Nazeeka, naogopa!

Uzee mbaya mweeh!

Lakini usikubali. Usibweteke na kujiona sasa hufai...eti umebadili na mavazi kisa uzee! Tutapambana nao tuuu siukubali kirahisi...cha kwanza utoe kwenye akili yako, vaa, fanya unavyojisikia na unavyopenda. Uzee usiufungulie mlango...pigana nao hadi uone sasa hata mguu hauinuki.
 

Sawa sawia ni kweli tena kweli. si unaona jinsi vijana sasa hivi wanavyopata (bold) kutoka kwa mzee wetu Prof. Haruna Ibrahim Lipumba. Hebu furahia uzee wako na sie vijana tukufaidi.
 
uzee mbaya kama hauna hela ila ujiwa na hela ni burudani tu. Hata watoto wakali utabeba bila shida.
 
Huenda tatizo lako ni kupenda kukaa na watu uliowazidi sana kiumri. Tafuta watu wa rika lako ufurahie maisha. Shikamoo ni makelele tu.
 
Mkuu unapitia situation kama Yangu, Kuna watu wakiniamkia nanuna kabisa, naona kuwa sistahili shikamoo zao. Kweli ujana maji ya moto, Shikamoo uzee.
 
Sasa weye ndugu, usipozeeka maana hutaki wanao wakue? Wanao wakidumaa utafurahi?

Kama hupendi wanao wadumae basi kubali kuzeeka.

Vv
 
Lakini sista kuna stage unafikia kila unayekutana nae anakupa "shikamoo dada/kaka/uncle/aunt". Lazima ushtuke kuwa mshale umeshavuka saa sita. Ni kweli uzee ni vile unavyokiweka lakini......at 50+ I guess there's fear kiaina.
Eli, mi niko kwenye forties lakini naamkiwa na wazee mpaka naogopaga.
 
mtu mzima anAogopa kuzeeka? hata babu alikua kijana.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…