mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa yule ni big boss! Hili ni li chawa flani kindakindaki,ndo mana limekongoroka chap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa yule ni big boss! Hili ni li chawa flani kindakindaki,ndo mana limekongoroka chap
Mke ulinaye...... au MICHEPUKO iliyonayoYeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.
Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.
Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.
Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.
Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.
Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.
Msaada tafadhali.
Tatizo lako inaonekana umeanza punyeto ukiwa bado mtoto sana na bado haujaacha....Fanya mazoezi acha pombe kula mbogamboga matunda achana na wanawake au kupiga punyeto ovyo.
Nawe ni mwaccm kama yeye mkuu?
Mvi sio uzeeMkuu bora ww mimi at 30's nina mvi balaa kichwani hadi kero yaani.
Atakuwa na magonjwa yasiyoambukizwa kama vidonda vya tumbo,sukari,presha ni magonjwa yanayozeesha kama mtu hazingatii kwenda clinic marq kwq maraWatu wanazeeka kwasababu ya stress ya kukosa pesa, kumbe wewe pesa unazo!!! Sasa shida itakuwa nini hapo? Ngoja wataalam waje
Kwahiyo ukiona wazee wenye mvi tu wewe huko chini chapa chapa 🤣🤣napenda mwanaume mwenye mvi🥰
Puli hauna kitu unakipokea bali unatoa tu, wewe jaribu kungonoka mwezi mzima mfululizo utaona udhoofu wa mwili, pili kama utangonoka na mtu mmoja kila siku after some time utaona mmeanza kufanana.Kungonoka kunafanya mtu azeeke? Maana napiga puli c mchezo kuzidi hao wanaongonoka ila mwili haujachoka sijazekaa na nina 43 sasa.
Kwenye puli nina miaka 20 sasa
Kungonoka kunafanya mtu azeeke? Maana napiga puli c mchezo kuzidi hao wanaongonoka ila mwili haujachoka sijazekaa na nina 43 sasa.
Kwenye puli nina miaka 20 sasa
hiyo ni sabbu moj kti ya kumi, huzo zingine vp
Hebu tuache mawardat taaafwadhali bado tinalipa haloo..Hakuna namna,Ushazeeka hivyo,
40yrs mbona lizee, unafosi uonekane una 20yrs!!!
Imeisha hiyo[emoji419]
nope, experiment ndogo tu.Ili usizeeke haraka unatakiwa kuoga maji yabaridi tena ikiwezana siku moja moja uweke barafu kwenye bath tub halafu ujisoak
MhhhChukua hiyo
Uwe unachukua viaz vitamu unavipika na maganda yake alafu unakula na maziwa freshi ,kwenye kula unaruhusiwa kumenya yale maganda ukipenda muhimu upike na maganda yake tu kikiwa sehem ya chakula chako hutojuta
😆 😆 😆 😆 huu nacheka kila comment...kwani kaishiwa damu?Kuka matunda na mboga mboga, epuka nyama wanyama kama mbuzi, kula sana samaki,maziwa soda yako iwe youghort,kunywa chai yenye limao, fanya mazoezi kidogo tafuta dam ya universal donor yani group O negative uwekewe punguza ngono
Nina miaka 20 katika puli unakuja kuniambia itanicost? Una akili sawa sawa kweli?Soon itaku cost . Puli ni waste of energy inapoteza nguvu kuliko hata kufanya sex. By the way unapopiga puli una convert pysical energy itokanayo na chakula kwenda non physical energy ambayo inapotea. Sperm ndo the best nutrient kwenye mwili wa mwanaume. Kama huwezi kuacha basi isiwe excess/extreme. At his peak mike tyson anakili kuacha kupoteza sperms zake hovyo hovyo na alikuwa na nguvu, focus ya ajabu sana mpaka kupewa jina la iron.
anaonekana mgonjwa amechakaa sana😆 😆 😆 😆 huu nacheka kila comment...kwani kaishiwa damu?