Nawezaje kuwa na furaha na amani ya roho?

Nawezaje kuwa na furaha na amani ya roho?

Sasa nikikutajia Mimi Napo ishi..utaona Hapo airport.karibu...Vipi huendagi mipango kutafuta pisikali...au HUNA HELA ...pumbu TU [emoji23][emoji23][emoji23]
Haa πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€πŸ˜€
Pisi Kali Mimi Naanzia Hapa Mkuu Alipowaambia Kunambi Na EX DC Wa Dodoma Waoe
Naanzia CBE Ndiyo Napata Connection
Mipango Nakwenda Kuchungulia Jirani Na Kule Kwenye Nyumba Ya Kupanga Za Kishimba πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜ƒπŸ˜πŸ™„πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ€£



Airport Mpya Unakotaka Kujengwa Nako Kuna Pisi Kali
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ€©πŸ˜˜πŸ˜‚
 
Haa [emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]
Pisi Kali Mimi Naanzia Hapa Mkuu Alipowaambia Kunambi Na EX DC Wa Dodoma Waoe
Naanzia CBE Ndiyo Napata Connection
Mipango Nakwenda Kuchungulia Jirani Na Kule Kwenye Nyumba Ya Kupanga Za Kishimba [emoji16][emoji23][emoji28][emoji2][emoji52][emoji849][emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787]



Airport Mpya Unakotaka Kujengwa Nako Kuna Pisi Kali
[emoji16][emoji16][emoji7][emoji2956][emoji8][emoji23]
Haya mkuu... Atafutae akosi
 
Hali hii imeakuanza lini? Ni mara yako ya kwanza au huwa inakutokea mara kwa mara? Je, kuna tukio lo lote baya (mf. kufiwa na mzazi au mpendwa wako) ambalo limetokea au lilitokea kipindi hiki? Afya yako ikoje? Umeongezeka (sana) uzito au kukonda ghafla? Kazini kuna misukosuko? Maisha yako kimapenzi yamekaaje? Kuna mabadiliko yo yote hasi kiuchumi? Ulikuwa mfuasi wa CHADEMA katika uchaguzi uliopita? Kiroho umesimama imara?

Majibu ya maswali hayo juu (na mengineyo) yaweza kutoa fununu lakini pia yawezekana ni msongo wa mawazo (depression) umekuanza. Kama ni hivyo utahitaji msaada wa kitaalamu kutoka kwa daktari wako au watoa nasaha. Au yawezekana ni mvurugano tu wa homoni na makemikali mwilini na hali hiyo yaweza kujirekebisha yenyewe tu.

Kwa sasa jaribu kuwa karibu na watu wakupendao. Kama kuna mmoja unayemwamini mwambie unavyojisikia. Unahitaji faraja na watu wanaojali. Kama ni muumini yawezekana pia ikawa ni vita vya kiroho. Mbali na wewe mwenyewe kupambana katika maombi, jaribu kumshirikisha kiongozi wako wa kiroho. Kama upo katika kikundi cha maombi au jumuia waombe wawashe moto wa maombi kwa ajili yako. Epuka kuwaza mawazo hasi na jitahidi sana kufanya mambo uyapendayo na hasa hasa kusaidia wenye shida. Badala tu ya kujifungia ndani, kama unaweza, nenda hata hospitalini huko ukasalimie wagonjwa siku za wikiendi au wakati wo wote unapokuwa na muda. Saidia watoto katika vituo vya mayatima huko na matendo mengine madogo madogo ya wema. Naamini baada ya muda msukosuko huu utapita, moyo wako utatanzuka na furaha yako itarejea.

Na kumbuka tu kwamba "you are fearfully and wonderfully made. Mungu Akubariki. [emoji1545][emoji1545][emoji1545]


View attachment 1624935
Kwamba labda alikuwa mfuasi wa chadema.hahahahaaaa
 
Acha kutumia muda mwingi pekee yako kama kujificha kwenye mitandao ya kijamii huku ukidhani umejichanganya na watu.

Pia usipende kujilinganisha maisha yako na mwingine. Mfano sababu mtu fulani alipata mume kwenye umri fulani basi na wewe unahisi mambo yatakuwa hivyo hivyo.

Weka malengo yako mwenyewe kupitia hayo pambana kufanikisha bila kuangalia watu wengine.

Take it easy kwanini ukose amani wakati tunaishi mara moja.

Kuna watu wanatamani hali uliyonayo furahia na shukuru ulichonacho maana wengine wanakitafuta ila hadi leo hawajapata.
 
Unasumbuliwa na depression, msongo wa mawazo

Kuwa muislam,ataepukana na Watu waongo kama kina ngwajima

Kusali mara tano kwa siku itakuweka huru,itaondoa fikra mbovu ulizokuwa nazo
 
Jenga akili yako katika yafuatayo.

1: Sisi binaadam ni vipande vidogo sana katika stori kubwa ya maisha ya ulimwengu.

2: Hakuna jambo lolote lile liwe la ajabu kiasi gani wa zuri kiasi gani litaushtua moyo wako.. utashangaa kwa kiasi, Kuumia kwa kiasi na kufurahia kwa kiasi

3: kila siku ni mpya.. na inakuja na furaha mpya na matatizo mapya. Jana ikienda na iende na yake... Ukiamua asubuhi pokea baraka za siku kwa kutamka kabisa "Asante Mungu kwa siku ya leo" nenda uienjoy na ikikukera unakasirika jioni ulilala ukiamka unaanza upya na siku mpya.

4: usiitegemeze furaha yako kwa watu au vitu. Vyote vitakudisappoint. Furaha yako ni yako tuu expect less from people.

5: Jichanganye na watu.. be yourself.. na usiogope.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.

Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.

Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.

Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.

Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi...

Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.

Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.

Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
Tafuta kitabu kilichoandikwa 'THE POWER OF POSITIVE THINKING'
 
Pombe sinywi, sigara na bangi sivuti, mirungi wala unga siijui. Basi nakufata tutakuwa na ya kuongea
 
Mimi nikiwa nina hiyo hali hata kutoka siwezi, natoka tu ikiwa chanzo cha tatizo ni hapo home nilipo, hapo huwa natamani hata kuhama nyumba


Naepuka kwa vyovyote mtu anayenisababishia hiyo hali, hata kama ni mtu ambaye naona ni muhimu kuliko wote, kama ananikosesha amani, namuepuka kabisa.

Hiyo ni hali mbaya isiyoelezeka
Kabisa
 
"Hii ndo njia pekee ya kupunguza stress..."

Hapana. Labda kama unaongelea stress za kawaida tu siyo clinical depression au clinical stress. Haya mambo yana trigger nyingi na hayawezi kuwa na jibu moja kwa sababu kila mtu yuko tofauti na mwingine. Siyo wote wanaweza kuondoa stress/depression kwa kuangalia muvi za Kikorea ambazo hazijatafsriwa, kunywa maziwa na kujifungia ndani [emoji16][emoji16][emoji16]
Maisha bana wewe acha tu
 
Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.

Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.

Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.

Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.

Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi...

Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.

Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.

Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
Ni vizuri ujue chanzo cha tatizo kwanza ndipo unaweza pata suluhisho
 
Anza kutoka outing na marafiki zako au ndugu. Cheza muziki, kunywa pombe ila usiwe mlevi. Inasaidia
 
Back
Top Bottom