Nazeeka kwa kasi ya ajabu mno. Nifanye nini?

Nazeeka kwa kasi ya ajabu mno. Nifanye nini?

Tafuta hela wewe,acha umarioo,Bimkubwa anakuambia imezeeka anakuwa kisaikolokia ili awe anatoka na dogo,Na wewe unananata na biti,Pala black,piga scrub mwilizima utarudi
 
Yes , kongoro inaongeza kitu kinaitwa collagen sijui kwa kiswahili ni nini, hii inapunguza kasi ya kuzeeka. Tumia sana matunda na mbogamboga upate vitamin A na C za kutosha utaona unakuwa kijana
Kongoro za Ng'ombe au Hata za Kitimoto?
 
Kama huwezi yabaridi kabisa basi changanya na yamoto kdg kutoa ubaridi tu lakini yasiwe yamoto. na ikiwezekana usoni na kwa bibi Depal tumia maji ya baridi, yale ya bombani. kwa uso kama inawezeka tumia ya baridi hasa yalowekwa kwenye friji. uso wako kila siku utaonekana wa kijana
Kwa grandmaa hilo liko wazi… kwa uso ya baridi ya friji hayaumizi?

Kibongobongo maji ya moto ni yale warm tu.. sio moto, sio baridi,
 
Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.

Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.

Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.

Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.

Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.

Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.

Msaada tafadhali.
Ni vinasaba vya ukomo au familia ambavyo umevirithi. Bahati mbaya kuzeeka hakukwepekwi, ujaribu kutofuga ndevu, na utie dawa kwenye nywele au uwe na kipara.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom