chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Watanzania tuna cha kujifunza, huwa tunasikia watu wanasema "Niko tayari kufa", "Niko tayari kufanya lolote".
Mabadiliko ni process ambayo hutakiwi kuibeba peke yako, ni zao la jamii kwa ujumla na kwa pamoja, usije ukaumiza familia yako na kazi zako ukiamini wewe pekee utaweza.
Kama jamii bado inaamini katika hali ilivyo (status quo), tembea na biti za jamii. Wema usizidi uwezo. Ukidhurika ni wewe na familia yako, hutamuona yule kiongozi mkuu wa chama au taasisi, ni wewe na wanao.
Usiharibu carrier yako, let nature take it's course.
Pole Ney, punguza mizinga kwenye baa, rudia fani yako. CHADEMA hakualiki hata katika matamasha yao, hata ukiitisha shoo Arusha, au Kilimanjaro au mbeya, ngome za CHADEMA, ukumbini utakuwa peke yako.
Jifunze kwa Sugu, na Prof. Jay, wamezilinda fani zao, na wamezitenga na Siasa, kwani Sugu au Prof. Jay unadhani hawawezi kuimba nyimbo kwa mlengo wako? Akili kichwani.
Omba kolabo na mwanamuziki mkubwa uone kama atakubali, hata Sugu na Prof. hawatakubali.
You are done and dusted!
Mabadiliko ni process ambayo hutakiwi kuibeba peke yako, ni zao la jamii kwa ujumla na kwa pamoja, usije ukaumiza familia yako na kazi zako ukiamini wewe pekee utaweza.
Kama jamii bado inaamini katika hali ilivyo (status quo), tembea na biti za jamii. Wema usizidi uwezo. Ukidhurika ni wewe na familia yako, hutamuona yule kiongozi mkuu wa chama au taasisi, ni wewe na wanao.
Usiharibu carrier yako, let nature take it's course.
Pole Ney, punguza mizinga kwenye baa, rudia fani yako. CHADEMA hakualiki hata katika matamasha yao, hata ukiitisha shoo Arusha, au Kilimanjaro au mbeya, ngome za CHADEMA, ukumbini utakuwa peke yako.
Jifunze kwa Sugu, na Prof. Jay, wamezilinda fani zao, na wamezitenga na Siasa, kwani Sugu au Prof. Jay unadhani hawawezi kuimba nyimbo kwa mlengo wako? Akili kichwani.
Omba kolabo na mwanamuziki mkubwa uone kama atakubali, hata Sugu na Prof. hawatakubali.
You are done and dusted!