Nawiwa kuongeza mke wa pili

Nawiwa kuongeza mke wa pili

Habarini Wana jamvi.. mimi ni mkristo na muhudhuriaji mzuri sana kanisani na hata jumuia... Lakini Kuna baadhi ya Mafundisho Nina mashaka nayo sana hasa haya ya ndoa.... Eti mkristo kuoa mke mmoja,,,, mbona kwenye Biblia hakuna maelekezo hayo? Ninacho kumbukusha ni kwamba mtume Paulo alishauri ASKOFU AWE MUME WA MKE MMOJA... hakutaja umma kwa ujumla wake...


Ni hayo tu... Naamini watu wenye fikra tunduizi watatoa maoni... Sitarajii kejeli na udini nataka mjadala wenye hoja za msingi ili kupata muafaka/ suluhisho la mgongano wa uelewa juu swala hili
Mimi mwenye mke mmoja kwa mujibu wa dini yangu ya Kikatoliki ila nina mademu, videmu na mishangazi kibao na bado ni mzee wa kanisa na kukomunika pia. Heri niowe wake wengi tu kama nabii Suleimani. Wewe subiri wanazuoni waje kukupa ushauri.
 
Habarini Wana jamvi.. mimi ni mkristo na muhudhuriaji mzuri sana kanisani na hata jumuia... Lakini Kuna baadhi ya Mafundisho Nina mashaka nayo sana hasa haya ya ndoa.... Eti mkristo kuoa mke mmoja,,,, mbona kwenye Biblia hakuna maelekezo hayo? Ninacho kumbukusha ni kwamba mtume Paulo alishauri ASKOFU AWE MUME WA MKE MMOJA... hakutaja umma kwa ujumla wake...


Ni hayo tu... Naamini watu wenye fikra tunduizi watatoa maoni... Sitarajii kejeli na udini nataka mjadala wenye hoja za msingi ili kupata muafaka/ suluhisho la mgongano wa uelewa juu swala hili
Mke mmoja tu mziki wake unauona. Je! Kuwa na wawili si ndiyo patachimbika zaidi mkuu?

Labda uniambie uoe wake ambao wana elimu ya kawaida. Hawa wenye elimu ya juu itakuwa ni balaa katika maisha yako.

Afadhali uwe na masuria maarufu kama michepuko kuliko kufanya usajili mwingine wa kudumu.
 
1 Wakorintho 7:2-4

[2]Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.

[3]Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake.

[4]Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe; vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe.
Kipengere cha 4 hapo juu kigumu sana. Mke wangu Ana mamlaka juu ya mwili wake hivyo mademu, Videmu na Mashangazi huziba pengo lake na ndoa ya mke mmoja inaendelea.
 
Mimi ushauri wangu badala ya kuongeza mke ni bora kuongeza michepuko. Mke wa pili ukishamuoa atakuja nae atabweteka tu kama yule wa kwanza so utajikuta hamna ulichofanya na utatumia gharama nyingi kwake.

Uzuri wa michepuko ni kwamba mnakaa ki hip hop anytime mkizinguana kila mtu anapita hivi inakua imeisha hiyo.

NB: Mwanaume uliekamilika unatakiwa at any time t uwe na wanawake angalau watatu: Mke wa ndoa (1) na michepuko (2) at minimum. Kinyume na hapo presha itakuua tu huwez chomoka.
 
Habarini Wana jamvi.. mimi ni mkristo na muhudhuriaji mzuri sana kanisani na hata jumuia... Lakini Kuna baadhi ya Mafundisho Nina mashaka nayo sana hasa haya ya ndoa.... Eti mkristo kuoa mke mmoja,,,, mbona kwenye Biblia hakuna maelekezo hayo? Ninacho kumbukusha ni kwamba mtume Paulo alishauri ASKOFU AWE MUME WA MKE MMOJA... hakutaja umma kwa ujumla wake...


Ni hayo tu... Naamini watu wenye fikra tunduizi watatoa maoni... Sitarajii kejeli na udini nataka mjadala wenye hoja za msingi ili kupata muafaka/ suluhisho la mgongano wa uelewa juu swala hili
Uko sawa kabisa!! Maana hata King David alikuwa na wake wengi!! hata alipofanya makosa kwa kumuchukua mke wa Huria, Mungu alikuwa tayari kumuongezea mke mwingine
 
Maisha ya me...tangu anazaliwa ni risk adi anaingia kaburini,na kwa hakika hatuwezi epuka hii ila tunaweza kuicontrol/kuimanage
Maisha ya me...tangu anazaliwa ni risk adi anaingia kaburini,

sio wote mkuu
 
Alietunga hii sheria aliiegemea kwenye diini. Kwa nini sheria isiache dini yenyewe iamue badala serikali kuamua .wakiristo wengi sana wameacha kuifuata hii sheria. Wanaanzisha nyumba ndogo wanaendeleza maisha yao, mwishowe Wazungu walimpotosha sana mtu mweusi tena mweusi msomi ndio kaharibikiwa mno japo anajiona anajua kumbe jua linamuwakia.
Yeah Ni kweli Sheria ya Ndoa na Hata Sheria za Urithi Zimebase sana kwenye Aidha Sheria za Kidini na Sheria za watu wengine..

Ukiona Nchi ambayo inajinasibu haiamini Dini yoyote, Inaandika Sheria inayofanana au inayohusianishwa na zile za kidini...Akili kichwani mwako
 
Habarini Wana jamvi.. mimi ni mkristo na muhudhuriaji mzuri sana kanisani na hata jumuia... Lakini Kuna baadhi ya Mafundisho Nina mashaka nayo sana hasa haya ya ndoa.... Eti mkristo kuoa mke mmoja,,,, mbona kwenye Biblia hakuna maelekezo hayo? Ninacho kumbukusha ni kwamba mtume Paulo alishauri ASKOFU AWE MUME WA MKE MMOJA... hakutaja umma kwa ujumla wake...


Ni hayo tu... Naamini watu wenye fikra tunduizi watatoa maoni... Sitarajii kejeli na udini nataka mjadala wenye hoja za msingi ili kupata muafaka/ suluhisho la mgongano wa uelewa juu swala hili
Hamia kwa Mzee wa upako utatoboa
 
Kuna sheria, kanuni na best practices. Best practices ni vitu ambavyo haviko kisheria, wala kikanuni lakini vimeonekana kuwa na mwenendo au matokeo bora zaidi.

Hapa kanisa haliku base kwenye bible bali walitumia best practices. Maisha ni bora ukiwa na mke mmoja ambao mnaishi kwa amni na upendo.

Lakini mwisho wa siku chaguo ni lako.
Hapana, ni bora wakiwa wawili unaoishi nao kwa amani. Kuwa mkweli kama mke wake NEYO, ambaye kipindi cha ujauzito alimletea mume wake wanawake vigori wawili wa kumsaidia kazi za kitandani na nyumbani.., alipojifungua ndio wakaondoka..
 
Mimi ushauri wangu badala ya kuongeza mke ni bora kuongeza michepuko. Mke wa pili ukishamuoa atakuja nae atabweteka tu kama yule wa kwanza so utajikuta hamna ulichofanya na utatumia gharama nyingi kwake.

Uzuri wa michepuko ni kwamba mnakaa ki hip hop anytime mkizinguana kila mtu anapita hivi inakua imeisha hiyo.

NB: Mwanaume uliekamilika unatakiwa at any time t uwe na wanawake angalau watatu: Mke wa ndoa (1) na michepuko (2) at minimum. Kinyume na hapo presha itakuua tu huwez chomoka.

Hii ya kukaa "ki hip hop" 😉
 
Mimi ushauri wangu badala ya kuongeza mke ni bora kuongeza michepuko. Mke wa pili ukishamuoa atakuja nae atabweteka tu kama yule wa kwanza so utajikuta hamna ulichofanya na utatumia gharama nyingi kwake.

Uzuri wa michepuko ni kwamba mnakaa ki hip hop anytime mkizinguana kila mtu anapita hivi inakua imeisha hiyo.

NB: Mwanaume uliekamilika unatakiwa at any time t uwe na wanawake angalau watatu: Mke wa ndoa (1) na michepuko (2) at minimum. Kinyume na hapo presha itakuua tu huwez chomoka.
Naunga mono hoja.
 
Back
Top Bottom