fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
- Thread starter
- #21
aisee Kuna shidaTunamaliza week na vibamia
Mwingine kule anamiliki inch 2.3
DJ walete
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee Kuna shidaTunamaliza week na vibamia
Mwingine kule anamiliki inch 2.3
DJ walete
hapana mie ni old man am 60 nowSema kuwa ni mimi id haitatambulika
not minor jamaa a bit comfusedMnateswa na minor issues sana.
ok labda tumtafute dokta wa saikolojiaMwambie ajiamini na atafute mwenza atakayefurahia hicho kidogo alichonacho
hili ni jambo la kuchekesha? hapana jamaa anataabikaWatu wa jf mnachekesha sana
ni kweli anaumia sanaInaumiza sana hio uwe na kidude km battery ndogo ya remote yaan hapo ndio kimesimama
duh apige picha kweli?Bila picha siwezi kukomenti zaidi
bro sio mie,am 60 yrs mie hata ningekuwa na kibamia kwa umri huu nisingekuja kutafuta dawa maana muda wangu umeishaHayo ni maumbile ambayo huwezi kuyabadili hata iweje. Ni kama vile wengine huzaliwa warefu na wengine huzaliwa wafupi.
Pia huendana na genetics...kuna jamii fulani wamebarikiwa maumbile marefu , wenginewamebarikiwa mafupi, wengine manene na wengine membamba.
Kikubwa jikubali na endelea kupiga mzigo pia uache kujamiiana na wanawake malaya na micharuko kwasababu wao wameshakutana na wanaume wa kila sampuli. Wanaweza kukuaibisha na kutangaza mambo yao ya chumbani muda wowote.
hapanq ana ndogoYawezekana akawa hana Kibahundred,sema ni kwamba anachukua majitu yenye mavinu mabwaku yaliyozoea kutwangiwa Makande!
Kuna dogo kalikuza limekua km bilinganya Ila sishauri maana ina madhara hivi ushawahi kurefusha kidole chako cha Mwisho kikizidi kidole cha kati?ni kweli anaumia sana
huyu ni mtu mwenye kipato cha kutosha kabisaKitaalamu hii ni kama inch ngapi?
Huyu atafute hela
pesa huyo kijana anazoEeh mie nadawa najua mtaalam anayo ila unahela??
nisikie sio mimi,am above 60 huyo ni mtoto wa dada yangufimboyaasali ukiwa serious naweza kukuelekeza ukapewa dawa nzuri sana . Haina shida
okMwambie atembelee ofisi za BFSUMA zipo nchi nzima atapata suluhisho la tatizo lake
Nimekuuliza umewahi kukirefusha kidole chako cha Mwisho kikizidi kidole cha kati umeona kilivyokua? Sasa ndio inavyokua kwa mtu anaekuza maumbile yake ya Zakariahuyu ni mtu mwenye kipato cha kutosha kabisa
Unavyosisitiza nimemshajuna muhusikahapanq ana ndogo
Hata ukiwa wewe hujafa so lazima so upo tayari nikuelekeze unaweza kuja tanga??huyu mtu sio namjua ila naweza kutafuta ji na lakenisikie sio mimi,am above 60 huyo ni mtoto wa dada yangu