mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Mvi kama za majaliwa au???Ukimkuta kainamia lile sinki la kuoshea kichwa saluni utamshangaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mvi kama za majaliwa au???Ukimkuta kainamia lile sinki la kuoshea kichwa saluni utamshangaa.
Ogea Maziwa kama afanyavyo
Na ngono aache mkuu? Masharti mengine kama ya mganga hayatelekezeki.Punguza vya kula vya wanga
Punguza nyama nyekundu
Punguza vitu vya sukari
Punguza kulala mchana
Acha pombe
Acha soda
Acha joice
Acha wali
Acha ngono
Acha kucheza game muda mrefu
Pendelea fanya mazoezi kidogo
Pendelea mboga za majani
Pendelea bidhaa za bahari
Pendelea matunda
Pendelea vya nyuzi ( tende ,viazi vitamu nk
Pendelea kula kabla ya saa mbili usiku
Duh hongera mimi niliamua kunyoa kipara tu kila baada siku nne nanyoa.Nilivyokaa sawa nazo ziliisha,sina mvi kwasasa, maana stress zilinyoosha,
Halafu wengine wanasemaga kuna mvi za urithi.
Fanyia kazi maneno haya ya busara.Ukijitahidi kuficha uzee ndivyo unazidi kuzeeka sababu ya stress.
Akiishi kama mwinyi itakuwajeUnatakiwa uufurahie uzee wako kama ulivyoufurahia utoto na ujana pia.
Vyote vina raha yake.
Mimi nipo 30s lakini naonekana wa 20s na huwa sifichi miaka yangu na nina furahia na mvi zangu kidevuni.
Ukijitahidi kuficha uzee ndivyo unazidi kuzeeka sababu ya stress.
Ila usipojali uzee wako basi inakuwa kijana zaidi maana hujali.
Mwisho wa siku uzee au ujana unategemea na fikra zako
Heshima yako bibiNina 59 kwasasa.
Kwa hioNaona umri unakutupa mkono hadi kimuonekano hivyo tunategemea hvi karibuni utahitaji msaada katika utekelezaji wa majukumu yako.
Carer niko hapa mheshimiwa
20usd kwa lisaa 1.😅
Exfoliating.Jamani someni kuhusu PHAREL WILIAM
ni mzeee kijana. Ana miaka 57 ila anaonekana kijana wa muaka 25. Kaeleza nini anafanya.
Kuna tofauti kubwa kati ya ngono na mapenzi Fa[emoji1]Na ngono aache mkuu? Masharti mengine kama ya mganga hayatelekezeki.
Maana yake Nini? [emoji1787][emoji1787]We hujazeeka umefwafwanzika[emoji16]
Anaweza kuacha mapenzi ila sio ngonoKuna tofauti kubwa kati ya ngono na mapenzi Fa[emoji1]
Basi hizo hazikuachi hata ufanyaje, mdogo wangu zimemuanza tokea darasa la sita hadi sasa yupo chuo na ananyoa tu hasuki.Duh hongera mimi niliamua kunyoa kipara tu kila baada siku nne nanyoa.
Lakini zinaongezeka tu zimeanza nikiwa 18 yrs.
Kabisa ,anatakiwa afanye hivyo huku asisahau kutupatia ajira ya caregiver kwake.Kwa hio
Inabidi astaafu. Sababu uzee, bosi akihoma nenda mahakamani ithibitushe kuwa kazeeka.
Anahitaji bima ya wazee
Ahudumiwe dirisha la wazee.
Kanisani awe mzee wa kanisa.
Mtaani ajiandikishe kundi la wazee.
Kwenye bao acheze na wazee wenzake.
Aowe kibinti kama tabia za wazee cha kumuuguza uzeeni hukuu kikila mafao yake na yakiisha kina mkimbia.
[emoji1317][emoji1317][emoji1317] mjukuu.Heshima yako bibi