Nazeeka kwa kasi ya ajabu mno. Nifanye nini?

Nazeeka kwa kasi ya ajabu mno. Nifanye nini?

Punguza vya kula vya wanga
Punguza nyama nyekundu
Punguza vitu vya sukari
Punguza kulala mchana
Acha pombe
Acha soda
Acha joice
Acha wali
Acha ngono
Acha kucheza game muda mrefu
Pendelea fanya mazoezi kidogo
Pendelea mboga za majani
Pendelea bidhaa za bahari
Pendelea matunda
Pendelea vya nyuzi ( tende ,viazi vitamu nk
Pendelea kula kabla ya saa mbili usiku
Na ngono aache mkuu? Masharti mengine kama ya mganga hayatelekezeki.
 
Mkuu uzee ni fikra age is just a number.

Kwanza penda mvi zako (wanaume wenye ndevu zenye mvi huwa wanavutia baadhi ya wanawake )

Pili acha kujiwazia mawazo hasi, uzee sio idadi ya miaka uliyonayo ni vile unavyojisikia kwenye nafsi yako

Tatu badilisha mtindo wa maisha. Ishi kama unavyoamini vijana wanaishi kuanzia kula, kuvaa, kwenda sehemu za kusocialize etc.

Nne JIKUBALI ULIVYO
 
Unatakiwa uufurahie uzee wako kama ulivyoufurahia utoto na ujana pia.

Vyote vina raha yake.

Mimi nipo 30s lakini naonekana wa 20s na huwa sifichi miaka yangu na nina furahia na mvi zangu kidevuni.

Ukijitahidi kuficha uzee ndivyo unazidi kuzeeka sababu ya stress.

Ila usipojali uzee wako basi inakuwa kijana zaidi maana hujali.

Mwisho wa siku uzee au ujana unategemea na fikra zako
Akiishi kama mwinyi itakuwaje
Yaani miaka 50 mbele ya uzee.
 
Naona umri unakutupa mkono hadi kimuonekano hivyo tunategemea hvi karibuni utahitaji msaada katika utekelezaji wa majukumu yako.

Carer niko hapa mheshimiwa
20usd kwa lisaa 1.😅
Kwa hio
Inabidi astaafu. Sababu uzee, bosi akihoma nenda mahakamani ithibitushe kuwa kazeeka.
Anahitaji bima ya wazee
Ahudumiwe dirisha la wazee.
Kanisani awe mzee wa kanisa.
Mtaani ajiandikishe kundi la wazee.
Kwenye bao acheze na wazee wenzake.
Aowe kibinti kama tabia za wazee cha kumuuguza uzeeni hukuu kikila mafao yake na yakiisha kina mkimbia.
 
Duh hongera mimi niliamua kunyoa kipara tu kila baada siku nne nanyoa.
Lakini zinaongezeka tu zimeanza nikiwa 18 yrs.
Basi hizo hazikuachi hata ufanyaje, mdogo wangu zimemuanza tokea darasa la sita hadi sasa yupo chuo na ananyoa tu hasuki.


Kufuatilia ni upande wa baba wana mamvi, mie nashukuru nimeepuka[emoji16]
 
Kwa hio
Inabidi astaafu. Sababu uzee, bosi akihoma nenda mahakamani ithibitushe kuwa kazeeka.
Anahitaji bima ya wazee
Ahudumiwe dirisha la wazee.
Kanisani awe mzee wa kanisa.
Mtaani ajiandikishe kundi la wazee.
Kwenye bao acheze na wazee wenzake.
Aowe kibinti kama tabia za wazee cha kumuuguza uzeeni hukuu kikila mafao yake na yakiisha kina mkimbia.
Kabisa ,anatakiwa afanye hivyo huku asisahau kutupatia ajira ya caregiver kwake.
 
Back
Top Bottom