Naziona dalili zote kwamba Mbowe na wenzake wanatoka Gerezani

Naziona dalili zote kwamba Mbowe na wenzake wanatoka Gerezani

Unasemaaa??
Akitoka majigambo hasa kutoka kwa watu kama Erythrocyte etc utatamani ardhi ipasuke. Shetani hajawahi mshinda Mungu. Chadema ni mpango wa Mungu. Nguvu ya chadema hakuna hapa Tanzania. Mbowe kiboko ya Samia, amebana ameachia….. wembe tuliomunyoa Magufuli sasa unamnyoa Samia etc
 
Hadi sasa kama judge atakuwa fair nakubaliana na wewe kuwa Mbowe na wenzie watashinda hii case!

Lakini kikwazo kipo pale ambapo Rais alishatoa hukumu kuwa Mbowe ni muhalifu na wenzie walishatiwa hatiani na yeye akakimbilia Kenya!

Sasa kazi ipo kwa judge kama hataona au hatoogopa kwenda kinyume na boss wake basi namuona Mbowe akitoka gerezani kwa kushinda case!
 
Akitoka majigambo hasa kutoka kwa watu kama Erythrocyte etc utatamani ardhi ipasuke. Shetani hajawahi mshinda Mungu. Chadema ni mpango wa Mungu. Nguvu ya chadema hakuna hapa Tanzania. Mbowe kiboko ya Samia, amebana ameachia….. wembe tuliomunyoa Magufuli sasa unamnyoa Samia etc
[emoji1][emoji1][emoji45][emoji45]
 
Hii kesi imesaidia sana umma!

Si suala la katiba tu bali imeonyesha mengi ikiwemo matundu ya Mhimili wa Mahakama

Tumeona kila siku 'wasiojulikana' sasa wanajulikana na hata 'waliowatuma' tunawajua

Pamoja na maumivu wanayopitia akina Mbowe na wenzao , kesi imesaidia sana Taifa

JokaKuu
 
Ngoja tuone, ingawaje kesi inaonekana itakuwa ndefu...
 
Bongo Raha.

Tuna amka asubuhi,

Tunakunywa chai,

Tunanunua bando,

Tumajadili mambo yale yale ya siku zote.

Tunakula mchana,

Tunaendelea kujadili

Tunakula usiku

Tunalala

Kesho tena tukiamka, ratiba inaendelea

Ogopa WASWAHILI [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na wewe uliyeko Somalia unajichekesha chekesha baada ya kushiba chibuku...
 
Awali tuliona nguvu kubwa inatumika kudhibiti Watu wasiingie mahakamani.

Tukashuhudia Majaji wakitoa hukumu zilizo kinyume kabisa na mwenendo wa kesi na baada ya kutoa hukumu hizo wakapandishwa vyeo

Switch za ukutani tukaambiwa zimeharibiwa kudhibiti umeme usipatikane

Tukashuhudia ubunifu wa kutoa matangazo live Hadi Jaji akakereka Kwa namna vijana wanavyohabarisha

Exbits zikawa zinatolewa kwenye custody ya Mahakama kinyume cha sheria na utaratibu, Msajili anawasiliana na kukabidhiana exbits na shahidi ofisini kwake

Tumefika Wakati madhahidi wanaanza kusema HAPANA kwa wingi katika ushahidi wao, tumeshuhudia knowledge gap iliyopo kwenye vyombo vy dola pamoja na ofisi ya DPP katika uandaaji mashtaka na kuongoza mashahidi

Kidogo kidogo mwananchi akajaribu kwenda Live Kwa kuchagua vipengele anavyoona yeye vinafaa ila akaidhiwa pumzi

Jaji akaanza kulegeza masharti ya maamuzi hasa kwa kutupilia mbali baadhi ya vielelezo

Mashahidi Wakabanwa na kuanza kukumbushwa baadhi ya Kesi za mateso walizowahi kushiriki. Mashahidi wakaanza kuhusoanishwa na kupotea Kwa Watu.

Mara tunaona ITV wanarusha habari kwa uchambuzi wa hali ya juu tena kwenye taarifa ya habari.

Tunatakari tunabaini hata vyombo vya dola vimenyamaza na kuruhusu wanachadema kuimba wimbo Bado kidogo mambo yatàbadilika mahakamani bila kukamatwa kwa maandamano au makosa ya vurugu.

Uchambuzi kuhusu kesi hii unaanza kufanya kwenye vyombo vya habari. Uhuru wa watuhumiwa unaanza kuonekana.

Kwa Hali hii nataka niamini Kwamba Mhe. Rais amefuatilia kilichotipotiwa na vyombo vya habari, amefuatilia ushahidi unaotolewa, amefuatilia mwenendo wa kesi na amebaini wazi Kwamba kesi hii ilikuwa mtego kwake na ilitengenezwa na wataka Urais 2025 Kwa lengo lakumchonganisha na jamii lakini pia kumfanya aonekane kama anakubaliana na matendo maovu dhidi ya uhai wa binadamu yaliyofanywa na Watu wasiojulikana awamu ya Tano.

Mama amejiridhisha pasipo na shaka Kwamba kundi lililohusika kukusanya ushahidi huu hata kama litapewa fadhila ,ipo siku litatumika vinginevyo dhidi ya watu wengine may be yeye akiwa amestaafu Urais. Amejitunza Kwamba walioumiza watu wakiwemo watu wake wa katibu ni vijana wachache na hakuna namna isipokuwa kuruhusu uchunguzi wa kina wa matukio kadhaa yaliyofanywa na awamu ya Tano. Amebaini Kwamba watu Hawa Wana fedha, kama walichukua milioni mia kama rushwa Arusha, HUKO kwingine walipora kiasi gani? Hizo fedha kwa sasa wamezificha wapi? Wanataka kuzitumia kwa kazi gani?

Kwa funzo hili naamini Mama alikuwa sahihi kesi hii kwenda Mahakamani na imemfanya ajifunze aina ya watu wanaomzunguka na atambue ni strategies gani zitumike kuishi nao. Mwisho naamini mama amejifunza kutomwamini mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke. Bali wakumwamini ni MUNGU pekee.

Niwapongeze wote wanaoshiriki mchakato huu wakutuonyesha njia sahihi, Kila Jambo utokea kwa sababu flani na hii imetokea Kwa makusudi flani. Soon Mbowe na wenzake watarejea Uraiani kuendeleza harakati.

Mwenyenzi Mungu amsaidie mwenye nchi azidi kuwa na macho ya rohoni, asione kijani bali aione tanzania na aamini kwamba Tanzania inaweza kuwepo bila kijani ila kijani hakiwezi kuwepo bila tanzania. Mwenye mungu ampe moyo mkuu wakufungua wafungwa wa kisiasa na wasio na hatia kwa lengo la kuliponywa taifa.

Mwenyenzi Mungu ampe moyo wakukubali adharani kwamba tulikosea awamu ya tano, akawatembelee waliopoteza wapendwa wao wakiwemo wototo wa saanane na gwanda kwa lengo lakuwarejeshea matumaini mapya na kuomba wasidhidi kuomba duha mbaya kwetu bali waombe nchi ipone. Mandela alifanya na hakupungukiwa kitu wala madaraka yake ya urais hayakupungua. Tusameane tuanze upya kuijenga tanzania, madaraka yanapita, kifo kipo.
Well said and be blessed.
 
Back
Top Bottom