Nazeeka kwa kasi ya ajabu mno. Nifanye nini?

Nazeeka kwa kasi ya ajabu mno. Nifanye nini?

Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.

Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.

Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.

Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.

Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.

Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.

Msaada tafadhali.
Kapime sukari na presha kisha angalia kama.hauna lehemu kwenye damu.

Endapo utakutwa na mojawapo au vyote vya hapo juu, just fuata ushauri wa wataalam

Kama hautakutwa na any of those, njoo inbobo nikupe tips za kuhuisha collagen zako.

Ushauri ni bure
 
Ujana wako ulimkumbuka Mungu..?

Mhubiri 12:1
Mkumbuke Muumba siku za ujana wako kabla hazijaja siku mbaya, Wala hijaikaribia miaka utakaposema Mimi sina furaha katika hayo...

Zaburi 103:5
Aushibisha mema uzee wako, ujana wako ukarejezwa kama tai...
 
Sijui tatizo nini naona vijana wadogo siku hizi wana mvi hatari kichwani na kidevuni.

Mimi nipo kwenye 30s lakini watu wengi nikiwaambia umri wangu halisi wanasema haiwezekani maana naonekana kama 20s.

Nafikiri stress za maisha nazo huchangia kiasi fulani vijana kuanza kuonekana kuzeeka hali ya kuwa kiumri bado ni wadogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatakiwa uufurahie uzee wako kama ulivyoufurahia utoto na ujana pia.

Vyote vina raha yake.

Mimi nipo 30s lakini naonekana wa 20s na huwa sifichi miaka yangu na nina furahia na mvi zangu kidevuni.

Ukinitahidi kuficha uzee ndivyo unazidi kuzeeka sababu ya stress.

Ila usipojali uzee wako basi inakuwa kijana zaidi maana hujali.

Mwisho wa siku uzee au ujana unategemea na fikra zako
Miaka 30 umeanza mvi kidevuni? Nearly 60 mvi kwa mbaaaali. Mtindo wa Maisha utaua wengi
 
Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.

Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.

Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.

Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.

Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.

Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.

Msaada tafadhali.
Tatizo lenu mnafanya ngono na wanawake wabaya. Ndo maana mnazeeka mapema.

Zeekeni kivyenuvyenu huko.
 
Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.

Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.

Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.

Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.

Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.

Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.

Msaada tafadhali.
Ukifikisha miaka 50 utakua unaitwa mamvi kama Lowasa
 
Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.

Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.

Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.

Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.

Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.

Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.

Msaada tafadhali.


Tafuta hela.
 
tafuta pesa

punguza ngono,

punguza mawazo,

kunywa maji mengi,

pata muda mrefu wakupumzika (kulala),

oga maji ya moto ata kama ni jua kali.

Kula mlo kamili siyo kula kula.

Asante.

Akipata pesa mengine yatakuwa sawa.
 
Back
Top Bottom