Haa ππππSasa nikikutajia Mimi Napo ishi..utaona Hapo airport.karibu...Vipi huendagi mipango kutafuta pisikali...au HUNA HELA ...pumbu TU [emoji23][emoji23][emoji23]
Haya mkuu... Atafutae akosiHaa [emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]
Pisi Kali Mimi Naanzia Hapa Mkuu Alipowaambia Kunambi Na EX DC Wa Dodoma Waoe
Naanzia CBE Ndiyo Napata Connection
Mipango Nakwenda Kuchungulia Jirani Na Kule Kwenye Nyumba Ya Kupanga Za Kishimba [emoji16][emoji23][emoji28][emoji2][emoji52][emoji849][emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787]
Airport Mpya Unakotaka Kujengwa Nako Kuna Pisi Kali
[emoji16][emoji16][emoji7][emoji2956][emoji8][emoji23]
ππππ ππHaya mkuu... Atafutae akosi
Tuma Pesa Ya KutoleaHaya mkuu... Atafutae akosi
Can I be part of your happinessHaya mkuu... Atafutae akosi
Kwamba labda alikuwa mfuasi wa chadema.hahahahaaaaHali hii imeakuanza lini? Ni mara yako ya kwanza au huwa inakutokea mara kwa mara? Je, kuna tukio lo lote baya (mf. kufiwa na mzazi au mpendwa wako) ambalo limetokea au lilitokea kipindi hiki? Afya yako ikoje? Umeongezeka (sana) uzito au kukonda ghafla? Kazini kuna misukosuko? Maisha yako kimapenzi yamekaaje? Kuna mabadiliko yo yote hasi kiuchumi? Ulikuwa mfuasi wa CHADEMA katika uchaguzi uliopita? Kiroho umesimama imara?
Majibu ya maswali hayo juu (na mengineyo) yaweza kutoa fununu lakini pia yawezekana ni msongo wa mawazo (depression) umekuanza. Kama ni hivyo utahitaji msaada wa kitaalamu kutoka kwa daktari wako au watoa nasaha. Au yawezekana ni mvurugano tu wa homoni na makemikali mwilini na hali hiyo yaweza kujirekebisha yenyewe tu.
Kwa sasa jaribu kuwa karibu na watu wakupendao. Kama kuna mmoja unayemwamini mwambie unavyojisikia. Unahitaji faraja na watu wanaojali. Kama ni muumini yawezekana pia ikawa ni vita vya kiroho. Mbali na wewe mwenyewe kupambana katika maombi, jaribu kumshirikisha kiongozi wako wa kiroho. Kama upo katika kikundi cha maombi au jumuia waombe wawashe moto wa maombi kwa ajili yako. Epuka kuwaza mawazo hasi na jitahidi sana kufanya mambo uyapendayo na hasa hasa kusaidia wenye shida. Badala tu ya kujifungia ndani, kama unaweza, nenda hata hospitalini huko ukasalimie wagonjwa siku za wikiendi au wakati wo wote unapokuwa na muda. Saidia watoto katika vituo vya mayatima huko na matendo mengine madogo madogo ya wema. Naamini baada ya muda msukosuko huu utapita, moyo wako utatanzuka na furaha yako itarejea.
Na kumbuka tu kwamba "you are fearfully and wonderfully made. Mungu Akubariki. [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
View attachment 1624935
Tafuta kitabu kilichoandikwa 'THE POWER OF POSITIVE THINKING'Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.
Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.
Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.
Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.
Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi...
Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.
Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.
Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
KabisaMimi nikiwa nina hiyo hali hata kutoka siwezi, natoka tu ikiwa chanzo cha tatizo ni hapo home nilipo, hapo huwa natamani hata kuhama nyumba
Naepuka kwa vyovyote mtu anayenisababishia hiyo hali, hata kama ni mtu ambaye naona ni muhimu kuliko wote, kama ananikosesha amani, namuepuka kabisa.
Hiyo ni hali mbaya isiyoelezeka
Maisha bana wewe acha tu"Hii ndo njia pekee ya kupunguza stress..."
Hapana. Labda kama unaongelea stress za kawaida tu siyo clinical depression au clinical stress. Haya mambo yana trigger nyingi na hayawezi kuwa na jibu moja kwa sababu kila mtu yuko tofauti na mwingine. Siyo wote wanaweza kuondoa stress/depression kwa kuangalia muvi za Kikorea ambazo hazijatafsriwa, kunywa maziwa na kujifungia ndani [emoji16][emoji16][emoji16]
Najua sana tho natunza moyoniKwa kuexperience kwako hii hali hujajua tu bado unaweza ikawa inasababishwa na nini?
Ninazo kwenye flash
Ni vizuri ujue chanzo cha tatizo kwanza ndipo unaweza pata suluhishoNimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.
Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.
Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.
Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.
Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi...
Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.
Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.
Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.