Unataka kumuongezea stress mwenzioMpokee Yesu Kristo awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako utapata furaha ya Milele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kumuongezea stress mwenzioMpokee Yesu Kristo awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako utapata furaha ya Milele
Mimi Ni muisilamu... Na Imani dhabiti katika Mungu Wangu... Hakika nakwambiaUnasumbuliwa na depression, msongo wa mawazo
Kuwa muislam,ataepukana na Watu waongo kama kina ngwajima
Kusali mara tano kwa siku itakuweka huru,itaondoa fikra mbovu ulizokuwa nazo
Unaishi mkoa gnHate uwanja wa tennis Sijawai uona live...
Huamini?
yes[emoji848][emoji848][emoji848]...
Una ubavu wa kuangalia epsode 200?
Ni pmNimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.
Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.
Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.
Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.
Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi...
Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.
Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.
Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
Sali,amka saa nane usiku, Sali suna,muombe MunguMimi Ni muisilamu... Na Imani dhabiti katika Mungu Wangu... Hakika nakwambia
Unaonekana uko real sana na maisha, sometimes pendelea kujitoa outNimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.
Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.
Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.
Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.
Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi...
Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.
Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.
Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
Duh!pombe tena..ikitoka matatizo yako pale pale..
Ccm ikiondoka furaha itarejea.Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.
Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.
Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.
Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.
Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi...
Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.
Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.
Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
Hio ni hali inayomtokea mtu mwenye malengo fulani na bado hajayafikia, usiiruhusu kubadika na kukukatisha tamaa, bali itumia kama kichocheo cha kufikia malengo yako, fanya utafiti wa njia ambayo unaweza kuichukua ili kufikia malengo yako hata kama itachukua muda mrefu . na ungana na watu ambao wanamalengo sawa na wewe km, semina, matamasha nk, pia kuna mafunzo na ushauri online zifuatilie.Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.
Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.
Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.
Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.
Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi...
Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.
Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.
Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
Kama hujaolewa fanya uolewe kwanza. Kama umeolewa narudi kukupa tiba.Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.
Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.
Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.
Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.
Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi...
Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.
Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.
Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.