comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,950
Imba lakini not for that extent
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami nimewaza sawa na weweSo walikutuma utengeneze wimbo ili baadae mje ni sinema ya kwamba wanataka kukuua.
Jisifie weweAache uongo auawe kwa kuimba tu mwimbo Au kuna kingine.masifa mengine ya kijinga sana
Unafikiri wimbo wa Ney una impact mpaka sahivi? Labda kwenu nyie mlio mitandaoni lakini nje na vijijini shida zao wala hazihusiani na Bashite wala Ney. Na sahivi ndo kwanza bunge limeanza, sahau tena habari za huyu kichaa. Atauwawa na siasa ya Tz make matukio Tz ndo kiboko ya huu utoto wa hivi, mpaka July tena.Kumbuka Ney kamgusa bashite na kamchana wazi wazi.
Nape alijaribu ..kidogo tu akagaragazwa kibabe..na kabla vumbi halijatulia akaibuka dogo (kwa namna ya kupiga yaliyomkuta waziri wao).
Baada ya kutoa 'kibao' chake, chenye mistari ya kuchoma mioyo ya bashite, pingu zikaibuka ghafla na police escort ya nguvu ikiwekewa na naksi za press statement ya polis kuwa tunaye (hupigwi pingu kama hujawaudhi wenye nchi), Basata nao wakamrushia rungu la hatari...
Nay akaokolewa na hasira ya umma. Vijana wasanii wakatupa mikuki mikali dhidi ya serikali mitandaoni. Umma ukaja juu hali ikawa tete ghafla.
Mara wimbo wa Ney ukageuka asali ghafla...ukapendwa hadi na mkulu, tena Waziri Mwakyembe akatumwa kwa waandishi wa habari akauza sura na tabasam...alishangaza umma. Wenye serikali wakajidai hawahusiki. Ilikuwa 'bahati mbaya tu.'
Ghafla mialiko ya Ikulu na Dodoma ikawa mingi. Unadhani walienda kumwambia nini huko kama sio "watch it?" Au "SHUT UP?"
Jiongeze ndugu yangu...jiongeze tena afu uniambie kama walienda kumpa Ney mkono wa pongezi kisha wakampa na platform ya kuusambaza zaidi wimbo wake.
Na je Ney akikataa rai aliyoitiwa na serikali huku na kule yatampata yepi na hali hawawezi ufungia 'wimbo pendwa' mara mbili mbili?
Tusifanyane mazuzu humu jukwani.
Sasa wanahangaika naye wa nini kama wimbo hauna impact?Unafikiri wimbo wa Ney una impact mpaka sahivi? Labda kwenu nyie mlio mitandaoni lakini nje na vijijini shida zao wala hazihusiani na Bashite wala Ney. Na sahivi ndo kwanza bunge limeanza, sahau tena habari za huyu kichaa. Atauwawa na siasa ya Tz make matukio Tz ndo kiboko ya huu utoto wa hivi, mpaka July tena.
Haya ni baadhi ya mashairi yaliyopo kwenye wimbo wake mpya kaufanyia Wasafi record...coming soon..!!!
Don't scare children leave them speakYou have spoken as if you have ultimate security with your life and you don't fear anything! By the way that is our way! Don't let others go first
Umafia upi huo alionao Bashite ? Wacha kuharibu title za watu mkuu ..huyu angekuwa kwenye familia ya mafia bila shaka baba yake mzazi angempiga risasi kwa mikono yake mwenyeweBashite ni katili sana,yule ni mafia.