Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana Kaka, sio yeye pekeyake, kuna LeMutuz nae kaushinda uzeeAlieutoa nishai uzee ni mmoja tu...baba yake na dully Sykes Mzee saiksi mwenyewe.
Mpaka anaachia hakuwai kuukubali uzee he were young, wild and free though mwili uling'ang'ania uzee ila nafsi na roho yake ilikuwa janki.
Au nenda China wakakurabati utarudi ukiwa sharo kabisa,vinginevyo jipange kuufurahia uzee.Acha woga kula vitu, nywele weka piko, uzee mwisho chalinze[emoji2] [emoji2]
Nimecheka sana mkuuAlieutoa nishai uzee ni mmoja tu...baba yake na dully Sykes Mzee saiksi mwenyewe.
Mpaka anaachia hakuwai kuukubali uzee he were young, wild and free though mwili uling'ang'ania uzee ila nafsi na roho yake ilikuwa janki.
Usihofu mbona Lowassa anapendwa.Ndugu zangu
Nafikiri nipo katika wakati mgumu sana,nazeeka na nimeingiwa na hofu,nimegundua nauingia utu uzima,nimechukia,naogopa nahisi maisha ndio basi,kila nikipita nasalimiwa shikamoo,sipendi jamani wengine wananisalimia nawaona kama tunalingana,naogopa sana uzee.mvi zinabisha hodi kila kukicha,nimeanza kubadili mavazi niliyoyapenda sasa navaa kama mchungaji,sitaki lakini hakuna jinsi,mlioushinda uzee nitieni nguvu nahisi sipendwi tena nikipita hakuna anayenitazama kama zamani,naogopa kutongaza huenda nikatukanwa hadharani,mhh,mlioushinda uzee nisaidieni
kweli wewe ni play boyMimi niko kama wewe ila mi nachukia kuota ndevu tu still ni kijana mdogo tu.... I wish nipate dawa ya kuzifanya zisiote arghhh 😡