green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Tatizo lako inaonekana umeanza punyeto ukiwa bado mtoto sana na bado haujaacha....Fanya mazoezi acha pombe kula mbogamboga matunda achana na wanawake au kupiga punyeto ovyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umri unakutupa mkono hadi kimuonekano hivyo tunategemea hvi karibuni utahitaji msaada katika utekelezaji wa majukumu yako.Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.
Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.
Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.
Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.
Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.
Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.
Msaada tafadhali.
Actually ngono helps kufanya mtu aonekane young, hapo issue ni Hivyo vingine plus acontrol stressPunguza junk foods, fanya mazoezi, punguza kungoneka sana.
Duh!Hakuna namna,Ushazeeka hivyo,
40yrs mbona lizee, unafosi uonekane una 20yrs!!!
Imeisha hiyo[emoji419]
Hujambo jiraniKuna kipindi nilikuwaga na mastress nilikuwa na mvi kichwa kizima,lkn now sina mvi hata moja.
Kwani una miaka 50 na ngapi?Kuna kipindi nilikuwaga na mastress nilikuwa na mvi kichwa kizima,lkn now sina mvi hata moja.
Mzee wa Msoga akisimama na baba Fredrick best ake inakuwa kama amesimama mtu na babu yake, maana mmoja nywele nyeupe kichwa kuzima na mwingine ni nyeusi kichwa kizima japo kiumri wapo sawa.Kwamba ni mcc[emoji3],
Mbona mzee wa msogo bado kama kijana wa jana[emoji3]
Yes , kongoro inaongeza kitu kinaitwa collagen sijui kwa kiswahili ni nini, hii inapunguza kasi ya kuzeeka. Tumia sana matunda na mbogamboga upate vitamin A na C za kutosha utaona unakuwa kijanaDawa nzuri ya kupunguza speed ya kuzeeka,Anza Kula na kunywa supu ya kongoro angalau 500mls Kwa siku Fanya zoezi Hilo mwezi mzima njoo na mrejesho ikikufaa endelea nayo.