Certified Hater
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,760
- 3,733
We unatafuta nini kwenye maji moto huko Mkuu..hebu tuone ngozi yako ilivyoanz kulegea na kusinyaaUkatili 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unatafuta nini kwenye maji moto huko Mkuu..hebu tuone ngozi yako ilivyoanz kulegea na kusinyaaUkatili 😂
Kito, kito, kito mimi ni mganga wa ngozi. Nisikilize mimiMaji haya haya ninayooga kila siku na bado naonekana na miaka 24 kwakati Nina 35 na wadogo zangu ndio wanaonekana wakubwa kuliko Mimi na wanaoga maji ya maridi kila siku
niachee 😁😁We unatafuta nini kwenye maji moto huko Mkuu..hebu tuone ngozi yako ilivyoanz kulegea na kusinyaa
Watu wanazeeka kwasababu ya stress ya kukosa pesa, kumbe wewe pesa unazo!!! Sasa shida itakuwa nini hapo? Ngoja wataalam wajeYeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.
Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.
Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.
Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.
Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.
Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.
Msaada tafadhali.
Madhara ya maji moto itanichukua muda gani kuanza kuyaona? Ndugu mtaalamuKito, kito, kito mimi ni mganga wa ngozi. Nisikilize mimi
Ana 50yrs na sio 57yrs.Jamani someni kuhusu PHAREL WILIAM
ni mzeee kijana. Ana miaka 57 ila anaonekana kijana wa muaka 25. Kaeleza nini anafanya.
Upewe maua yako Kwa ushauri huu,Fanya mazoezi, acha kula wali
[emoji16][emoji16][emoji16]Unaamanisha mtindo wa maisha umeniotesha mvi kidevuni?
Na lazima atakuwa mchawi! Acha azeeke tu,tena azeeke mara 2 na lisisiem lakeKushabikia ccm sio kazi ndogo lazima uzeeke, hata hivyo nakupongeza kwa kukaza fuvu na kumudu kuipigania ccm
Kata CARBS KWENYE CHAKULA CHAKO KWA 80% ,nyama ya ngurue ya ng'ombe tumia kidogo sana,alafu vinywaji vya soda,bia,vinywaji vikali,sigara, achana navyo replace it with juice tengeneza nyumba Tu hasa za matunda kama parachichi epuka,lala muda WA kutosha ,punguza mapenzi na tembea hatua 80000 daily,Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.
Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.
Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.
Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.
Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.
Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.
Msaada tafadhali.
Sasa yule ni big boss! Hili ni li chawa flani kindakindaki,ndo mana limekongoroka chapKwamba ni mcc[emoji3],
Mbona mzee wa msogo bado kama kijana wa jana[emoji3]
Tulipigwa chanjo za kijinga sanaKizazi cha 80's na 90's kina shida gani? Haya magroup mawili watu wake wanapatwa na mvi za mapema sana ukilinganisha na wale 70's, 60's kurudi huko nyuma, najiuliza sana nini kimetukuta sisi wa vizazi hivi viwili?
Mimi ni muhanga wa mvi tangu Nina miaka 25 mpaka Sasa Nina miaka 39,kawaida yangu nanyoa kipara Kila baada ya siku Tano. Kwa Sasa robo ya kichwa changu kina mvi ila kwetu Kuna asili ya mvi hata wadogo zangu wa baba wengine Wana mviKizazi cha 80's na 90's kina shida gani? Haya magroup mawili watu wake wanapatwa na mvi za mapema sana ukilinganisha na wale 70's, 60's kurudi huko nyuma, najiuliza sana nini kimetukuta sisi wa vizazi hivi viwili?
Vyakula na vinywaji vya kisasa. Ma energy ya Azam, ma jiuce to much sugar, kulala muda mfupi sana, chips mayai, kuku yaliyopatikana kwa kuwalisha kuku madawa sana.Kizazi cha 80's na 90's kina shida gani? Haya magroup mawili watu wake wanapatwa na mvi za mapema sana ukilinganisha na wale 70's, 60's kurudi huko nyuma, najiuliza sana nini kimetukuta sisi wa vizazi hivi viwili?