Nawezaje kuwa na furaha na amani ya roho?

Nawezaje kuwa na furaha na amani ya roho?

Tafuta kitabu kilichoandikwa 'THE POWER OF POSITIVE THINKING'
Kitabu nimekisoma hichi.... Niwe mkweli kilinisogeza karibu na Mungu Wangu...Japo nichadini tofauti na Yangu...wamesisitiza Sana kusali..japo sikukimaliza
 
Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.

Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.

Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.

Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.

Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi...

Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.

Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.

Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
Ni pm
 
Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.

Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.

Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.

Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.

Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi...

Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.

Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.

Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
Unaonekana uko real sana na maisha, sometimes pendelea kujitoa out
 
Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.

Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.

Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.

Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.

Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi...

Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.

Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.

Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
Ccm ikiondoka furaha itarejea.
 
Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.

Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.

Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.

Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.

Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi...

Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.

Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.

Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
Hio ni hali inayomtokea mtu mwenye malengo fulani na bado hajayafikia, usiiruhusu kubadika na kukukatisha tamaa, bali itumia kama kichocheo cha kufikia malengo yako, fanya utafiti wa njia ambayo unaweza kuichukua ili kufikia malengo yako hata kama itachukua muda mrefu . na ungana na watu ambao wanamalengo sawa na wewe km, semina, matamasha nk, pia kuna mafunzo na ushauri online zifuatilie.
 
Piga chini marafiki zako wote. Usisahau piga chini ndg wote. Ukiweza hama maeneo ya kwenu uliopo.

Nenda mbali wakutafute wasikutafute watajiju. Ukifika huko sali ungana na waumini wapya hawa watakupa tafu ukiwa na shida. Imba kwaya ya kanisa. Jifunze kuhubiri neno kwa kijadiliana na wachungaji wakupe nafasi kwenye mimbali Furaha yako itarudi nyama zitarudi ila usipate gout ajili ya furaha.
 
Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.

Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.

Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.

Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.

Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi...

Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.

Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.

Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
Kama hujaolewa fanya uolewe kwanza. Kama umeolewa narudi kukupa tiba.
 
Back
Top Bottom