Nawezaje kuwa na furaha na amani ya roho?

Nawezaje kuwa na furaha na amani ya roho?

Kwl kabisa mkuu,,
Walio wengi wanakosa furaha sababu ya kujilinganisha maisha yao na wengine,,
Hata mkeo /mume ukimfananisha na mke / mume wa wengine lazima utamuona hana thamani ,,,na kukosa furaha ya ndoa.
Ukilinganisha nyumba yako na wengine,,basi kwako utapaona ni sawa na kibanda..na kukosa amani na furaha ya nyumbani
Tujifunze kujikubali,
Kuridhika na tulichonacho,,
Kwani mmiliki wa furaha yako ya maisha ni wewe mwenyewe.
Hakika ila mie najiuliza mbona sinaga stress...Sio kwamba shida sina. Zipo nyingi tu na kubwa ila hazijawahi ku overcome furaha yangu.

Yani kuna mtu anaweza akakaa akawa anawazaa mpaka anajiongelesha mwenyewe...Hio hali mbona mie sina? Na sio kuwa huyo mtu hana maisha. Unakuta anajiweza tu anakula bila tatizo ila mtu anajiwazisha kinoma.😂😂😂

Siku ambayo nina stress ujue ni mwanamke ndo kanivuruga au any other external factor ila siwezi anzisha internal stress never.
 
Dah...ili uwe na furaha na amani kihisabati unahitaji nguzo 5 uwe nazo
1. Chanzo cha mapato
2. Ujuzi wowote unaweza kuutumia kusaidia binadamu wengine
3. Imani ya kiroho
4. Mahusiano mazuri na binadamu wengine
[emoji2960]
 
Nawaza Sana kwenda kutembelea mahospitali Ila Sina chakupeleka...Je unaweza kwenda mikono mitupu?...kuhusu yatima Mungu akinijaalia uwezo ningependa kulea au kusaidiana Yatima.
Zawadi haina kiwango..wakati mwingine mtu hupata faraja baada ya kujilinganisha na mwingine mwenye matatizo zaidi yake lakini bado anayo amani au tumaini
 
Hakika ila mie najiuliza mbona sinaga stress...Sio kwamba shida sina. Zipo nyingi tu na kubwa ila hazijawahi ku overcome furaha yangu.

Yani kuna mtu anaweza akakaa akawa anawazaa mpaka anajiongelesha mwenyewe...Hio hali mbona mie sina? Na sio kuwa huyo mtu hana maisha. Unakuta anajiweza tu anakula bila tatizo ila mtu anajiwazisha kinoma.[emoji23][emoji23][emoji23]

Siku ambayo nina stress ujue ni mwanamke ndo kanivuruga au any other external factor ila siwezi anzisha internal stress never.
Ni vyema kulitambuwa hilo mkuu
 
Hu
Huigopi majini mkuu, yani unatembeaje usiku wa saa8 pekeako mkuu😂
akili inakuaga si yangu,huwa siogopi chochote kile nikiwaga ktk hiyo hali

nakumbuka nilishawahi bwekewa na mbwa siku 1 nilisimama nikamuangalia

dogi anakuja tu,kwakua nilikua nina buti la jeje nilimpa shuti 1 la mdomo akasepa

nikaendelea zangu japo yule dogi alisaidia kunipotezea mawazo kdg akili ikawa sawa

ila huwa usiku hata uwe mzito namna gani nikiwa ktk hiyo hali siogopi lolote wala yeyote.
 
Dah...ili uwe na furaha na amani kihisabati unahitaji nguzo 5 uwe nazo
1. Chanzo cha mapato
2. Ujuzi wowote unaweza kuutumia kusaidia binadamu wengine
3. Imani ya kiroho
4. Mahusiano mazuri na binadamu wengine
[emoji2960]
Mkuu unaweza kuielezea vizuri hiyo point namba 4 ndio inatokeaje?
 
Kwa nini umfanyie conclusion mtu mwingine kwa kutumia experience YA KWAKO?
Alishasema yeye mwenyewe kuwa hii hali anayopitia mtoa mada ye anaijua na alishaipitia na akatoa mpaka ushauri jinsi ya kuiovercome.
 
Hapana...Mimi sijafunguwa utotoni nimecheza Sana Sana Sana Sana... natatizo langu Sio upweke...Ni MATATIZO tunya Dunia yananikosesha Raha.
Unahitaji elimu pana sanaaaaa, endelea tu kua mtu wa kijufunza kutakutoa tu.
 
Hali hii imeakuanza lini? Ni mara yako ya kwanza au huwa inakutokea mara kwa mara? Je, kuna tukio lo lote baya (mf. kufiwa na mzazi au mpendwa wako) ambalo limetokea au lilitokea kipindi hiki? Afya yako ikoje? Umeongezeka (sana) uzito au kukonda ghafla? Kazini kuna misukosuko? Maisha yako kimapenzi yamekaaje? Kuna mabadiliko yo yote hasi kiuchumi? Ulikuwa mfuasi wa CHADEMA katika uchaguzi uliopita? Kiroho umesimama imara?

Majibu ya maswali hayo juu (na mengineyo) yaweza kutoa fununu lakini pia yawezekana ni msongo wa mawazo (depression) umekuanza. Kama ni hivyo utahitaji msaada wa kitaalamu kutoka kwa daktari wako au watoa nasaha. Au yawezekana ni mvurugano tu wa homoni na makemikali mwilini na hali hiyo yaweza kujirekebisha yenyewe tu.

Kwa sasa jaribu kuwa karibu na watu wakupendao. Kama kuna mmoja unayemwamini mwambie unavyojisikia. Unahitaji faraja na watu wanaojali. Kama ni muumini yawezekana pia ikawa ni vita vya kiroho. Mbali na wewe mwenyewe kupambana katika maombi, jaribu kumshirikisha kiongozi wako wa kiroho. Kama upo katika kikundi cha maombi au jumuia waombe wawashe moto wa maombi kwa ajili yako. Epuka kuwaza mawazo hasi na jitahidi sana kufanya mambo uyapendayo na hasa hasa kusaidia wenye shida. Badala tu ya kujifungia ndani, kama unaweza, nenda hata hospitalini huko ukasalimie wagonjwa siku za wikiendi au wakati wo wote unapokuwa na muda. Saidia watoto katika vituo vya mayatima huko na matendo mengine madogo madogo ya wema. Naamini baada ya muda msukosuko huu utapita, moyo wako utatanzuka na furaha yako itarejea.

Na kumbuka tu kwamba "you are fearfully and wonderfully made. Mungu Akubariki. [emoji1545][emoji1545][emoji1545]


View attachment 1624935
Hapo kwenye ulikuwa mfuasi wa chadema?

Watanzania wengi wanahitaji tiba ya akili sababu wamedhulumiwa vibaya! Msiyachukulie madogo
 
Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.

Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.

Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.

Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.

Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi...

Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.

Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.

Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
Mkuu tumua VALIUM dozi ya miezi 3, itaondoa stress zote, depression zote, panic zote, social disorder zote n.k

Anza dozi mapema utakuja kunishukuru baadaye.
 
Mkuu tumua VALIUM dozi ya miezi 3, itaondoa stress zote, depression zote, panic zote, social disorder zote n.k

Anza dozi mapema utakuja kunishukuru baadaye.
Duuuuh..wapi nimesema nakosa usingizi...
 
Mkuu tumua VALIUM dozi ya miezi 3, itaondoa stress zote, depression zote, panic zote, social disorder zote n.k

Anza dozi mapema utakuja kunishukuru baadaye.
Ili kuprescribe Dawa..unatakiwa kuwa na information zaidi ya hizi....Kwa niliyoyaaandika huwezi TU conclude kuwa naihitaju Hizo Dawa...
 
Hapana...Mimi sijafunguwa utotoni nimecheza Sana Sana Sana Sana... natatizo langu Sio upweke...Ni MATATIZO tunya Dunia yananikosesha Raha.
Kikubwa kinachokutafuna ni kushindwa kuyaweka wazi hayo matatizo ili usaidike...huwezi sukuma gari ukiwa ndani.
 
Japo umekataa sio mapenzi,
Ila Unahitaji mpenzi wa kweli, umkabidhi moyo wako, Nadhani utasahau shida zote.
Kwa kukadiria tu mkuu Upo single, kama una mtu basi pasua kichwa.
 
...kuhama siwezi kabisa kwasasa hiyo Soo option... Sina rafiki hata mmoja...rafiki zangu Ni Mama Yangu na Kaka Yangu.. na Wengine hapa nyumbani... Bila wao huwa nahisi mpweke Sana.

Sijawai kuwa mtu wa marafiki katika maisha Yangu...chuo TU ndo nlikua na marafiki
Now nimeliona tatizo...cha kusikitisha ubongo wako upo passive kwenye hilo tatizo...I can say this will hardly cured.
 
Back
Top Bottom