Mlamba asali
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 1,152
- 2,270
Tafuta shule ya chekechea uanze kufundisha hakika uzee uta stop
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za asili hizo zisikutisheMimi ni muhanga wa mvi tangu Nina miaka 25 mpaka Sasa Nina miaka 39,kawaida yangu nanyoa kipara Kila baada ya siku Tano. Kwa Sasa robo ya kichwa changu kina mvi ila kwetu Kuna asili ya mvi hata wadogo zangu wa baba wengine Wana mvi
Ndio maana wanawake wa tanzania unakuta mzuri ila tumbo Sasa kama hekalu la yesuNa ngono aache mkuu? Masharti mengine kama ya mganga hayatelekezeki.
Usome uelewe sio usome ujibu, wapi nimeandika ngano mkuu??Ndio maana wanawake wa tanzania unakuta mzuri ila tumbo Sasa kama hekalu la yesu
Carbs ni kitu kibaya sana kwenye mwili wa binadamu kuliko faida zake.
Eti kuacha ngabo hakutekelezi mbona Kuna watu hawali hayo ma ngano na wako poa including me
Ili usizeeke haraka unatakiwa kuoga maji yabaridi tena ikiwezana siku moja moja uweke barafu kwenye bath tub halafu ujisoaktafuta pesa
punguza ngono,
punguza mawazo,
kunywa maji mengi,
pata muda mrefu wakupumzika (kulala),
oga maji ya moto ata kama ni jua kali.
Kula mlo kamili siyo kula kula.
Asante.
Kama umenielewa vzr sijaforce chochote mtaalamu wewe, nimeshangaa tu inakuaje kimuonekano nawa'level' na hata kuwapita kwa mbali makaka zangu, mababa wadogo walio miaka 10 mbele yangu na age mates wengi tu.Hakuna namna,Ushazeeka hivyo,
40yrs mbona lizee, unafosi uonekane una 20yrs!!!
Imeisha hiyo[emoji419]
🤣🤣🤣Kushabikia ccm sio kazi ndogo lazima uzeeke, hata hivyo nakupongeza kwa kukaza fuvu na kumudu kuipigania ccm
Apuuzwe..🤣Kito, kito, kito mimi ni mganga wa ngozi. Nisikilize mimi
Bwana bwana leo si mood ya kukuharibia siku mkuu😂🤣🤣🤣
Una thread yangu yoyote inayoizungumzia ccm km ccm labda?!!
Inawezekana mkuu, matokeo yake ndo haya.Tulipigwa chanjo za kijinga sana
Ahsante mkuu, nitadeal na hzo junk foods maana kungonoka hakupo tu kwa upande wangu......sina ulemavu wa kupenda hayo mambo kila sikuPunguza junk foods, fanya mazoezi, punguza kungoneka sana.
case yako wewe ni ile wanaita mvi za kurithi? But wengine hiyo kwao haipo ila tayari vichwa na videvu vishachafuka katika late 20' s na early 30' sMimi ni muhanga wa mvi tangu Nina miaka 25 mpaka Sasa Nina miaka 39,kawaida yangu nanyoa kipara Kila baada ya siku Tano. Kwa Sasa robo ya kichwa changu kina mvi ila kwetu Kuna asili ya mvi hata wadogo zangu wa baba wengine Wana mvi
🤣🤣🤣🤣Bwana bwana leo si mood ya kukuharibia siku mkuu😂
Ukifuata masharti hayo, sasa upo duniani ulifuata nini?Punguza vya kula vya wanga
Punguza nyama nyekundu
Punguza vitu vya sukari
Punguza kulala mchana
Acha pombe
Acha soda
Acha joice
Acha wali
Acha ngono
Acha kuchek movie au series kwa muda mrefu
Acha kucheza game muda mrefu
Pendelea fanya mazoezi kidogo
Pendelea mboga za majani
Pendelea bidhaa za bahari
Pendelea matunda
Pendelea vya nyuzi ( tende ,viazi vitamu nk
Pendelea kipaka mafuta ya nazi
Pendelea kula kabla ya saa mbili usiku
Naungana na wewe mkuu, yawezekana hapa ndiyo kiini cha hili tatizo! Life style inatuhukumu kwa sasa, tunakula na kunywa visivyofaa na inaenda mbali kabisa hata tunapaka visivyofaa kupaka kwenye ngozi zetu na nywele zetu pia.Vyakula na vinywaji vya kisasa. Ma energy ya Azam, ma jiuce to much sugar, kulala muda mfupi sana, chips mayai, kuku yaliyopatikana kwa kuwalisha kuku madawa sana.
Amani mkuu mr. ccm 😂😂🤣🤣🤣🤣
Ila tujue pia kuna ugonjwa wa kuzeeka mapema.Mazoezi na matunda . Usingizi wa kutosha. Basi umemaliza uzee utausikia
Msikaririshane, kwa afya ya ngozi kikanuni ni;Nilisema ndio na ninasema tena achana na maji ya moto ...