Nawezaje kuwa na furaha na amani ya roho?

Nawezaje kuwa na furaha na amani ya roho?

Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.

Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.

Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.

Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.

Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.

Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi.

Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.

Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.

Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
Pole sana mkuu, hii hali ni kiashirio cha kukata tamaa, mara nyingi hupitia hali hii watu wenye mipango mingi ambayo imeshindwa kutimia kwa wakati, huko nyuma nimewahi pitia hali hii

Ushauri wangu zidisha sana ukaribu na mola wako hasa nyakati za usiku ili Mungu akufanyie wepesi katika mipango yako.
 
Hii hali mimi pia huwa inanitokea mara kwa mara. Najikuta nakosa furaha na naona bora kufa tu kuipumzisha nafsi yangu. Nakua sioni hata sababu maalumu ya kuishi hapa Duniani. Nimeajiriwa na ninafamilia ya watoto wawili.
Nilijaribu kumshirikisha wife hili jambo wiki kama mbili zilizopita lakini alihisi kama namtania maana jibu lake lilikua "achana na mawazo hayo, unataka kukimbia majukumu!?"
Sikutaka kuendelea kumsimulia kuhusu hiyo hali ila kwa sababu ulikua ni muda wa kulala tupo kitandani tayari, nilimalizia kwa kumsihi aliweke hilo jambo akilini na anikumbuke kwenye maombi yake ya mara kwa mara.
Ee Mungu tusaidie. Utusaidie kujua nini makusudio yako ya kutuleta hapa duniani.. [emoji24]
Mkuu...Hii Hali yako Ni mbaya..jaribu kuonana na wanasaikolojia..au wataalamu wa magonjwa ya Akili...utapewa solution

Sijawaza kufa Wala kujiua...Ila usidhani MATATIZO ya Akili..lazima uokote makopo yaapo mengi sana
 
Bila Shaka Leo Umepata Furaha
Rashid Kaongea Mjengoni 😂😁😅
 
Nyie mnaotuchanganyia viingereza humu mnatuchanganya!! Kwani hamjui Kiswahili? Sisi wengine tunajua vishazi na virai tu! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Nyie mnaotuchanganyia viingereza humu mnatuchanganya!! Kwani hamjui Kiswahili? Sisi wengine tunajua vishazi na virai tu! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Hahah Pole sana Don Juan . Mimi itabidi unizoee tu nina sababu zangu.
Ikibidi nitakua nakutafsiria.
 
Tafuta movie/ drama za kikorea ambazo hazijatafisiliwa,hutojuta ushauri huu.

Mm nikitoka kazini fasta home, napita sokoni , napitia maziwa. Nikifika ni movie na kula, kunywa, kuchungulia jf.hayo ndo maisha yangu.

Hii ndo njia pekee ya kupunguza stress.kuna kipindi nilikuwa kama wewe sasa hivi nimezoea.

Wengine watakushauri utoke out. Ila najua sio rahisi utoke out kufanya nini?

Wengine watakwambia utoke na marafiki. Marafiki wapi? Wakati mmetoka kazini mkaenda home utoke kwa lipi? Mkifika huko mfanye nini wakati umeshiba?

Poole dia hiyo hali naijua huwa haielezeki.
Mkuu mi napenda zilizotafsiriwa hahhhh zinaondoa stress 60% yaan haswa ukiicheki boyka undisputed iliotasfriwa hutojuta na dj mack.
 
Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.

Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.

Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.

Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.

Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.

Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi.

Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.

Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.

Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
Samehe waliokukosea, MTU alikukaripia au kukukandamiza usipambane omba msamaha, epuka kuwajibu watu vibaya mitandaoni kwa ukali au hasira na visasi..(maana wanasema watu wanaojibu vibaya wenzao aidha kwa kurudisha mapigo au visasi, huwa wanakumbwa na maumivu ya ndani kuliko waliojibiwa).


Ila muhimu jitahid kutoa zawadi kwa waliokuuudhi tu.mfano hata kuwapost status, kujib reply zao...nkuambie tu kunasehem ktk maisha yako yamekuaminisha kuwa hauko vzr,au hivi au vile na umeamini....
 
Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.

Sikosi chakula walapakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.

Naona mambo Yangu nashindwa yabeba.

Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.

Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.

Kuna muda nikitembea barabarani nikiona Watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi.

Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.

Sinywi pombe,sivuti Bangi Wala sigara.

Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
Nichek inbobo!
 
Japo umekataa sio mapenzi,
Ila Unahitaji mpenzi wa kweli, umkabidhi moyo wako, Nadhani utasahau shida zote.
Kwa kukadiria tu mkuu Upo single, kama una mtu basi pasua kichwa.
[emoji3][emoji3][emoji3]...aiseee
 
Pole sana mkuu, hii hali ni kiashirio cha kukata tamaa, mara nyingi hupitia hali hii watu wenye mipango mingi ambayo imeshindwa kutumia kwa wakati, huko nyuma nimewahi pitia hali hii

ushauri wangu zidisha sana ukaribu na mola wako hasa nyakatii za usiku ili mungu akufanyie wepesi katika mipango yako.
Eeeh...Mkuu sijakata kamaaa KABISA..NEVER loose hope in the mercy of Allah.
 
Back
Top Bottom