Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ushampata sasa huyo mchumba??? Au bado??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo huyo ulienaye hakutoshi au unapenda tu kuwa unamiliki wanawake wengi...Habarini Wana jamvi.. mimi ni mkristo na muhudhuriaji mzuri sana kanisani na hata jumuia... Lakini Kuna baadhi ya Mafundisho Nina mashaka nayo sana hasa haya ya ndoa.... Eti mkristo kuoa mke mmoja,,,, mbona kwenye Biblia hakuna maelekezo hayo? Ninacho kumbukusha ni kwamba mtume Paulo alishauri ASKOFU AWE MUME WA MKE MMOJA... hakutaja umma kwa ujumla wake...
Ni hayo tu... Naamini watu wenye fikra tunduizi watatoa maoni... Sitarajii kejeli na udini nataka mjadala wenye hoja za msingi ili kupata muafaka/ suluhisho la mgongano wa uelewa juu swala hili
Oa Comrade! Kwanza sisi ngozi nyeusi hatukuwa na huu utaratibu wa mke mmoja kabla ya kuja kwa Wazungu. Enzi hizo ili uheshimike kwenye jamii yako, lazima uwe na wanawake wa kutosha! Watoto wa kutosha, nk.Habarini Wana jamvi.. mimi ni mkristo na muhudhuriaji mzuri sana kanisani na hata jumuia... Lakini Kuna baadhi ya Mafundisho Nina mashaka nayo sana hasa haya ya ndoa.... Eti mkristo kuoa mke mmoja,,,, mbona kwenye Biblia hakuna maelekezo hayo? Ninacho kumbukusha ni kwamba mtume Paulo alishauri ASKOFU AWE MUME WA MKE MMOJA... hakutaja umma kwa ujumla wake...
Ni hayo tu... Naamini watu wenye fikra tunduizi watatoa maoni... Sitarajii kejeli na udini nataka mjadala wenye hoja za msingi ili kupata muafaka/ suluhisho la mgongano wa uelewa juu swala hili
Habarini Wana jamvi.. mimi ni mkristo na muhudhuriaji mzuri sana kanisani na hata jumuia... Lakini Kuna baadhi ya Mafundisho Nina mashaka nayo sana hasa haya ya ndoa.... Eti mkristo kuoa mke mmoja,,,, mbona kwenye Biblia hakuna maelekezo hayo? Ninacho kumbukusha ni kwamba mtume Paulo alishauri ASKOFU AWE MUME WA MKE MMOJA... hakutaja umma kwa ujumla wake...
Ni hayo tu... Naamini watu wenye fikra tunduizi watatoa maoni... Sitarajii kejeli na udini nataka mjadala wenye hoja za msingi ili kupata muafaka/ suluhisho la mgongano wa uelewa juu swala hili
Kabla ya paulo kulikuwa na maaskofu?Ninacho kumbukusha ni kwamba mtume Paulo alishauri ASKOFU AWE MUME WA MKE MMOJA..
...wewe ni Askofu kwenye himaya yako pia, sema tu hujui.
Nitajie mkristo hata mmoja kwenye Biblia aliyekuwa na zaidi ya mke mmoja,usijechanganya waebrania,waisraeli wayahudi na wakristoHabarini Wana jamvi.. mimi ni mkristo na muhudhuriaji mzuri sana kanisani na hata jumuia... Lakini Kuna baadhi ya Mafundisho Nina mashaka nayo sana hasa haya ya ndoa.... Eti mkristo kuoa mke mmoja,,,, mbona kwenye Biblia hakuna maelekezo hayo? Ninacho kumbukusha ni kwamba mtume Paulo alishauri ASKOFU AWE MUME WA MKE MMOJA... hakutaja umma kwa ujumla wake...
Ni hayo tu... Naamini watu wenye fikra tunduizi watatoa maoni... Sitarajii kejeli na udini nataka mjadala wenye hoja za msingi ili kupata muafaka/ suluhisho la mgongano wa uelewa juu swala hili
awe na mpinzani asijisahau na kubweteka!Sababu yako ya kuongeza mke wa pili ni Ipi? Tuanzie hapo kwanza.
NipigieeeeeHalafu Shangazi jana nilikuota eti!! Sasa sijui tatizo liko wapi, mpaka kufikia hii hatua. Sijui ndiyo nazeeka vibaya! 😇
Hailidhishe hiyo sabb kama ni suala kupata mpinzani kamletee mama mkwe, hao ndo kiboko yao.awe na mpinzani asijisahau na kubweteka!
Yaani uesharati na zinaa imekemewa lkn mwanamme anatakiwa aoe mke mmoja ila kufanya uesharati na zinaa kama kawaida.Mungu ndie ajuae maana hata kina ibrahim,yakobo walioa wake wengi na ndo ma~legend wa imani,why not us!
Waluposema " nendeni na mkaijaze dunia" amli ilitolewa kwa wanadamu wote. Sasa wewe kuongeza mke wa pili huoni kama unatumalizia sisi ambao hatujaoaHabarini Wana jamvi.. mimi ni mkristo na muhudhuriaji mzuri sana kanisani na hata jumuia... Lakini Kuna baadhi ya Mafundisho Nina mashaka nayo sana hasa haya ya ndoa.... Eti mkristo kuoa mke mmoja,,,, mbona kwenye Biblia hakuna maelekezo hayo? Ninacho kumbukusha ni kwamba mtume Paulo alishauri ASKOFU AWE MUME WA MKE MMOJA... hakutaja umma kwa ujumla wake...
Ni hayo tu... Naamini watu wenye fikra tunduizi watatoa maoni... Sitarajii kejeli na udini nataka mjadala wenye hoja za msingi ili kupata muafaka/ suluhisho la mgongano wa uelewa juu swala hili