Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Sasa huo uwezo wa kusaidia wanaupata vp na kutoka kwa nani baada ya wao kufa?n
Ni tafasiri yako hiyo sikupingi Mkuu.
Ila tambua kuwa kuna watu wanakuwa na msaada sana wakifa zaidi ya walivo kuwa hai.
Kuwadharau walio kufa ni kuwakosea adabu sana.