Mrs Besyige
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 1,040
- 2,923
Na wewe hua unaloa kumbe?basi tupo wengiKwahiyo ukiona wazee wenye mvi tu wewe huko chini chapa chapa 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe hua unaloa kumbe?basi tupo wengiKwahiyo ukiona wazee wenye mvi tu wewe huko chini chapa chapa 🤣🤣
aoe, atakuwa anafanya tendo la ndoa na sio ngonoNa ngono aache mkuu? Masharti mengine kama ya mganga hayatelekezeki.
Kongoro za Ng'ombe au Hata za Kitimoto?Yes , kongoro inaongeza kitu kinaitwa collagen sijui kwa kiswahili ni nini, hii inapunguza kasi ya kuzeeka. Tumia sana matunda na mbogamboga upate vitamin A na C za kutosha utaona unakuwa kijana
Za ng'ombe ndio najuaKongoro za Ng'ombe au Hata za Kitimoto?
Kwa grandmaa hilo liko wazi… kwa uso ya baridi ya friji hayaumizi?Kama huwezi yabaridi kabisa basi changanya na yamoto kdg kutoa ubaridi tu lakini yasiwe yamoto. na ikiwezekana usoni na kwa bibi Depal tumia maji ya baridi, yale ya bombani. kwa uso kama inawezeka tumia ya baridi hasa yalowekwa kwenye friji. uso wako kila siku utaonekana wa kijana
Ni vinasaba vya ukomo au familia ambavyo umevirithi. Bahati mbaya kuzeeka hakukwepekwi, ujaribu kutofuga ndevu, na utie dawa kwenye nywele au uwe na kipara.Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.
Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.
Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.
Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.
Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.
Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.
Msaada tafadhali.