Nayaandika haya huku moyo wangu unavuja damu. Uchungu mwingi sana

Nayaandika haya huku moyo wangu unavuja damu. Uchungu mwingi sana

May your soul RIP, nmeumia kusoma historia yako mkuu dah! Ndo kwanza naona thread zako dah!
Nna tatizo la kusikia pia, nashkuru Mungu sana tena sana najicontrol na kujipenda hivi nilivyo. Shuleni niliteseka pia lkn ilifika kipindi ikabidi nizoee majina yote niliyoitwa na wenzangu na Mara nyingi mtu akinitunga Jina anakua rafiki yangu automatic tu, because nikiitwa Binti kiziwi sinuni sijitengi instead hua natabasam ama kucheka tu.

Chuo ndo niltabika nilwahi kukaa week nzima chumban bila kwenda darasan nilziba full nikawa nasikia mvumo masikioni. Sikuweza kuwasiliana, kuvuka barabara naogopa niljifungia tu.

My dear, nmehuzunika ulikata tamaa!!!!!! Kiuhasilia maisha hayapo sawa hata kwa wale wanaojiona ni wazima. Mwenyezi Mungu awape faraja na nguvu familia yako🙏🏾
 
Poa Poa nimeona, tuwasiliane hakishindikani kitu kama ana discipline tunaweza kumshika mkono

Una roho fulani hivi ! Salute . sema this tym nimekosa yale mazaga zaga nayoshushaga kwa ndinga dah😅😅..lini utapita tena?
 
Bongo movie ingekuwa kama nje huko ingetengenezwa movie(kibali kinatoka kwa familia mana wangelipwa pia) mana marehemu aliandika kila kitu juu ya maisha yake
Naimani movie ingeuza na ingefundisha sana tena sana
Watunzi wa video watu wa IT waichukue hii story waiwekee video then waiupload mtandaoni kwa manufaa ya wengi..

Ni kitu chenye mazingatio sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KIziwi anaadhibiwaje kiholela namna hiyo?
Kuna tatizo mahali....kiziwi ni mlemavu kama wengine hivyo huwa wanakua na matunzo tofauti hasa huko mashuleni...mi nilisoma na vipofu nikiwa boarding sekondari na walikuwa wanaishi na kusoma vizuri tu
 
Huu uzi wako umenifanya nmelia sana kwasababu mimi pia nina tatizo kama lako na limenitokea ukubwani manyanyaso shuleni yalinitokea hivyo hivyo.

Pole sana tusikate tamaa naamini ipo siku mungu atasikia kilio chetu na tutakuwa na furaha kama wenzetu
Nakuomba Pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuntubaby, usikate tamaa kuntubaby tupo wengi wenyew tatizo kama lako........hakika machungu tuyapitiayo ipo sk yatageuka kuwa faraja na kuyasahau yote haya.

mtihani MUNGU aliotupa ni kipimo juu ya imani yetu kwake. kama nabii ayubu alilala kitandani kwa mda wa miaka 18 akiwa mahututi na badae MUNGU alimjalia afya yake ikarudi sawa....vp ss tunaweza kutembea na kuona tukate tamaa

kukata tamaa ni dhambi.tuamini MUNGU w2 anaweza kuleta faraja ktk maisha y2.



naomba nipim

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Asubuhi nilikua nasikiliza nyimbo za Mwaipaja Martha

1. Tusikate Tamaa
2. Kweli Nimetambua.
 
Back
Top Bottom