Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Duuuh..haya umesomeka dogo lomachangamsha ubongo wazazi wenu wakijamba ndo nyie mnaochekaga asshole
You are .... not your ...Your very smart!!
You are ....Your Great Thinker............. Respect.
Sio kwamba aliirecord baada ya roma kutekwani domo coz alitoa hadi nyimbo na meneja wake aliitisha kikao cha wasanii waende kwa makonda
jiulize kwenye ile nyimbo alijuaje kama roma atatekwa?
Sina baba kama kipo huko usiache kunistua.
Ahahaaaa uyu roma kabisa. Hlf aliyeshiriki kuandika bashite.
Bavicha wanajitoa ufahamu wakati ishajulikana kuwa kamanda roma kashiriki kwenye uandishi wa script na kuekti piaAhahaaaa uyu roma kabisa. Hlf aliyeshiriki kuandika bashite.
Ahahaaaa hii movie hii. Sterring anafia kny maua soonBavicha wanajitoa ufahamu wakati ishajulikana kuwa kamanda roma kashiriki kwenye uandishi wa script na kuekti pia
Ngoja niongeze popcorn movie tamu balaaaAhahaaaa hii movie hii. Sterring anafia kny maua soon
Wew nae hujaelewa kitu hebu kwendaaaa!Hili dongo kwa roma.....ata mm tokea mwanzo nilishtuka adi uzi humu jf nilianzisha, ukweli apa roma kacheza filam la kichina na mda cyo mrefu itabumbulika tu.....atekwe roma kwa kipi alichokifanya washindwe kumteka nay ambae katoa adi wimbo wa kumponda bashite.....roma umetuchezea akili na movie lako la kichina mda cyo mrefu itajulikana tu
Mleta uzi yeye siku zote anafikiria kiupandeupande kama mwendo wa kaaYour Great Thinker............. Respect.
Wenye akili na ufahamu tushajua ila nyie washikiwa akili huwezi ng'amua ata kidogoWew nae hujaelewa kitu hebu kwendaaaa!
WapoWenye akili na ufahamu tushajua ila nyie washikiwa akili huwezi ng'amua ata kidogo
Unatamani iwe hivyo ila nina wasiwasi mlengwa no Roma!Mleta uzi kakurupuka tu badala ya kufikiria nje ya box alijua kapondwa roma kumbe diamond
Hahahaaa umemaliza kila kituUnatamani iwe hivyo ila nina wasiwasi mlengwa no Roma!
Tafuta Tweet ya Mwana dashosti Ommy Dimpoz ndio utaelewa mlengwa ni nani......Roma bana daah!!Wew nae hujaelewa kitu hebu kwendaaaa!