Nayapenda makabila yanayoenzi matambiko ya kimila kwani matambiko sio ushirikina

Nayapenda makabila yanayoenzi matambiko ya kimila kwani matambiko sio ushirikina

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Waafrika tunazidi kuwa watumwa kutopenda mila zetu

Binafsi napenda makabila yanayoendeleza matambiko ya kimila

matambiko sio ushirikina nachukia ushirikina na uchawi wa kwenda wa waganga sana nakataa hayo mambo.


Ila matambiko ya kimila ni ibada nzuri sana kwa sababu haihusishi ushirikina wala kumtoa mtu kafara

Hizi ibada za matambiko hazijaanza leo toka enzi za ibrahimu alipotaka kumtoa isacka

Ndo maana jamii nyingi duniani nenda mpaka kwa wajapan, wachina mpaka wazungu matambiko yapo

Moja ya faida ya matambiko ni kuwa mungu anajibu haraka mnoo kupitia matambiko


Mtakesha sana misikitini na makanisani mkiomba mathalani mvua lakini wanaotambika wataomba mvua na itanyesha

Kama matambiko ni mabaya kwanini wengi wamuombao mungu kupitia matambiko hupata majibu haraka??

Kama ni mgonjwa hupona
kama ni balaa huondoka
kama ni laana huisha
kama ni mvua zitanyesha
kama ni njaa neema zitakuja

Naunga mkono matambiko ya kimila na makabila yote yanayoendelea matambiko nayasupport kwa 100%
 
kwa uelewa wangu imani yeyote ambayo haimuhusishi Mungu aliye hai ni ushirikina... kufanya matambiko ni ushirikina pia hauna tofauti na uchawi
 
Matambiko ni mhimu sana sana , ni kweli matambiko sio ushirikina ila yanafania na ushirikina

Cha mhimu wakati unafanya tambiko au unazunguka mti ili upone uwe na IMANI ,moyoni mwako kusiwe na mambo mawili liwe tu like ulilolikusudia

Mfano, unatambikia mvua inyeshe ukiwa umepiga magoti (kuna mambo unatakiwa kufanya akati umepiga magoti siwezi kuyaandika hapa)
Amini kabisa baba yako alipiga magoti mbele ya uchi wa mama ako ukazaliwa ,naye pia baba ako alizaliwa kwa baba ake kupiga magoti mbele ya uchi wa mama ake hivo huko waliko wanawajibu wa kutusaidia sisi tulioko huku duniani ,

Moyoni mwako kunatakiwa kuwe na limoja tu kuwa itanyesha na sio kuanza kuwaza hivi itanyesha kweli?
Mfano tena umeamua kulivulia shamba nguo amini kuwa uchi wako utatenda kitu Kwenye shamba na sio kuanza kujihisi labda utakuwa umejidhalilisha.


Kwenye matambiko cha mhimu ni Imani Kali sana, moyoni kusiwe na mawili, usifanye ukiwa umelewa
 
Waafrika tunazidi kuwa watumwa kutopenda mila zetu

Binafsi napenda makabila yanayoendeleza matambiko ya kimila

matambiko sio ushirikina nachukia ushirikina na uchawi wa kwenda wa waganga sana nakataa hayo mambo.


Ila matambiko ya kimila ni ibada nzuri sana kwa sababu haihusishi ushirikina wala kumtoa mtu kafara

Hizi ibada za matambiko hazijaanza leo toka enzi za ibrahimu alipotaka kumtoa isacka

Ndo maana jamii nyingi duniani nenda mpaka kwa wajapan, wachina mpaka wazungu matambiko yapo

Moja ya faida ya matambiko ni kuwa mungu anajibu haraka mnoo kupitia matambiko


Mtakesha sana misikitini na makanisani mkiomba mathalani mvua lakini wanaotambika wataomba mvua na itanyesha

Kama matambiko ni mabaya kwanini wengi wamuombao mungu kupitia matambiko hupata majibu haraka??

Kama ni mgonjwa hupona
kama ni balaa huondoka
kama ni laana huisha
kama ni mvua zitanyesha
kama ni njaa neema zitakuja

Naunga mkono matambiko ya kimila na makabila yote yanayoendelea matambiko nayasupport kwa 100%
Tunaelewa mambo kwa namna tofauti tofauti kabisa.
 
Waafrika tunazidi kuwa watumwa kutopenda mila zetu

Binafsi napenda makabila yanayoendeleza matambiko ya kimila

matambiko sio ushirikina nachukia ushirikina na uchawi wa kwenda wa waganga sana nakataa hayo mambo.


Ila matambiko ya kimila ni ibada nzuri sana kwa sababu haihusishi ushirikina wala kumtoa mtu kafara

Hizi ibada za matambiko hazijaanza leo toka enzi za ibrahimu alipotaka kumtoa isacka

Ndo maana jamii nyingi duniani nenda mpaka kwa wajapan, wachina mpaka wazungu matambiko yapo

Moja ya faida ya matambiko ni kuwa mungu anajibu haraka mnoo kupitia matambiko


Mtakesha sana misikitini na makanisani mkiomba mathalani mvua lakini wanaotambika wataomba mvua na itanyesha

Kama matambiko ni mabaya kwanini wengi wamuombao mungu kupitia matambiko hupata majibu haraka??

Kama ni mgonjwa hupona
kama ni balaa huondoka
kama ni laana huisha
kama ni mvua zitanyesha
kama ni njaa neema zitakuja

Naunga mkono matambiko ya kimila na makabila yote yanayoendelea matambiko nayasupport kwa 100%


Huu ndo unafiki na ubinafsi uliopitiliza, wewe kama Waafrika walio wengi mnajifanya mnapenda mila na desturi lkn mnataka wafanye wengine muwasifie na siyo wewe na familia yako.

Hivi kinachokuzuia wewe kufanya hayo matambiko ya kabila lako ni kipi? Kwa nini usivae hivyo kitambiko na kupiga ramli wewe badala ya kutaka wengine wafanye ili useme wanadumisha mila? Kwani wewe hauna hiyo mila kwa nini usifanye hivyo?
 
Tunaelewa mambo kwa namna tofauti tofauti kabisa.
Bila shaka umeielewa mada hii ,ila matambiko yanakaribiana sana ushirikina tu . Mimi najua kabisa kuwa matambiko~ushirikina na hakuna wa kunipinga hilo atakaye pinga atakuwa kanikosea adabu sana. Kuacha kufanya, kufanyiwa, kushiriki matambiko ni kazi sana kama umeyakulia
 
Wa
Wachagga siku hizi wanaachana na huu ujinga kabisa,sasa hivi wachagga wanaokoka ile mbaya.Kutambika ni kukosa akili.
Nasema si kweli, bado wanafanya ila Kwa usiri sana, na kama wewe ni mwanamke hauwezi jua sana kama wameacha au laa?
 
Wachagga siku hizi wanaachana na huu ujinga kabisa,sasa hivi wachagga wanaokoka ile mbaya.Kutambika ni kukosa akili.
Kuacha kutambika ni kuwakosea wazee adabu pia, wewe Unadhani ukitoka mjini kwenda kijijini hawajatambikia kwanza ufikie salama (Baadhi ya koo hufanya hivo)
 
Biblia inasema, ipo njia ionekanayo njema machoni kwa mtu lakini ni chukizo kwa Mungu.
 
Wachawi wanapenda sana kujinasibu pale wanapoona wanakosa umaana katika jamii.
Jua kutambikia sio ushirikina kivile, kutambikia unakuwa unazungumza na walio kutangilia wakusaidie. Ndo maana hata baba na mama ako wanawajbu wa kukutunza hivo hvo pia wakifa wanawajbu bado wa kukusaidia na kuhakikisha damu yao ipo salama. Kama wapo hao kizazi cha nyuma kinawajibu huo. Kutambikia unazungumza na wazee wa ukoo wakusaidie
 
Jua kutambikia sio ushirikina kivile, kutambikia unakuwa unazungumza na walio kutangilia wakusaidie. Ndo maana hata baba na mama ako wanawajbu wa kukutunza hivo hvo pia wakifa wanawajbu bado wa kukusaidia na kuhakikisha damu yao ipo salama. Kama wapo hao kizazi cha nyuma kinawajibu huo. Kutambikia unazungumza na wazee wa ukoo wakusaidie
Maiti ni mboga hauna msaada wowote kwa maisha ya mtu aliye hai
 
ndio maana kuna lijamaa limeamua kurudi ccm baada ya wanaccm kuacha kwenda kutambika kwenye kaburi la baba yake
 
Back
Top Bottom