kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Waafrika tunazidi kuwa watumwa kutopenda mila zetu
Binafsi napenda makabila yanayoendeleza matambiko ya kimila
matambiko sio ushirikina nachukia ushirikina na uchawi wa kwenda wa waganga sana nakataa hayo mambo.
Ila matambiko ya kimila ni ibada nzuri sana kwa sababu haihusishi ushirikina wala kumtoa mtu kafara
Hizi ibada za matambiko hazijaanza leo toka enzi za ibrahimu alipotaka kumtoa isacka
Ndo maana jamii nyingi duniani nenda mpaka kwa wajapan, wachina mpaka wazungu matambiko yapo
Moja ya faida ya matambiko ni kuwa mungu anajibu haraka mnoo kupitia matambiko
Mtakesha sana misikitini na makanisani mkiomba mathalani mvua lakini wanaotambika wataomba mvua na itanyesha
Kama matambiko ni mabaya kwanini wengi wamuombao mungu kupitia matambiko hupata majibu haraka??
Kama ni mgonjwa hupona
kama ni balaa huondoka
kama ni laana huisha
kama ni mvua zitanyesha
kama ni njaa neema zitakuja
Naunga mkono matambiko ya kimila na makabila yote yanayoendelea matambiko nayasupport kwa 100%
Binafsi napenda makabila yanayoendeleza matambiko ya kimila
matambiko sio ushirikina nachukia ushirikina na uchawi wa kwenda wa waganga sana nakataa hayo mambo.
Ila matambiko ya kimila ni ibada nzuri sana kwa sababu haihusishi ushirikina wala kumtoa mtu kafara
Hizi ibada za matambiko hazijaanza leo toka enzi za ibrahimu alipotaka kumtoa isacka
Ndo maana jamii nyingi duniani nenda mpaka kwa wajapan, wachina mpaka wazungu matambiko yapo
Moja ya faida ya matambiko ni kuwa mungu anajibu haraka mnoo kupitia matambiko
Mtakesha sana misikitini na makanisani mkiomba mathalani mvua lakini wanaotambika wataomba mvua na itanyesha
Kama matambiko ni mabaya kwanini wengi wamuombao mungu kupitia matambiko hupata majibu haraka??
Kama ni mgonjwa hupona
kama ni balaa huondoka
kama ni laana huisha
kama ni mvua zitanyesha
kama ni njaa neema zitakuja
Naunga mkono matambiko ya kimila na makabila yote yanayoendelea matambiko nayasupport kwa 100%