Nay wamitego arusha jiwe gizani auliza Unatuchezea sinema hadi wana?

Nay wamitego arusha jiwe gizani auliza Unatuchezea sinema hadi wana?

Wakuu, kama jamaa kacheza chezo mbona anaonekana amepigwa na anatembea kwa kuchechemea,kama amecheza inawezekanaje atembee huku akiwa mnyonge na alipelekwa hosp kufanya nini, hebu tusubiri aongee mwenyewe maana mtendewa yupo acheni kujipa majibu wakati mtendewa yupo na ataongea.
Hapo jiwe lmeenda kwa Mond,kwa wimbo ake wa kimbea ule
 
Hili dongo ni kwa PlatNumz pasi na shaka.

Wacha tuendelee tizama.
 
We demand the thruth jamani!!! Sio kututolesha povu koooote kule sijui where is Roma then MTU anakuja kuongea upuuzi, Roma we need the truth, with facts!!! Unless ua done!!!
hojazako zipange mapeeeeema sio story story tu!! Zisizo na kichwa wala migulubaja!!!

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
We demand the thruth jamani!!! Sio kututolesha povu koooote kule sijui where is Roma then MTU anakuja kuongea upuuzi, Roma we need the truth, with facts!!! Unless ua done!!!
hojazako zipange mapeeeeema sio story story tu!! Zisizo na kichwa wala migulubaja!!!

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Hukuna kitu kingine utasikia zaidi ya hizi sinema za mtandaoni..

Endelea na shugHuli zako.
 
17663767_167754170413563_6708030409956917248_n-1.jpg
 
Kwani kuna shida gani ikiwa diamond ikiwa roma kwan yy ney ni nan??? si mbwa tu kama mbwa wengne
 
Hili dongo kwa roma.....ata mm tokea mwanzo nilishtuka adi uzi humu jf nilianzisha, ukweli apa roma kacheza filam la kichina na mda cyo mrefu itabumbulika tu.....atekwe roma kwa kipi alichokifanya washindwe kumteka nay ambae katoa adi wimbo wa kumponda bashite.....roma umetuchezea akili na movie lako la kichina mda cyo mrefu itajulikana tu
acha wewe domo anajua kila kitu
 
Dongo limejulikana nani lilikiwa linamlenga ishajulikana kuwa roma alikuwa anatuchezea movie
 
Hii muvi ilikua ya bashite, tale na domo ila imedunda...reference chati za group la wasanii wati bushoke said
 
Back
Top Bottom