Nawezaje kuwa na furaha na amani ya roho?

Nawezaje kuwa na furaha na amani ya roho?

Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.

Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.

Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.

Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.

Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi...

Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.

Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.

Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
Mkuu fahamu kwamba maisha ni offer ya Mara moja aliyokupa MUNGU.
Hivyo basi itumie vizuri.
Maisha ni kama vipandio vya ngazi,,hapo ulipo wewe ,kuna wenzio wanatamani kufika,,wanatamani wawe kama wewe.

Jaribu kuangalia nyuma yako utawaona wengi walio nyuma yako,basi unapaswa ushukuru MUNGU.

Usiangalie walio mbele yako,,
utawaona waliofanikiwa zaidi yako,,na hapo ndipo utakapopata sononeko la moyoni na kukufuru MUNGU.

siri ya furaha ya maisha duniani.
  • ridhika na ulichonacho.
  • usijilinganishe maisha yako na maisha ya wengine.
  • duniani tunapita.
Ukiwa na fikra hizo,,huwezi kubabaika na Mali wala kitu cha wengine.

Kumbuka mkuu
life is one time offer given from God,
Use it well.
Don't stress yourself.
Mark my words..
 
Talk to your parents or friends about it. It will bring you rest. Also, do the things you love
 
Mkuu fahamu kwamba maisha ni offer ya Mara moja aliyokupa MUNGU.
Hivyo basi itumie vizuri.
Maisha ni kama vipandio vya ngazi,,hapo ulipo wewe ,kuna wenzio wanatamani kufika,,wanatamani wawe kama wewe.

Jaribu kuangalia nyuma yako utawaona wengi walio nyuma yako,basi unapaswa ushukuru MUNGU.

Usiangalie walio mbele yako,,
utawaona waliofanikiwa zaidi yako,,na hapo ndipo utakapopata sononeko la moyoni na kukufuru MUNGU.

siri ya furaha ya maisha duniani.
  • ridhika na ulichonacho.
  • usijilinganishe maisha yako na maisha ya wengine.
  • duniani tunapita.
Ukiwa na fikra hizo,,huwezi kubabaika na Mali wala kitu cha wengine.

Kumbuka mkuu
life is one time offer given from God,
Use it well.
Don't stress yourself.
Mark my words..
Kwa mara ya kwanza nimeona komenti yako inayo-make sense. Be blessed
 
Pole sana jaribu kuweka kila kitu wazi ili tunaotakiwa kukusaidia tuweze kupata mwanga wa chanzo cha tatizo lako.
 
Kitabu nimekisoma hichi.... Niwe mkweli kilinisogeza karibu na Mungu Wangu...Japo nichadini tofauti na Yangu...wamesisitiza Sana kusali..japo sikukimaliza
Nenda kawatembelee yatima na uwape msaada,nenda kawatembelee wagonjwa sugu(walopoteza tumaini la kuishi).Hakika utakuja nishukuru
 
Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.

Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.

Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.

Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.

Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi...

Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.

Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.

Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
Google kitu kinaitwa Midlife Crisis ukielewe. Then tafta namna ya ku overcome hio hali humo humo google watakupa solutions.
 
Hu
Hii hali hunitokea once kila baada ya mwaka au miaka kadhaa na hamna kitu naweza kifanya kikaondoa stress zangu maana si tv,si kazini,si marafiki,si chochote kile na mara nyingi hujigundua nipo ktk hiyo state usiku wakati wa kulala.

nikifika kitandani usingizi hauji,nitajigeuza huku na kule ila wapi,kulala staki,kukaa staki,kusimama staki,naanza kutembea naenda sebleni,chumbani,narudi jikoni naenda chooni nazunguka nyumba nzima,hali naonaga inazidi tu kuwa mbaya.

ninachofanya huwa nafungua kabati natafuta nguo navaaa (kumbuka huo ni usiku inaweza kuwa saa 8 hata) nachukua viatu navaa,natoka nnje sichukui usafiri wowote wala sibebi simu.

naanza kutembea kufata barabara ya LAMI au barabara yyte ile iliyonyooka natembea natembea natembea (sijui niendapo) natembea naenda safari yangu itaishia pale miguu itakaposema imetosha yani imechoka,basi hapo hapo nikishachoka kuendelea naanza kurudi nyumbani kwa kutembea.

natembea narudi nyumbani taratibu mpaka nafika home nimechoka sana,nikiingia tu sebleni najilaza hapo hapo chini najinyoosha nalala usingizi unanichukua,nikija kuamka nikioga basi najikuta ile hali imepotea au kupungua.

kwa hyo njia pekee niliyo ithibitsha inayoweza ondoa hii hali ni kuuchosha mwili,najua huwezi fanya mazoezi kwa hali uliyonayo ila amka tembea tu,we tembea nenda huko fata barabara kama mtu aliepotea njia,mpk miguu ichoke nakuhakikishia ukrudi nyumbani kichwa itakua mpya na utaweza kuendelea na maisha tena.
Huigopi majini mkuu, yani unatembeaje usiku wa saa8 pekeako mkuu😂
 
Nenda kawatembelee yatima na uwape msaada,nenda kawatembelee wagonjwa sugu(walopoteza tumaini la kuishi).Hakika utakuja nishukuru
Nawaza Sana kwenda kutembelea mahospitali Ila Sina chakupeleka...Je unaweza kwenda mikono mitupu?...kuhusu yatima Mungu akinijaalia uwezo ningependa kulea au kusaidiana Yatima.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]....Midlife criss
Midlife Crisis ndio Consider the following symptoms of a midlife crisis common to both men and women:

1.Feeling unfulfilled in life.

2.Intense feelings of nostalgia, chronic reminiscence about the past.

3.Feelings of boredom, emptiness and meaninglessness.

4.Impulsive, often rash actions.

5.Dramatic changes in behavior and appearance.

6.Marital infidelity or constant thoughts about infidelity

7.Constantly comparing oneself to others, who seem happier or more fulfilled

8.Intense feelings of regret
 
Mkuu fahamu kwamba maisha ni offer ya Mara moja aliyokupa MUNGU.
Hivyo basi itumie vizuri.
Maisha ni kama vipandio vya ngazi,,hapo ulipo wewe ,kuna wenzio wanatamani kufika,,wanatamani wawe kama wewe.

Jaribu kuangalia nyuma yako utawaona wengi walio nyuma yako,basi unapaswa ushukuru MUNGU.

Usiangalie walio mbele yako,,
utawaona waliofanikiwa zaidi yako,,na hapo ndipo utakapopata sononeko la moyoni na kukufuru MUNGU.

siri ya furaha ya maisha duniani.
  • ridhika na ulichonacho.
  • usijilinganishe maisha yako na maisha ya wengine.
  • duniani tunapita.
Ukiwa na fikra hizo,,huwezi kubabaika na Mali wala kitu cha wengine.

Kumbuka mkuu
life is one time offer given from God,
Use it well.
Don't stress yourself.
Mark my words..
Unasononeka kwanini mie sio tajiri kama flani mwishowe unaishia kujiunga freemason au kwenda kupewa utajiri wa manyoka nyoka
 
Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.

Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.

Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.

Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.

Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi...

Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.

Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.

Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
Uko na maisha mazuri tu ahuhitaji mpenzi kwani watakupa stress tu.
 
Unasononeka kwanini mie sio tajiri kama flani mwishowe unaishia kujiunga freemason au kwenda kupewa utajiri wa manyoka nyoka
Kwl kabisa mkuu,,
Walio wengi wanakosa furaha sababu ya kujilinganisha maisha yao na wengine,,
Hata mkeo /mume ukimfananisha na mke / mume wa wengine lazima utamuona hana thamani ,,,na kukosa furaha ya ndoa.
Ukilinganisha nyumba yako na wengine,,basi kwako utapaona ni sawa na kibanda..na kukosa amani na furaha ya nyumbani
Tujifunze kujikubali,
Kuridhika na tulichonacho,,
Kwani mmiliki wa furaha yako ya maisha ni wewe mwenyewe.
 
Back
Top Bottom