D
Deleted member 485868
Guest
Aiseee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maiti ni mboga hauna msaada wowote kwa maisha ya mtu aliye hai
sijawadharau Mzee.n
Ni tafasiri yako hiyo sikupingi Mkuu.
Ila tambua kuwa kuna watu wanakuwa na msaada sana wakifa zaidi ya walivo kuwa hai.
Kuwadharau walio kufa ni kuwakosea adabu sana.
Ndio kutambika ni mhimu sana, tumshukuru mdau kwa kutukumbushaAiseee
Hapana haiendelei kufanya kazi , ila Roho ipo katika ulimwengu wa Roho na ndo inasaidia katika matambikosijawadharau Mzee.
je mtu akifa akili yake inaendelea kufanya kazi?
Roho Ina akili? je kuna tofauti kati ya roho ya mtu na nguruwe?Hapana haiendelei kufanya kazi , ila Roho ipo katika ulimwengu wa Roho na ndo inasaidia katika matambiko
Matambiko ni mhimu sana Mkuu
Roho Ina akili? je kuna tofauti kati ya roho ya mtu na nguruwe?
Matambiko is equivalent to Ushirikina sema yanawekwa katika soft language.Bila shaka umeielewa mada hii ,ila matambiko yanakaribiana sana ushirikina tu . Mimi najua kabisa kuwa matambiko~ushirikina na hakuna wa kunipinga hilo atakaye pinga atakuwa kanikosea adabu sana. Kuacha kufanya, kufanyiwa, kushiriki matambiko ni kazi sana kama umeyakulia
Just Awesome. You made my day. Najua wachaga wenzangu watapita na kusoma hapa kimya kimya .....Wachagga siku hizi wanaachana na huu ujinga kabisa,sasa hivi wachagga wanaokoka ile mbaya.Kutambika ni kukosa akili.
Kama kutambika maana yake ndio hiyo haiwezi kuacha kuwa ni ushirikina maana haiwezekani waliokufa wamsaidie alie hai...isipokuwa tu kinachotakiwa kwa mfiwa unachotakiwa ni kuwaombea Rehema kwa Mungu waliotangulia na sio kuwaomba wao msaada au utegemezi ukishawaomba wafu msaada tayari huo ni ushirikina tena si mdogoJua kutambikia sio ushirikina kivile, kutambikia unakuwa unazungumza na walio kutangilia wakusaidie. Ndo maana hata baba na mama ako wanawajbu wa kukutunza hivo hvo pia wakifa wanawajbu bado wa kukusaidia na kuhakikisha damu yao ipo salama. Kama wapo hao kizazi cha nyuma kinawajibu huo. Kutambikia unazungumza na wazee wa ukoo wakusaidie
Wanafanya sana ila kwa siri sana, juzi kuna mzee alivulia mtoto nguo hadharani akavaa (iphilyikya) , akaenda tena mlangoni akauonyesha mlango wa nyumba ya mwanae tupu ya nyuma,Just Awesome. You made my day. Najua wachaga wenzangu watapita na kusoma hapa kimya kimya .....
Nisaidie kuelewa kitu kimoja...... Mnaamini kabisa kuwa sasa nuksi katika hiyo familia zitakuwa zimeondoka kwa kuchanganya damu ya binadamu na ya kondoo/mbuzi? ....... Seriously??Wanafanya sana ila kwa siri sana, juzi kuna mzee alivulia mtoto nguo hadharani akavaa (iphilyikya) , akaenda tena mlangoni akauonyesha mlango wa nyumba ya mwanae tupu ya nyuma,
Hivo tukawa hatuna budi zaidi ya kumsara matulu (kuchanja makalioni katikati kupata damu ya huko na kuichanganya na ya kondoo/mbuzi iliyo kulia katika familia hiyo kwa Imani Kali) ili kuondoa nuksi katika familia
Kama kutambika maana yake ndio hiyo haiwezi kuacha kuwa ni ushirikina maana haiwezekani waliokufa wamsaidie alie hai...isipokuwa tu kinachotakiwa kwa mfiwa unachotakiwa ni kuwaombea Rehema kwa Mungu waliotangulia na sio kuwaomba wao msaada au utegemezi ukishawaomba wafu msaada tayari huo ni ushirikina tena si mdogo
Yes seriously tunaamini hivo, cha mhimu wakati unafanya tambiko usiwe na shaka uwe na IMANINisaidie kuelewa kitu kimoja...... Mnaamini kabisa kuwa sasa nuksi katika hiyo familia zitakuwa zimeondoka kwa kuchanganya damu ya binadamu na ya kondoo/mbuzi? ....... Seriously??
Kweli kabisa hata ushirikina wanaofanya wanasema hivyohivyo kwamba wanafanya kwa raha zao lakini haimaanishi kuwa inampendeza MunguKutambikia kuna raha yake bana, kama kumsara mtu kwa hiari yake, ili kuondoa ujinga wake ni raha sana
Wewe kama haufanyi ni wewe wengne wanaendekea kwa raha zao.
Ya kale ni dhahabu.
Na ule udi unaofukizwa kanisani (wakatoliki) ni nini?Matambiko is equivalent to Ushirikina sema yanawekwa katika soft language.
Ni raha sana MkuuKweli kabisa hata ushirikina wanaofanya wanasema hivyohivyo kwamba wanafanya kwa raha zao lakini haimaanishi kuwa inampendeza Mungu
Hapo sijawaelewaga sana kivile :Na ule udi unaofukizwa kanisani (wakatoliki) ni nini?
Au kwaya na mapambio, si matambiko nayo?
Sasa huo uwezo wa kusaidia wanaupata vp na kutoka kwa nani baada ya wao kufa?n
Ni tafasiri yako hiyo sikupingi Mkuu.
Ila tambua kuwa kuna watu wanakuwa na msaada sana wakifa zaidi ya walivo kuwa hai.
Kuwadharau walio kufa ni kuwakosea adabu sana.