Nay wamitego arusha jiwe gizani auliza Unatuchezea sinema hadi wana?

Nay wamitego arusha jiwe gizani auliza Unatuchezea sinema hadi wana?

ukitaka kujua hayo maneno yanamhusu nani soma huko mwishoni eti mwana katoa bokooo.................roma hajatoa chochote aliyetoa ndiye katoa boko
 
Dongo kwa roma, eh sasa alitekwa na nani? Naamini "hakujiteka"

Ney anamchokonoa mwana, mwana atoe povu. Mwisho wa siku itafanyika character assassination kwa mtu. Atachafuliwa sana

Hero atakuwa nani? Ney pia yuko kwenye movie.. Upande mwingine, ila chini ya kampuni moja ya filamu, director mmoja. Wote wako sehemu moja. Wanacheza uhusika tofauti tofauti tu kulingana na mazingira yao.
 
Hapo la kwanzaa ni Roma...!! Ya pili Diamond...
 
Eti Diamond anatukana watu wanaoongelea vyeti feki kuwa hawafanyi kazi

Jinga kabisa

Watu wengi wamepoteza haki kwa ajili ya kadhia ya vyeti feki

alafu anakuja mjinga mmoja anaemla ***** analeta ujinga
 
Ha ha ha... bora mitangao ya kijamii ifungwe maana daaaah hatutakuja kupata maendeleo kamwe

Kabla ya mitandao ya kijamii mlikuwa na maendeleo gani?
55ea56c2e30f13f230ddd873bd537b59.jpg
 
Back
Top Bottom