Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Aisee, yani hata mimi nimelala usika, kuamka asubuhi nakuta uso umetelemuka!
Yaakh...balaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Aisee, yani hata mimi nimelala usika, kuamka asubuhi nakuta uso umetelemuka!
Yaakh...balaa!
Wacha kumkatisha tamaa mwenzio.Hakuna namna,Ushazeeka hivyo,
40yrs mbona lizee, unafosi uonekane una 20yrs!!!
Imeisha hiyo[emoji419]
Mkuu hapa unam-mislead. Whay apake dawa at 40+ years?!pia hizo nywele paka dawa nyeusi uzichonge vizuri
Kapime sukari na presha kisha angalia kama.hauna lehemu kwenye damu.Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.
Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.
Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.
Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.
Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.
Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.
Msaada tafadhali.
daaah we jamaa wewe [emoji23][emoji23]! aiseeKushabikia ccm sio kazi ndogo lazima uzeeke, hata hivyo nakupongeza kwa kukaza fuvu na kumudu kuipigania ccm
Miaka 30 umeanza mvi kidevuni? Nearly 60 mvi kwa mbaaaali. Mtindo wa Maisha utaua wengiUnatakiwa uufurahie uzee wako kama ulivyoufurahia utoto na ujana pia.
Vyote vina raha yake.
Mimi nipo 30s lakini naonekana wa 20s na huwa sifichi miaka yangu na nina furahia na mvi zangu kidevuni.
Ukinitahidi kuficha uzee ndivyo unazidi kuzeeka sababu ya stress.
Ila usipojali uzee wako basi inakuwa kijana zaidi maana hujali.
Mwisho wa siku uzee au ujana unategemea na fikra zako
Unaamanisha mtindo wa maisha umeniotesha mvi kidevuni?Miaka 30 umeanza mvi kidevuni? Nearly 60 mvi kwa mbaaaali. Mtindo wa Maisha utaua wengi
Tatizo lenu mnafanya ngono na wanawake wabaya. Ndo maana mnazeeka mapema.Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.
Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.
Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.
Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.
Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.
Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.
Msaada tafadhali.
Ukifikisha miaka 50 utakua unaitwa mamvi kama LowasaYeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.
Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.
Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.
Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.
Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.
Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.
Msaada tafadhali.
Fuatilia nyuzi zangu nilizowahi kuandika siwezi kuwa upande huo.Nawe ni mwaccm kama yeye mkuu?
Yeyote aliyeniona miaka miwili au mitatu tu iliyopita ananishangaa na kutishika.
Walionilea na niliowakuta wakiwa wakubwa sasa ninawapita. Mvi zimetamalaki kidevuni na kichwani mara nne yao.
Nimegeuka kuwa kichekesho na mshangao kwa wanafamilia tunapokutana kwenye matukio yanayotukutanisha wanafamilia. Nina aibu muda wote.
Hata mwili, naona una dalili zote za kizee, kuumwa kiuno, kuchelewa kuitikia (response), na usingizi wa hovyo hovyo.
Yote haya yanatokea nikiwa na miaka 40 tu. Age mates wangu wengi wanaonekana km wana 20+ au 30+. Ni wa tatu kuzaliwa lakini naonekana wa kwanza kiumri, si kwa 'kukochopaa' huku.
Nimebahatika, mkate wangu wa kila siku siupati kwa kutumia nguvu nyiiingi za kilimo au kubeba zege, lakini kwa kasi ya kuzeeka, mimi ndo naonekana ninafanya kazi ya ukulima zaidi yao.
Msaada tafadhali.
tafuta pesa
punguza ngono,
punguza mawazo,
kunywa maji mengi,
pata muda mrefu wakupumzika (kulala),
oga maji ya moto ata kama ni jua kali.
Kula mlo kamili siyo kula kula.
Asante.