Mzee wa old school
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 873
- 1,405
Sababu yako ya kuongeza mke wa pili ni Ipi? Tuanzie hapo kwanza.Habarini Wana jamvi.. mimi ni mkristo na muhudhuriaji mzuri sana kanisani na hata jumuia... Lakini Kuna baadhi ya Mafundisho Nina mashaka nayo sana hasa haya ya ndoa.... Eti mkristo kuoa mke mmoja,,,, mbona kwenye Biblia hakuna maelekezo hayo? Ninacho kumbukusha ni kwamba mtume Paulo alishauri ASKOFU AWE MUME WA MKE MMOJA... hakutaja umma kwa ujumla wake...
Ni hayo tu... Naamini watu wenye fikra tunduizi watatoa maoni... Sitarajii kejeli na udini nataka mjadala wenye hoja za msingi ili kupata muafaka/ suluhisho la mgongano wa uelewa juu swala hili
Kisheria Hautaruhusiwa..Habarini Wana jamvi.. mimi ni mkristo na muhudhuriaji mzuri sana kanisani na hata jumuia... Lakini Kuna baadhi ya Mafundisho Nina mashaka nayo sana hasa haya ya ndoa.... Eti mkristo kuoa mke mmoja,,,, mbona kwenye Biblia hakuna maelekezo hayo? Ninacho kumbukusha ni kwamba mtume Paulo alishauri ASKOFU AWE MUME WA MKE MMOJA... hakutaja umma kwa ujumla wake...
Ni hayo tu... Naamini watu wenye fikra tunduizi watatoa maoni... Sitarajii kejeli na udini nataka mjadala wenye hoja za msingi ili kupata muafaka/ suluhisho la mgongano wa uelewa juu swala hili
Aya unaijua vizuri sana, kwamba askofu asikengeuke awe na mke mmoja. Hata wewe uñatakiwa uwe na mke mmoja ili ukikengeuka ukaoa mke wa pili askofu awe na uwezo wa kukukemea na kukurudisha kwenye mstari. Sasa akiwa na mke zsidi ya mmoja atakukemeaje?Habarini Wana jamvi.. mimi ni mkristo na muhudhuriaji mzuri sana kanisani na hata jumuia... Lakini Kuna baadhi ya Mafundisho Nina mashaka nayo sana hasa haya ya ndoa.... Eti mkristo kuoa mke mmoja,,,, mbona kwenye Biblia hakuna maelekezo hayo? Ninacho kumbukusha ni kwamba mtume Paulo alishauri ASKOFU AWE MUME WA MKE MMOJA... hakutaja umma kwa ujumla wake...
Ni hayo tu... Naamini watu wenye fikra tunduizi watatoa maoni... Sitarajii kejeli na udini nataka mjadala wenye hoja za msingi ili kupata muafaka/ suluhisho la mgongano wa uelewa juu swala hili
Wewe oa hata 700 kama Suleimani.Habarini Wana jamvi.. mimi ni mkristo na muhudhuriaji mzuri sana kanisani na hata jumuia... Lakini Kuna baadhi ya Mafundisho Nina mashaka nayo sana hasa haya ya ndoa.... Eti mkristo kuoa mke mmoja,,,, mbona kwenye Biblia hakuna maelekezo hayo? Ninacho kumbukusha ni kwamba mtume Paulo alishauri ASKOFU AWE MUME WA MKE MMOJA... hakutaja umma kwa ujumla wake...
Ni hayo tu... Naamini watu wenye fikra tunduizi watatoa maoni... Sitarajii kejeli na udini nataka mjadala wenye hoja za msingi ili kupata muafaka/ suluhisho la mgongano wa uelewa juu swala hili
Biblia ya wapi unasoma,biblia imetoa mwongozo wa mke mmoja mbonaHabarini Wana jamvi.. mimi ni mkristo na muhudhuriaji mzuri sana kanisani na hata jumuia... Lakini Kuna baadhi ya Mafundisho Nina mashaka nayo sana hasa haya ya ndoa.... Eti mkristo kuoa mke mmoja,,,, mbona kwenye Biblia hakuna maelekezo hayo? Ninacho kumbukusha ni kwamba mtume Paulo alishauri ASKOFU AWE MUME WA MKE MMOJA... hakutaja umma kwa ujumla wake...
Ni hayo tu... Naamini watu wenye fikra tunduizi watatoa maoni... Sitarajii kejeli na udini nataka mjadala wenye hoja za msingi ili kupata muafaka/ suluhisho la mgongano wa uelewa juu swala hili
1 Wakorintho 7:2-4Habarini Wana jamvi.. mimi ni mkristo na muhudhuriaji mzuri sana kanisani na hata jumuia... Lakini Kuna baadhi ya Mafundisho Nina mashaka nayo sana hasa haya ya ndoa.... Eti mkristo kuoa mke mmoja,,,, mbona kwenye Biblia hakuna maelekezo hayo? Ninacho kumbukusha ni kwamba mtume Paulo alishauri ASKOFU AWE MUME WA MKE MMOJA... hakutaja umma kwa ujumla wake...
Ni hayo tu... Naamini watu wenye fikra tunduizi watatoa maoni... Sitarajii kejeli na udini nataka mjadala wenye hoja za msingi ili kupata muafaka/ suluhisho la mgongano wa uelewa juu swala hili
Hizi ndio zile akili Mnemba😂Habarini Wana jamvi.. mimi ni mkristo na muhudhuriaji mzuri sana kanisani na hata jumuia... Lakini Kuna baadhi ya Mafundisho Nina mashaka nayo sana hasa haya ya ndoa.... Eti mkristo kuoa mke mmoja,,,, mbona kwenye Biblia hakuna maelekezo hayo? Ninacho kumbukusha ni kwamba mtume Paulo alishauri ASKOFU AWE MUME WA MKE MMOJA... hakutaja umma kwa ujumla wake...
Ni hayo tu... Naamini watu wenye fikra tunduizi watatoa maoni... Sitarajii kejeli na udini nataka mjadala wenye hoja za msingi ili kupata muafaka/ suluhisho la mgongano wa uelewa juu swala hili
Inawezekana mkuu 😂😂Hizi ndio zile akili Mnemba😂
Sana mkuuNdani pa moto ama?
ASKOFU MANAKE NINI?Ninacho kumbukusha ni kwamba mtume Paulo alishauri ASKOFU AWE MUME WA MKE MMOJA..
...wewe ni Askofu kwenye himaya yako pia, sema tu hujui.
Mm nipo kwenye mchakato ila kwa usiri mkubwa, sikupanga lakini nalazimika kuwa na backup sababu ya ndoa. Viumbe hawa wakishaingia ndani wanabadilika sana.Sana mkuu