Nay wa Mitego adai anatafutwa kuuawa

Akome, nani alimuambia kuropoka?? Aende akamtukane baba yake, na si kututukania rais wetu wa mioyoni mwetu. Ni funzo kwa wale mnaodharau mamlaka, na ndiyo maana hata Mungu aliteketeza kizazi pale ambapo kilionesha kumdharau! H
Ebu yaweke mashairi ya kutukana hapa
 
kwa akili zile za Bashite kwenda kuwamia Clouds media usiku na mitutu ya bunduki basi ni kweli kabisa wanataka kumpoteza jamaa...

Maana hata Gwajima nae wanamtumia vitisho vya namna hii.
 
Ile kuitwa itwa mara magogoni mara Chamwino mi nilishashtuka kuwa kuna kupulizwa, nikahisi kifuatacho kung'atwa!!
 
Wataka kiki [HASHTAG]#Wapo[/HASHTAG] bro Nay kuna vitu unakosea kaa utafakari tena na ndo maana ikaitwa sirikali
 
Liongo hilo nalo design ya ZK, ovyo kabisa
 
Wakatae kumtafuta Tundu Lisu wamtafute Ney Wa Mitengo?

Ney ana impact gani kwa taifa???

Au kuna madili ya wizi kadhulumu huko anatafutwa anakuja kusingizia serikali inamtafuta
 
Lisemwalo lipo its a matter of a time
 
Akome, nani alimuambia kuropoka?? Aende akamtukane baba yake, na si kututukania rais wetu wa mioyoni mwetu. Ni funzo kwa wale mnaodharau mamlaka, na ndiyo maana hata Mungu aliteketeza kizazi pale ambapo kilionesha kumdharau! H
Na wewe ukome ujisemehe mwenyewe kuwa yupo moyoni mwako
 
Akome, nani alimuambia kuropoka?? Aende akamtukane baba yake, na si kututukania rais wetu wa mioyoni mwetu. Ni funzo kwa wale mnaodharau mamlaka, na ndiyo maana hata Mungu aliteketeza kizazi pale ambapo kilionesha kumdharau! H
acha ujinga
 
Akome, nani alimuambia kuropoka?? Aende akamtukane baba yake, na si kututukania rais wetu wa mioyoni mwetu. Ni funzo kwa wale mnaodharau mamlaka, na ndiyo maana hata Mungu aliteketeza kizazi pale ambapo kilionesha kumdharau! H
Rais wenu wewe na nani?
 
Ebu yaweke mashairi ya kutukana hapa
ww kweli ndio BOLOyoung hujui nahau wala mafumbo
  • Kichaa kapewa rungu
  • kuchanwa marinda
hapo kweli utausikiliza huo wimbo kijiweni au mbele ya watoto wa kileo?
mbona mnawadhalilisha Viongozi wetu
hivi kulamka BOLO ni sifa au utoto huyo NEY mwache apate alichokitaka
 
Sema rais wa moyoni mwako.

Akome, nani alimuambia kuropoka?? Aende akamtukane baba yake, na si kututukania rais wetu wa mioyoni mwetu. Ni funzo kwa wale mnaodharau mamlaka, na ndiyo maana hata Mungu aliteketeza kizazi pale ambapo kilionesha kumdharau! H
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…