shida uoga na dini zimetufanya kuwa na hofu kias hatuez fanya maamz independently!nionavyo mimi ni heri kuoa wake kadhaa kuliko kuwa na masuria kila halmashauri
Sio uislsamu tu hta uafrika/ubantu unaruhusu. Umamboleo unakataza wake wengi ila unaruhusu vimada wengi na ndio maana single mother wamejazana na watoto wao walio nyimwa haki ya baba.