Naziona dalili zote kwamba Mbowe na wenzake wanatoka Gerezani

Naziona dalili zote kwamba Mbowe na wenzake wanatoka Gerezani

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Awali tuliona nguvu kubwa inatumika kudhibiti Watu wasiingie mahakamani.

Tukashuhudia Majaji wakitoa hukumu zilizo kinyume kabisa na mwenendo wa kesi na baada ya kutoa hukumu hizo wakapandishwa vyeo

Switch za ukutani tukaambiwa zimeharibiwa kudhibiti umeme usipatikane

Tukashuhudia ubunifu wa kutoa matangazo live Hadi Jaji akakereka Kwa namna vijana wanavyohabarisha

Exbits zikawa zinatolewa kwenye custody ya Mahakama kinyume cha sheria na utaratibu, Msajili anawasiliana na kukabidhiana exbits na shahidi ofisini kwake

Tumefika Wakati madhahidi wanaanza kusema HAPANA kwa wingi katika ushahidi wao, tumeshuhudia knowledge gap iliyopo kwenye vyombo vy dola pamoja na ofisi ya DPP katika uandaaji mashtaka na kuongoza mashahidi

Kidogo kidogo mwananchi akajaribu kwenda Live Kwa kuchagua vipengele anavyoona yeye vinafaa ila akaidhiwa pumzi

Jaji akaanza kulegeza masharti ya maamuzi hasa kwa kutupilia mbali baadhi ya vielelezo

Mashahidi Wakabanwa na kuanza kukumbushwa baadhi ya Kesi za mateso walizowahi kushiriki. Mashahidi wakaanza kuhusoanishwa na kupotea Kwa Watu.

Mara tunaona ITV wanarusha habari kwa uchambuzi wa hali ya juu tena kwenye taarifa ya habari.

Tunatakari tunabaini hata vyombo vya dola vimenyamaza na kuruhusu wanachadema kuimba wimbo Bado kidogo mambo yatàbadilika mahakamani bila kukamatwa kwa maandamano au makosa ya vurugu.

Uchambuzi kuhusu kesi hii unaanza kufanya kwenye vyombo vya habari. Uhuru wa watuhumiwa unaanza kuonekana.

Kwa Hali hii nataka niamini Kwamba Mhe. Rais amefuatilia kilichotipotiwa na vyombo vya habari, amefuatilia ushahidi unaotolewa, amefuatilia mwenendo wa kesi na amebaini wazi Kwamba kesi hii ilikuwa mtego kwake na ilitengenezwa na wataka Urais 2025 Kwa lengo lakumchonganisha na jamii lakini pia kumfanya aonekane kama anakubaliana na matendo maovu dhidi ya uhai wa binadamu yaliyofanywa na Watu wasiojulikana awamu ya Tano.

Mama amejiridhisha pasipo na shaka Kwamba kundi lililohusika kukusanya ushahidi huu hata kama litapewa fadhila ,ipo siku litatumika vinginevyo dhidi ya watu wengine may be yeye akiwa amestaafu Urais. Amejitunza Kwamba walioumiza watu wakiwemo watu wake wa katibu ni vijana wachache na hakuna namna isipokuwa kuruhusu uchunguzi wa kina wa matukio kadhaa yaliyofanywa na awamu ya Tano. Amebaini Kwamba watu Hawa Wana fedha, kama walichukua milioni mia kama rushwa Arusha, HUKO kwingine walipora kiasi gani? Hizo fedha kwa sasa wamezificha wapi? Wanataka kuzitumia kwa kazi gani?

Kwa funzo hili naamini Mama alikuwa sahihi kesi hii kwenda Mahakamani na imemfanya ajifunze aina ya watu wanaomzunguka na atambue ni strategies gani zitumike kuishi nao. Mwisho naamini mama amejifunza kutomwamini mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke. Bali wakumwamini ni MUNGU pekee.

Niwapongeze wote wanaoshiriki mchakato huu wakutuonyesha njia sahihi, Kila Jambo utokea kwa sababu flani na hii imetokea Kwa makusudi flani. Soon Mbowe na wenzake watarejea Uraiani kuendeleza harakati.

Mwenyenzi Mungu amsaidie mwenye nchi azidi kuwa na macho ya rohoni, asione kijani bali aione tanzania na aamini kwamba Tanzania inaweza kuwepo bila kijani ila kijani hakiwezi kuwepo bila tanzania. Mwenye mungu ampe moyo mkuu wakufungua wafungwa wa kisiasa na wasio na hatia kwa lengo la kuliponywa taifa.

Mwenyenzi Mungu ampe moyo wakukubali adharani kwamba tulikosea awamu ya tano, akawatembelee waliopoteza wapendwa wao wakiwemo wototo wa saanane na gwanda kwa lengo lakuwarejeshea matumaini mapya na kuomba wasidhidi kuomba duha mbaya kwetu bali waombe nchi ipone. Mandela alifanya na hakupungukiwa kitu wala madaraka yake ya urais hayakupungua. Tusameane tuanze upya kuijenga tanzania, madaraka yanapita, kifo kipo.
 
CCM?? Na jeshi la Polis wanalindana.

Yaan Maisha ya mmoja, yanamtegemea MWINGINE ...tena kama ambavyo SS hakubaliki huku mtaani.?.


Kamwe ,kamweee tusitegemee Hukumu ya utofauti na Alichokisema SS.... BBC.


JPM alifanya Military-Government symbiosis.


SS anafanya Police-Government symbiosis.



KATIBA MPYA ndio kila kitu.
 
Ilibidi hii kesi iwe ishafutwa zamani,huku ni kuumizana kiakili na kiafya kusikokuwa na msingi wowote, wanajua hana hatia, jambo moja tu lifanyike “AACHIWE HURU”
 
Tangia mwanzo hii kesi ilionekana haina mashiko zaidi ya kumpunguza Mbowe speed ya katiba mpya maana mwamba alikuja kwa speed ya sakho mwisho wa siku ataachiwa ila nadhan kuna mahala hatupo sawa kisheria unampotezea mtu muda wake na uhuru wake badae unamuachia bila hata kumfidia chochote inaumiza kinoma
 
Kibatala alimchanachana Jumanne kiasi Cha kuonyesha wazi hakuna kesi. Maana vitu vyote vinavyowaunganisha watuhumiwa na kesi ya ugaidi imeonekana hakuna...hakuna rekodi ya maongezi, hakuna vilipuzi, hakuna ushahidi wowote! Wataenda kudhalilika vibaya
 
Awali tuliona nguvu kubwa inatumika kudhibiti Watu wasiingie mahakamani.

Tukashuhudia Majaji wakitoa hukumu zilizo kinyume kabisa na mwenendo wa kesi na baada ya kutoa hukumu hizo wakapandishwa vyeo

Switch za ukutani tukaambiwa zimeharibiwa kudhibiti umeme usipatikane

Tukashuhudia ubunifu wa kutoa matangazo live Hadi Jaji akakereka Kwa namna vijana wanavyohabarisha

Exbits zikawa zinatolewa kwenye custody ya Mahakama kinyume cha sheria na utaratibu, Msajili anawasiliana na kukabidhiana exbits na shahidi ofisini kwake

Tumefika Wakati madhahidi wanaanza kusema HAPANA kwa wingi katika ushahidi wao, tumeshuhudia knowledge gap iliyopo kwenye vyombo vy dola pamoja na ofisi ya DPP katika uandaaji mashtaka na kuongoza mashahidi

Kidogo kidogo mwananchi akajaribu kwenda Live Kwa kuchagua vipengele anavyoona yeye vinafaa ila akaidhiwa pumzi

Jaji akaanza kulegeza masharti ya maamuzi hasa kwa kutupilia mbali baadhi ya vielelezo

Mashahidi Wakabanwa na kuanza kukumbushwa baadhi ya Kesi za mateso walizowahi kushiriki. Mashahidi wakaanza kuhusoanishwa na kupotea Kwa Watu.

Mara tunaona ITV wanarusha habari kwa uchambuzi wa hali ya juu tena kwenye taarifa ya habari.

Tunatakari tunabaini hata vyombo vya dola vimenyamaza na kuruhusu wanachadema kuimba wimbo Bado kidogo mambo yatàbadilika mahakamani bila kukamatwa kwa maandamano au makosa ya vurugu.

Uchambuzi kuhusu kesi hii unaanza kufanya kwenye vyombo vya habari. Uhuru wa watuhumiwa unaanza kuonekana.

Kwa Hali hii nataka niamini Kwamba Mhe. Rais amefuatilia kilichotipotiwa na vyombo vya habari, amefuatilia ushahidi unaotolewa, amefuatilia mwenendo wa kesi na amebaini wazi Kwamba kesi hii ilikuwa mtego kwake na ilitengenezwa na wataka Urais 2025 Kwa lengo lakumchonganisha na jamii lakini pia kumfanya aonekane kama anakubaliana na matendo maovu dhidi ya uhai wa binadamu yaliyofanywa na Watu wasiojulikana awamu ya Tano.

Mama amejiridhisha pasipo na shaka Kwamba kundi lililohusika kukusanya ushahidi huu hata kama litapewa fadhila ,ipo siku litatumika vinginevyo dhidi ya watu wengine may be yeye akiwa amestaafu Urais. Amejitunza Kwamba walioumiza watu wakiwemo watu wake wa katibu ni vijana wachache na hakuna namna isipokuwa kuruhusu uchunguzi wa kina wa matukio kadhaa yaliyofanywa na awamu ya Tano. Amebaini Kwamba watu Hawa Wana fedha, kama walichukua milioni mia kama rushwa Arusha, HUKO kwingine walipora kiasi gani? Hizo fedha kwa sasa wamezificha wapi? Wanataka kuzitumia kwa kazi gani?

Kwa funzo hili naamini Mama alikuwa sahihi kesi hii kwenda Mahakamani na imemfanya ajifunze aina ya watu wanaomzunguka na atambue ni strategies gani zitumike kuishi nao. Mwisho naamini mama amejifunza kutomwamini mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke. Bali wakumwamini ni MUNGU pekee.

Niwapongeze wote wanaoshiriki mchakato huu wakutuonyesha njia sahihi, Kila Jambo utokea kwa sababu flani na hii imetokea Kwa makusudi flani. Soon Mbowe na wenzake watarejea Uraiani kuendeleza harakati.

Mwenyenzi Mungu amsaidie mwenye nchi azidi kuwa na macho ya rohoni, asione kijani bali aione tanzania na aamini kwamba Tanzania inaweza kuwepo bila kijani ila kijani hakiwezi kuwepo bila tanzania. Mwenye mungu ampe moyo mkuu wakufungua wafungwa wa kisiasa na wasio na hatia kwa lengo la kuliponywa taifa.

Mwenyenzi Mungu ampe moyo wakukubali adharani kwamba tulikosea awamu ya tano, akawatembelee waliopoteza wapendwa wao wakiwemo wototo wa saanane na gwanda kwa lengo lakuwarejeshea matumaini mapya na kuomba wasidhidi kuomba duha mbaya kwetu bali waombe nchi ipone. Mandela alifanya na hakupungukiwa kitu wala madaraka yake ya urais hayakupungua. Tusameane tuanze upya kuijenga tanzania, madaraka yanapita, kifo kipo.
Kesi ya mchongo
 
Future posts....
1. Mashahidi wagoma kuja mahakamani...
2. Jaji anayesikiliza kesi amejitoa...
3. Ofisi ya DPP imewasilisha kusudio la kufuta kesi ya Mbowe. Yasema haina nia ya kuendelea nayo!
4. Rais SSH anaendelea kupongezwa kwa kumwachia huru kiongozi wa chama kikuu cha upinzani...
 
Hakuna kesi ya kupuuzi duniani Kama hii ya kutungwa. Dunia yenye wataalam wa kesi ya ugaidi wamefuatilia wamebaki wanatushangaa tuna intelijensia ya ajabu kiasi gani.

Huu Ni mmoja wa mipango aliyoasisi Kiongozi katili kuwahi kutokea na aliyemfuata bila kujijua anaunga mkono juhudi.

Iwe iwavyo, Mbingu, zimeona, zimesikia na zimeandika
 
Hakuna kesi ya kupuuzi duniani Kama hii ya kutungwa. Dunia yenye wataalam wa kesi ya ugaidi wamefuatilia wamebaki wanatushangaa tuna intelijensia ya ajabu kiasi gani.

Huu Ni mmoja wa mipango aliyoasisi Kiongozi katili kuwahi kutokea na aliyemfuata bila kujijua anaunga mkono juhudi.

Iwe iwavyo, Mbingu, zimeona, zimesikia na zimeandika
Huyu bibi ni mbaya kuliko hata dikteta nakwambia
 
Future posts....
1. Mashahidi wagoma kuja mahakamani...
2. Jaji anayesikiliza kesi amejitoa...
3. Ofisi ya DPP imewasilisha kusudio la kufuta kesi ya Mbowe. Yasema haina nia ya kuendelea nayo!
4. Rais SSH anaendelea kupongezwa kwa kumwachia huru kiongozi wa chama kikuu cha upinzani...
Haina mwezi mmoja
 
Awali tuliona nguvu kubwa inatumika kudhibiti Watu wasiingie mahakamani.

Tukashuhudia Majaji wakitoa hukumu zilizo kinyume kabisa na mwenendo wa kesi na baada ya kutoa hukumu hizo wakapandishwa vyeo

Switch za ukutani tukaambiwa zimeharibiwa kudhibiti umeme usipatikane

Tukashuhudia ubunifu wa kutoa matangazo live Hadi Jaji akakereka Kwa namna vijana wanavyohabarisha

Exbits zikawa zinatolewa kwenye custody ya Mahakama kinyume cha sheria na utaratibu, Msajili anawasiliana na kukabidhiana exbits na shahidi ofisini kwake

Tumefika Wakati madhahidi wanaanza kusema HAPANA kwa wingi katika ushahidi wao, tumeshuhudia knowledge gap iliyopo kwenye vyombo vy dola pamoja na ofisi ya DPP katika uandaaji mashtaka na kuongoza mashahidi

Kidogo kidogo mwananchi akajaribu kwenda Live Kwa kuchagua vipengele anavyoona yeye vinafaa ila akaidhiwa pumzi

Jaji akaanza kulegeza masharti ya maamuzi hasa kwa kutupilia mbali baadhi ya vielelezo

Mashahidi Wakabanwa na kuanza kukumbushwa baadhi ya Kesi za mateso walizowahi kushiriki. Mashahidi wakaanza kuhusoanishwa na kupotea Kwa Watu.

Mara tunaona ITV wanarusha habari kwa uchambuzi wa hali ya juu tena kwenye taarifa ya habari.

Tunatakari tunabaini hata vyombo vya dola vimenyamaza na kuruhusu wanachadema kuimba wimbo Bado kidogo mambo yatàbadilika mahakamani bila kukamatwa kwa maandamano au makosa ya vurugu.

Uchambuzi kuhusu kesi hii unaanza kufanya kwenye vyombo vya habari. Uhuru wa watuhumiwa unaanza kuonekana.

Kwa Hali hii nataka niamini Kwamba Mhe. Rais amefuatilia kilichotipotiwa na vyombo vya habari, amefuatilia ushahidi unaotolewa, amefuatilia mwenendo wa kesi na amebaini wazi Kwamba kesi hii ilikuwa mtego kwake na ilitengenezwa na wataka Urais 2025 Kwa lengo lakumchonganisha na jamii lakini pia kumfanya aonekane kama anakubaliana na matendo maovu dhidi ya uhai wa binadamu yaliyofanywa na Watu wasiojulikana awamu ya Tano.

Mama amejiridhisha pasipo na shaka Kwamba kundi lililohusika kukusanya ushahidi huu hata kama litapewa fadhila ,ipo siku litatumika vinginevyo dhidi ya watu wengine may be yeye akiwa amestaafu Urais. Amejitunza Kwamba walioumiza watu wakiwemo watu wake wa katibu ni vijana wachache na hakuna namna isipokuwa kuruhusu uchunguzi wa kina wa matukio kadhaa yaliyofanywa na awamu ya Tano. Amebaini Kwamba watu Hawa Wana fedha, kama walichukua milioni mia kama rushwa Arusha, HUKO kwingine walipora kiasi gani? Hizo fedha kwa sasa wamezificha wapi? Wanataka kuzitumia kwa kazi gani?

Kwa funzo hili naamini Mama alikuwa sahihi kesi hii kwenda Mahakamani na imemfanya ajifunze aina ya watu wanaomzunguka na atambue ni strategies gani zitumike kuishi nao. Mwisho naamini mama amejifunza kutomwamini mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke. Bali wakumwamini ni MUNGU pekee.

Niwapongeze wote wanaoshiriki mchakato huu wakutuonyesha njia sahihi, Kila Jambo utokea kwa sababu flani na hii imetokea Kwa makusudi flani. Soon Mbowe na wenzake watarejea Uraiani kuendeleza harakati.

Mwenyenzi Mungu amsaidie mwenye nchi azidi kuwa na macho ya rohoni, asione kijani bali aione tanzania na aamini kwamba Tanzania inaweza kuwepo bila kijani ila kijani hakiwezi kuwepo bila tanzania. Mwenye mungu ampe moyo mkuu wakufungua wafungwa wa kisiasa na wasio na hatia kwa lengo la kuliponywa taifa.

Mwenyenzi Mungu ampe moyo wakukubali adharani kwamba tulikosea awamu ya tano, akawatembelee waliopoteza wapendwa wao wakiwemo wototo wa saanane na gwanda kwa lengo lakuwarejeshea matumaini mapya na kuomba wasidhidi kuomba duha mbaya kwetu bali waombe nchi ipone. Mandela alifanya na hakupungukiwa kitu wala madaraka yake ya urais hayakupungua. Tusameane tuanze upya kuijenga tanzania, madaraka yanapita, kifo kipo.
Good analysis,lakini inategemea na uwezo wa Rais Samia kuamua mambo.

Baada ya jamii kupitia hali ngumu ya mateso chini ya JPM ilitakiwa aje Rais mwenye maamuzi ya haraka maana jamii ina hamu kubwa ya kufidia hasara walizopata,huyu mama tumeweka matumaini sana lakini ni mzito mno kuamua mambo,nadhani anabebewa maamuzi.
 
Mwenyenzi Mungu amsaidie mwenye nchi azidi kuwa na macho ya rohoni, asione kijani bali aione tanzania na aamini kwamba Tanzania inaweza kuwepo bila kijani ila kijani hakiwezi kuwepo bila tanzania. Mwenye mungu ampe moyo mkuu wakufungua wafungwa wa kisiasa na wasio na hatia kwa lengo la kuliponywa taifa.

Mwenyenzi Mungu ampe moyo wakukubali adharani kwamba tulikosea awamu ya tano, akawatembelee waliopoteza wapendwa wao wakiwemo wototo wa saanane na gwanda kwa lengo lakuwarejeshea matumaini mapya na kuomba wasidhidi kuomba duha mbaya kwetu bali waombe nchi ipone. Mandela alifanya na hakupungukiwa kitu wala madaraka yake ya urais hayakupungua. Tusameane tuanze upya kuijenga tanzania, madaraka yanapita, kifo kipo.
Nimependa sana, jinsi ulivyo hitimisha hili andiko. Ahsante kwa uchambuzi
 
CCM?? Na jeshi la Polis wanalindana.

Yaan Maisha ya mmoja, yanamtegemea MWINGINE ...tena kama ambavyo SS hakubaliki huku mtaani.?.


Kamwe ,kamweee tusitegemee Hukumu ya utofauti na Alichokisema SS.... BBC.


JPM alifanya Military-Government symbiosis.


SS anafanya Police-Government symbiosis.



KATIBA MPYA ndio kila kitu.
Kwa taarifa yako tu ni kwamba Rais lazima aifute hii kesi kwa sababu zifuatazo;

...Kwanza kabisa Rais huyu sera zake ni za kutegemea sana jumuia za kimataifa ivyo hayuko radhi kujichafua kwa kumfunga mtu ambae dunia inajua ametungiwa kesi,hii ni sumu kimahusiano.

...Pili Tanzania inafungua upya ushirikiano wa kimataifa na kwa mbinyo uliopo kimataifa(known and unknown to public)kuhusu Mbowe lazima Rais atamuachia tu,anatafufa tu atoke vipi.

...Ile issue iliyokuwa staged kwa kumtumia Zitto kumuombea Mbowe msamaha na mama kukubali kiaina inatengua kabisa mahojiano ya BBC na kumpa Rais fursa ya kujisafisha,it's a matter of time before we know it Mbowe will be out.
 
Back
Top Bottom