaIngia kwenye ntandao tafuta ujisomee kuhusu (LAN) Local Area Network na WAN.
Ni vitu vinawezekana. Ni upeo wako tu.
Sky is not "the limit" anymore.
Hapo asimlipe hata ISP? Hapo itabidi atengeneze infrastructure zake mwenyewe.Anataka LAN yake iunge kwenye WWW Ila asifanye malipo yoyote kwa service provider.
Dunia haiwezi kishia hapo tu lazima kuna alternativeHuyu jamaa kachoka kununua vifurushi, anatafuta shortcut. Ndugu yangu hakuna shortcut, ni kutafuta mtandao wenye vifurushi vya bei nafuu na kusonga mbele. Ova
Kwasababu unajua hivyo unamuona muulizaji kama kachelewa..Huu uzi unafurahisha...🤣🤣
Tengeneza internet yakoWataalamu wa IT fikirini nje ya box hizi ni fursa ziko ndani ya uwezo wenu.Siyo kusema tu haiwezekani
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Wala, ishu sio alieuliza ishu hao wanaojibu.. majibu yao yanafurahisha nimeyapenda.Kwasababu unajua hivyo unamuona muulizaji kama kachelewa..
Hata Mimi nilikua na hii Tabia ila mwisho wa siku ni upuuzi kwasababu kila mtu Kuna kitu hajui na anahitaji kujulishwa/kuelimishwa.
#YNWA
wewe hujamwelewa kabisa mtoa mada, yeye anataka internet bila bando, wala kulupia.Kwa jinsi nilivyomuelewa anataka kutengeneza LAN
Hapo kazi sasa!wewe hujamwelewa kabisa mtoa mada, yeye anataka internet bila bando, wala kulupia.
ndio kutengeneza intaneti yake mwenyewe, yaani asilipe mtu yeyote, iwe yake.
ana wazimu uyo landa atumie vpn tena zina mateso zinauwa mpka simu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wewe hujamwelewa kabisa mtoa mada, yeye anataka internet bila bando, wala kulupia.
ndio kutengeneza intaneti yake mwenyewe, yaani asilipe mtu yeyote, iwe yake.