Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww ukipiteza daftar au hela afu jamaa akakupa matumaini kuwa itafute tu iyo vizur kufika jioni utakuwa ushaipa na kweli kabla jioni haijafika ushaipata utaamini kuwa yeye ndo aliificha hela yako.....muwe mnatumia na akili kuwaza
Ishaanza na anatema boko tuHivi press imeshaanza? Au alisema itaanza muda gani?
Kabla ya mitandao ya kijamii Tz ilikuwa na maendeleo sambamba na USAHa ha ha... bora mitangao ya kijamii ifungwe maana daaaah hatutakuja kupata maendeleo kamwe
Tulia msukule wa Madale.Hili dongo kamlenga Ali Kiba.
yeyote anayepigana kutafuta pesa kwa nguvuAlafu Nay anamalizia "Njaa zitatuua" nan huyu mwenye njaa?
Hivi nyie misukule wa Madale mbona uelewa wenu wa kupembua mambo ni mdogo kiasi hiki?!Hili dongo kwa roma.....ata mm tokea mwanzo nilishtuka adi uzi humu jf nilianzisha, ukweli apa roma kacheza filam la kichina na mda cyo mrefu itabumbulika tu.....atekwe roma kwa kipi alichokifanya washindwe kumteka nay ambae katoa adi wimbo wa kumponda bashite.....roma umetuchezea akili na movie lako la kichina mda cyo mrefu itajulikana tu
Ukiwa na akili mdogo ni vigumu kufikilia nje ya box.....akili ndogo ndo matji wa wenye uelewa utakuja kushtuka watu wana magorofa ndo utakuwa ushachelewaHivi nyie misukule wa Madale mbona uelewa wenu wa kupembua mambo ni mdogo kiasi hiki?!
Yaani umekaa kabisa umefikiria alafu umekuja na jibu Roma wakati dunia nzima tunajua Dimond na Mlezi wenu Bashite wakishirikiana na Babu Talent ndio walicheza hii sinema kwa vipande kadhaa vya fedha.
Wewe ni mwehu mkubwa.Ww ukipiteza daftar au hela afu jamaa akakupa matumaini kuwa itafute tu iyo vizur kufika jioni utakuwa ushaipa na kweli kabla jioni haijafika ushaipata utaamini kuwa yeye ndo aliificha hela yako.....muwe mnatumia na akili kuwaza
Akili ndogo huwezi jua nn nimemanisha kaa pembeni usaidie mama ako kuosha vyomboWewe ni mwehu mkubwa.
Tunazungumzia watu Wewe unazungumzia mtu kukufichia hela yako pumbavu ebooooo
Platnum...ndio mwanayeNani huyo anaecheza sinema, bashite, au huyo roma
Sakata la kutekwa kwa Roma limezidi kupamba moto baada ya Nay kushitukia Rafiki yao aliwachezea sinema.
Kwenye ukurasa wake ameandika haya.
naytrueboy1. Unatuchezea Sinema mpaka wana.?! F***k.! Njaa zitatuua.
[HASHTAG]#Wapo[/HASHTAG][emoji121]️
- naytrueboy2. Una Sign mkataba wa kucheza Sinema yenye Quality Mbovu, Tena inayo Rekodiwa kwa Camera ya Simu.?! Unategemea nini.? Nakuvua vyeo ata Kama Mkataba ni Mnono, Itaku Cost tu na utayumbisha Career yako.!
Mwana Katoa Bokoo.!
Upo sawa kabisaNadhani kamrefaaa diamond platnums, sio Roma
Kuosha vyombo ni kazi pendwa ya baba ako Dimond aliyokuwa akipenda kuifanya jikoni kwa Bob JuniorAkili ndogo huwezi jua nn nimemanisha kaa pembeni usaidie mama ako kuosha vyombo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kuosha vyombo ni kazi pendwa ya baba ako Dimond aliyokuwa akipenda kuifanya jikoni kwa Bob Junior
Naskia kashafunguka ila nimefungua hiyo thrd naambiwa ni privatesubirini tumsikie na roma upande wake
Naskia kashafunguka ila nimefungua hiyo thrd naambiwa ni privatesubirini tumsikie na roma upande wake