Nazeeka kwa kasi ya ajabu mno. Nifanye nini?

Nazeeka kwa kasi ya ajabu mno. Nifanye nini?

Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.

Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.

Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.

Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.

Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.

Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.

Msaada tafadhali.
It is a Blessing
IMG-20231108-WA0023.jpg
 
Zingatia lishe bora, mboga za majani kwa wingi na matunda, punguza vyakula vya wanga na sukari, kunywa maji mengi badala ya pombe ama soda, fanya mazoezi mepesi angalau mara 4 kwa wiki, hakikisha unapata muda wa kutosha wa kulala.
Mwisho punguza stress
 
Mkuu bora ww mimi at 30's nina mvi balaa kichwani hadi kero yaani.
Za urithi hizo, kuna ndugu yangu mmoja tunalingana nae ana mvi haswaa...wakati Mzee wangu wa mwaka 1960 ana vimvi vichache mno vya kuhesabu

Ni suala la kurithi au Stress pia zinachangia mvi au upara

Vyakula na vinywaji vinavyosaidia kuondoa uzee ni pamoja na :

- Maji ya kutosha

- Kahawa / Coffee

- Red wine (1-2 glasses kwa siku)

- Ubuyu unalinda kumbukumbu

- Asali

- Matunda japo si yote

- Punguza wanga, ongeza Protini

Mwisho na muhimu sana MAZOEZI
 
Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.

Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.

Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.

Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.

Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.

Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.

Msaada tafadhali.
Mazoezi boss wangu MAZOEZIII
Mimi Nina miaka 33, ila huwa nikiwaambia watu miaka yangu huwa hawaamini.

#YNWA
 
Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.

Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.

Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.

Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.

Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.

Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.

Msaada tafadhali.
kapime sukari (diabetes) kama unajihisi kusinzia sinzia kila wakati kwani hiyo ni moja ya dalili zake.
Itakusaidia kujirekebisha pindi ukionekana unazo dalili (prediabetes).
 
Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.

Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.

Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.

Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.

Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.

Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.

Msaada tafadhali.
Mazoezi mazoezi mazoezi ,kula proteins food sana na vegetables utanishukuru badae
 
Mvi sio uzee. Pia kuwa at 40 bado wewe sio mzee. Uzee huanza at 70’s. Pia uzee ni fikra za mtu.

Mwonekano wa kuzeeka hutegemea mambo mengi ila kubwa ni nasaba (genetics).

Mazingira na mazoea yana mchango mkubwa kwenye kuleta uzee. Angalia life style yako:

Mazoezi ya mwili ni muhimu, uwe unafanya kazi ya kushurutisha mwili kama kutembea umbali mrefu, kucheza mpira, kuogelea, nk itakusaidia.

Angalia unakula nini. Kula sana matunda na mboga za majani fresh. Acha junk foods kama chips na vyakula vyenye mafuta na sukari nyingi.

Pumzika vya kutosha, lala walau masaa 7-8 kila usiku.

Punguza stress za maisha.

Acha mwili upigwe jua la kadiri, ngozi hutengeneza melanin ambayo huzuia kasi ya mvi.

Acha au punguza sana pombe na sigara.

Usile na kujaza tumbo kila wakati. Mwili huchoka na sumu huwa nyingi mwilini. Kula mara moja tu kutwa.

Punguza kula nyama nyingi.

Kuwa mwenye furaha wakati mwingi.

Jikubali uzee ni heshima!
 
Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.

Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.

Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.

Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.

Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.

Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.

Msaada tafadhali.

Mkuu bora ww mimi at 30's nina mvi balaa kichwani hadi kero yaani.

Aisee, yani hata mimi nimelala usika, kuamka asubuhi nakuta uso umetelemuka!
Yaakh...balaa!

kunywa maji mengi.
Fanya mazoezi.
kula matunda kwa wingi mboga majani.
vitungu saumu,tangawizi, malimao,pili pili.

pia hizo nywele paka dawa nyeusi uzichonge vizuri.

Aging imetofautiana sana kati ya mtu na mtu, usije ukafosi aging ako ifanane na ndugu zako wengine au age mates wako mana kila mtu ana unique aging genes.

Unatakiwa uufurahie uzee wako kama ulivyoufurahia utoto na ujana pia.

Vyote vina raha yake.

Mimi nipo 30s lakini naonekana wa 20s na huwa sifichi miaka yangu na nina furahia na mvi zangu kidevuni.

Ukijitahidi kuficha uzee ndivyo unazidi kuzeeka sababu ya stress.

Ila usipojali uzee wako basi unakuwa kijana zaidi maana hujali.

Mwisho wa siku uzee au ujana unategemea na fikra zako

Dawa nzuri ya kupunguza speed ya kuzeeka,Anza Kula na kunywa supu ya kongoro angalau 500mls Kwa siku Fanya zoezi Hilo mwezi mzima njoo na mrejesho ikikufaa endelea nayo.
Mvi sio uzee. Pia kuwa at 40 bado wewe sio mzee. Uzee huanza at 70’s. Pia uzee ni fikra za mtu.

Mwonekano wa kuzeeka hutegemea mambo mengi ila kubwa ni nasaba (genetics).

Mazingira na mazoea yana mchango mkubwa kwenye kuleta uzee. Angalia life style yako:

Mazoezi ya mwili ni muhimu, uwe unafanya kazi ya kushurutisha mwili kama kutembea umbali mrefu, kucheza mpira, kuogelea, nk itakusaidia.

Angalia unakula nini. Kula sana matunda na mboga za majani fresh. Acha junk foods kama chips na vyakula vyenye mafuta na sukari nyingi.

Pumzika vya kutosha, lala walau masaa 7-8 kila usiku.

Punguza stress za maisha.

Acha mwili upigwe jua la kadiri, ngozi hutengeneza melanin ambayo huzuia kasi ya mvi.

Acha au punguza sana pombe na sigara.

Usile na kujaza tumbo kila wakati. Mwili huchoka na sumu huwa nyingi mwilini. Kula mara moja tu kutwa.

Punguza kula nyama nyingi.

Kuwa mwenye furaha wakati mwingi.

Jikubali uzee ni heshima!
 
Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.

Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.

Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.

Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.

Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.

Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.

Msaada tafadhali.
Acha pombe...
 
Kapime sukari na presha kisha angalia kama.hauna lehemu kwenye damu.

Endapo utakutwa na mojawapo au vyote vya hapo juu, just fuata ushauri wa wataalam

Kama hautakutwa na any of those, njoo inbobo nikupe tips za kuhuisha collagen zako.

Ushauri ni bure
Hizo tips zimwage hapa hadharani na sisi tujifunze
 
Kuna jamaa nimemaliza naye form 4 mwaka 2010, sasa mwaka juzi nimeenda kijijini nipo stendi naona mzee ana kipara mkwaruzo ananichangamkia ananitaja jina kabisa.
Kumcheki vizuri kumbe ni class mate bwana. Aisee tulifurahi tulicheka sana mimi nikawa nacheka 2 in 1.
 
Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.

Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.

Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.

Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.

Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.

Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.

Msaada tafadhali.
Amka alfajiri....kunywa maji kwa wingi.
Halafu oga maji baridi...kabla jua kuchomoza.
 
Back
Top Bottom