Abuu Abdurahman
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,448
- 1,790
Mkuu pole sana ila nakuambia ukisema la moyoni hata uuambie mti tu unapata ahueni, zile kejeli zetu humu chukulia kama just a jokes za mtoto kukojolea nepi zizarau nawe ucheke utaongeza amani moyoni. Ila kiukweli we sema utapata ahueni. HAKUNA LISILOSEMWAI appreciate your concern Mkuu. Be blessed.
The bad thing about my story ni kuwa "naumizwa sana na mambo ambayo ni mwiko kusema."
Kuna moments huwa nasikia uchungu mpaka kifua kinawaka moto, saa nyingine mpaka nalia, na kujifariji mwenyewe. Highly probable this is my Fate..!
I won't kill myself though.
I appreciate your concern Mkuu. Be blessed.
The bad thing about my story ni kuwa "naumizwa sana na mambo ambayo ni mwiko kusema."
Kuna moments huwa nasikia uchungu mpaka kifua kinawaka moto, saa nyingine mpaka nalia, na kujifariji mwenyewe. Highly probable this is my Fate..!
I won't kill myself though.
Mkuu usiujaze moyo kwa vitu vizito. Chagua watu wawili ama watatu, wafate PM, waelezee Masaibu yako! Usikiweke mpweke ndani ya Box
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni kwamba unakuwa hujui nani wa kumuamini hasa kwa sisi ambao hatujuani. Unaweza kumfata mtu ukadhani atakusaidia kumbe umempa cha kwenda kusimulia mbele ya safari
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni kwamba unakuwa hujui nani wa kumuamini hasa kwa sisi ambao hatujuani. Unaweza kumfata mtu ukadhani atakusaidia kumbe umempa cha kwenda kusimulia mbele ya safari
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo JF ya sasa utoto mwingi na kujitoa fahamu, mwenye akili timamu asingejibu hivyoJumbe kama hizi huwa mwiba sana kwa wahitaji Wa ushaur yann umnyanyapae mwenzio ona Leo hatunaye tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa Poa nimeona, tuwasiliane hakishindikani kitu kama ana discipline tunaweza kumshika mkonoUNSPECIFIED nakuomba na ninajua una huu uwezo..kuna dogo namkubali sana...anajituma sana ila hajapata kazi ...msaidie..mm ameomba nimsaidie ila ss hv n hz mvua mambo yanaenda mradi... Na mm nna watu watatu nyuma yangu sijaona wa kumtoa coz nao wanahitaj msaada wangu..naomba niwe mdhamini wake mimi...umsaidie kazi tena ikiwezekana km ya yule chalii ulomrudisha...!poptoe pale anafit...ukikubali nauli ntatoa mimi!yuko dar nw!
Poa Poa nimeona, tuwasiliane hakishindikani kitu kama ana discipline tunaweza kumshika mkonoUNSPECIFIED nakuomba na ninajua una huu uwezo..kuna dogo namkubali sana...anajituma sana ila hajapata kazi ...msaidie..mm ameomba nimsaidie ila ss hv n hz mvua mambo yanaenda mradi... Na mm nna watu watatu nyuma yangu sijaona wa kumtoa coz nao wanahitaj msaada wangu..naomba niwe mdhamini wake mimi...umsaidie kazi tena ikiwezekana km ya yule chalii ulomrudisha...!poptoe pale anafit...ukikubali nauli ntatoa mimi!yuko dar nw!
Huo ni udhaifu wa Jf app, ukitaka kuona last seen halisi nenda kwenye browser
Ana discpline naamini hilo kabisa ! Asante boss wanguPoa Poa nimeona, tuwasiliane hakishindikani kitu kama ana discipline tunaweza kumshika mkono